James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Kuna mwingine alisema nanukuu ' Mungu ni kama mwanamke' huyu naye anataka Mungu ampigie magoti nafkiri wanashida mahali. Mungu uwape neema na rehema za kujujua how good ,sweet and forgiving you are watoke ktk ujinga wao amen
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo