Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Wew usiwe kichwa panzi
Upo mji tumeandaliwa, mji mzur huko mbinguni, watu wa Mungu utawakuta huko.
Wew uliye dunian sasa ishi ukiomba na wew uje ufike huko.
Maisha ya duniani hapa ni kibarua tu.
Ila kama ukifa na dhambi zako duu my dear utachomwa moto kuchomwa....
Kufa sio kitu kibaya, ubaya wengi wanao kufa wanaacha mapengo kilofa kutokana na kuwa hawakutimiza wajbu wao dunian ipasavyo, ndio maana wengi wanao achwa wanakaa kulalama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo mji tumeandaliwa, mji mzur huko mbinguni, watu wa Mungu utawakuta huko.
Wew uliye dunian sasa ishi ukiomba na wew uje ufike huko.
Maisha ya duniani hapa ni kibarua tu.
Ila kama ukifa na dhambi zako duu my dear utachomwa moto kuchomwa....
Kufa sio kitu kibaya, ubaya wengi wanao kufa wanaacha mapengo kilofa kutokana na kuwa hawakutimiza wajbu wao dunian ipasavyo, ndio maana wengi wanao achwa wanakaa kulalama.
Mimi nimemmaindi tu kutokana na sifa yake yakujua yaliyo mbeleni kabla hayajatokea. Kwa sifa hii inamaana alijua kua kivuko cha nyerere kitakuja kuzama lakini hakuzuia akaacha ndugu zetu wapoteze maisha wakati alikua na uwezo wa kuzuia.
Kwasifa hii bora tu asiwe anajua yajayo maana haina umuhimu, yaani unajua yajayo halafu huwezi kuyaepusha mabaya ambayo uliyaona kabla hata hayajatokea
Mimi ninamashaka sana na huyu mungu. Vitabu vyake vinatuambia hakuna linaloshindikana mbele zake, lakini tunaona ameshindwa kutokomeza dhambi pamoja na kumdhibiti shetani.
Tunaambiwa ombeni lolote nanyi mtapewa. Lakini tunaona wachungaji bila sadaka zetu hawaendi toilet, inamaana mungu kashindwa kuwasaidia watumishi wake kuwapatia hitaji lao mpaka wategemee sadaka za waumini ambao wamekua wakihangaika usiku na mchana kutafuta ridhiki kwa jasho kwa ajili ya familia zao?
Mungu huyu aliyekua hana masihala na watenda dhambi wakipindi icho, mpka kufikia hatua ya kuangamiza kizazi cha sodoma na gomora kwa moto. Leo hii america na nchi nyingi za ulaya zimehalarisha ndoa za jinsia moja lakini katulia tu bila kuchukua hatua yoyote.
Sent using unknown device
Sent using Jamii Forums mobile app