Kama kweli Netanyahu anaipenda Israel na waisrael, basi namshauri aonane na Ayatollah Khamenei haraka iwezekanavyo kabla mambo hayajamuharibikia

Kama kweli Netanyahu anaipenda Israel na waisrael, basi namshauri aonane na Ayatollah Khamenei haraka iwezekanavyo kabla mambo hayajamuharibikia

Niaje waungwana

Waungwana wenzangu, najua kuna watu wanajiuliza kwamba inawezekanaje mimi nimshauri mtu jeuri kama Benjamin Netanyahu aende akaonane na mtu kiburi kama Ayatollah Khamenei ambae ni adui yake mkuu namba 1 hapa duniani.

Obvious inaweza kuwa ngumu ukizingatia kuwa Netanyahu hataki aonekane kuwa anaenda kuomba poo kwa Khamenei, na pia huenda Khamenei asikubaliane na mpango wake wa kuonana na Netanyahu nk. Lakini ki ukweli ili Netanyahu aisitiri Israel na aweze kuishi kwa amani yeye na wazungu wenzake pale mashariki ya kati basi anahitajika sana kumuona Khamenei, iwe Iran, Saudia, Jordan au popote, wakae chini waombane msamaha, wasahau yaliopita na kukubaliana wagange yajayo kwa pamoja.

Kwanza Israel wakubali kuipatia Palestina uhuru wao, pili wahakikishe kuwa wale wayahudi wenye chuki mbaya hawavuki mipaka iliyowekwa na Umoja wa Mataifa na kwenda kuwatoa kwa nguvu wapalestina, kuwapiga, kuwakamata, na kujenga katika ardhi zao (Palestina) kinguvu kama wanavyofanya sasa hivi, hadi kupelekea Hamas kulipiza uvamizi huo kwa kuteka watu Israel na kuwapeleka kusikojulikana.

Kisha baada ya hapo wapange mipango ya kushirikiana pamoja katika maswala ya kiuchumi, kijeshi, teknolojia na kiintelejensi. Katika ushirikiano huo wa kiuchumi, kijeshi na kiintelejensi nina Imani atakaefaidika zaidi ni muisrael kwa vile muiran yuko far ahead (mbali mno) katika maswala ya kijeshi, kiuchumi kuliko muisrael. Na mifano hai ipo mingi, inaonekana kwa macho na matendo.

Mfano fikiria Iran imewekewa vikwazo vya kiuchumi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 lakini hata siku moja hauwezi kusikia kuwa imeomba, au imepewa msaada wa fedha na US,UK wala EU. Pamoja na vikwazo, ukubwa wa nchi na wingi wa population yake lakini jamaa wanasimama wenyewe na kuhakikisha kuwa hakuna janga la njaa kama lile tunalolishuhudia hapo Ethiopia, Somalia, Kenya nk ambapo hakuna kikwazo hata kimoja.

Kwa mambo ya jeshi (ulinzi) ndio kabisa. Nchi ina vikwazo lukuki vya kuizuia kutengeneza hata sindano, lkn jamaa wameweza kutumia akili zao kutengeneza silaha ambazo hadi leo wale walioiwekea vikwazo wanaona aibu. Fikiria mtu umemzungushia mbwa nje ya nyumba yake yote ili afe na njaa, asitoke kutafuta chakula, lakini unashangaa unamkuta sokoni au dukani ananunua chakula huku wewe muweka mbwa ukishindwa kujua kuwa jamaa alipitia wapi hadi kumkuta sokoni au dukani na wakati mbwa wakali bado wameizingira nyumba yake na milango yote imefungwa. Hapo lazima utaona tu aibu badala ya hasira, maana chuki yako kwake inakuwa haijamuathiri kwa lolote 😂😂😂

Leo hii Iran hiyo hiyo ambayo ina vikwazo vya kutengeneza silaha vilivyowekwa miaka zaidi ya 50 iliyopita ndo inayo supply baadhi ya silaha kwa Urusi ili iichape vizuri Ukraine na NATO yao, hadi nchi za magharibi zinapiga kelele na kukimbilia eti kuiwekea vikwazo vingine utafikiri kuwa hivyo ndio vikwazo vya kwanza kuwekewa, kumbe hawajui kwamba jamaa kila wanavyowekewa vikwazo ndio wanavyozidi kuwaongezea akili ya kuwafanya watafute njia za kujilinda zaidi.

Iran hiyo hiyo ambayo imewekewa vikwazo vya silaha bado inatengeneza silaha kibao mpaka zingine ina supply kwa vijana wao Hezbulah, Houth Yemen, shia group Iraq, na zingine wanampa Assad bure zimlinde mpaka leo.

Hii ni tofauti na Israel ambayo haina vikwazo vyovyote vya kutengeneza, kupewa au kuagiza silaha kutoka nje. Lakini bado wamebweteka, wameshindwa kujiongeza, ili siku ikitokea kuwekewa vikwazo vya silaha hata vya mwaka mmoja, basi waweze kujitegemea wenyewe kama wenzao Iran. Toka Dunia iumbwe mpaka leo hatujawahi kusikia Israel imempa mtu au nchi msaada hata wa bomu la kurusha kwa mkono, achilia mbali ndege au kifaru. Israel imekosa silaha hata za kumpa ndugu yao (Ukraine) anaebondwa kila siku na mrusi huko Ulaya. Tunachoona ni yeye kupewa tu sio kutoa. Hii inamaana kuwa jamaa hawana watu wa maana wa kuwatengenezea silaha zao wenyewe za kujilinda. Misilaha yote tunayoona inatumika kuua kina mama na watoto huko Gaza na Lebanon zilitengenezwa Na kuletwa kutoka Ulaya na Marekani kisha wanafunza namna ya kuzitumia. Ndomaana Netanyahu anarusha rusha tu hovyo maana anapewa tu bure, hazitengenezi yeye.

Hivyo wakiwa marafiki na Iran Kisha kuomba kushirikiana katika mambo ya ulinzi, uchumi, teknolojia na intelejensia basi Israel itafaidika, na itakuwa imara maradufu kiasi kwamba hakuna nchi yoyote hapo mashariki ya kati itakayomgusa Netanyahu anaeshirikiana kijeshi na Ayatollah.

Dunia kwa sasa imeshajua kuwa ni nani mbabe wa kweli wa mashariki ya kati kupitia silaha zao wenyewe. Mfano Ayatullah aliwahi kusema mapema tu kuwa Iran ina silaha zake yenyewe zenye uwezo wa kufika mahali popote kuanzia mashariki ya kati, Ulaya na dunia kwa ujumla tena kwa kasi inayoshinda sauti. Watu wakafikiri utani. Sasa kipigo alichotoa juzi ndo kimedhihirisha hilo. Alifyatua mitambo ambayo imesafiri Kilometres zaidi ya 2000 kwa dakika 8 tu, wakati treni ya umeme Dar to Moro inatumia zaidi ya saa 1 na nusu kwa kilometres zisizofika hata 200.

So Netanyahu bado ana muda wa kufanya hivyo mapema, before haujawa too late. Asitegemee sana wazungu ambao wakizidiwa huwa wanakimbia na kuacha kila kitu. Mfano ni hapo Afghanistan. Akishupaza shingo kuna siku atakumbana na mfululizo wa makombora kiasi ya kwamba atashindwa hata kuifikia ndege yake ili apate chance ya kukimbilia Marekani au UK.

Baba wa taifa mwl Julius Nyerere aliwahi kusema kuwa mtu akishaonja nyama ya mtu basi kuiacha huwa ni ngumu sana. Akimaanisha kuwa mtu huyo ataendelea tu kula nyama ya mtu kama sio dhahiri basi hata kwa kujificha. Hivyo kwa vile Iran ishatest mitambo na kuona kuwa Iron Dome yote ya Israel inavuja, basi hatoacha kuijambisha jambisha ili kuilemaza mifumo ya ulinzi hadi siku dunia itaposhangazwa na tukio ambalo halikufikiriwa kutokea. If you can't beat them just join them ili uwe salama.

Benjamin Netanyahu maji ya shingo, kakutana na mkorofi mwenzake Ayatullah. Yani kama Netanyahu ni kichaa basi Khamenei ni mwendawazimu kabisa. Akisema tutaipiga Israeli basi ujue wataipiga kweli, hata aende sheikh, ustaz, mchungaji au papa kumbembeleza ili asipige yeye atapiga tu, na mzigo utafika vizuri tu kule ulipoagizwa bila kukosea timing au target, kisha Israel na media zao wawe na kazi ya kukanusha na kuficha ukweli wa kipigo.
Umeandika maneno meengi kuonesha unaiogopa Israel. Netanyahu HAWEZI ku negotiate na gaidi! Negotiation naye ni KUPIGWA tu!
 
Wanajeshi wa Marekani wanafunga mifumo ya ulinzi wa anga huko Israel tayari kwa mapambano.

Mtaomba mno maridhiano jamaa wameamua kukinukisha.
Waziri wa jeshi la US na Waziri wa majeshi ya Israel kwenye maongezi yao ya simu tunaogopa Hezbullah asipige THAAD akaiharibia soko.

Pentagon Hezbullah kwa siku anatoa details mara 24 hapa inaonyesha wako very strong kuliko tulivyo wategemea kila saa moja kuna shambulio hakuna jeshi dunia linaweza kutoa report kila bada ya saa moja Hezbullah ipo very strong.
 
Mleta mada ni mtupu sana kichwani. Amekosa maarifa na uelewa. Riwaya ndefu lakini uwongo mtupu. Hajui masuala ya uchumi, hajui masuala ya kivita wala kidiplomasia. Ametoka usingizini na kuanza kuandika mambo yasiyo na uhalisia.

Hajui kuwa Iran ni kubwa na ina watu wengi kuliko Israel, LAKINI Israel ina uchumi mkubwa kuliko Iran.

In 2023, Iran's economic output was $403 billion, significantly lower than Israel's $509 billion. These differences become even starker when comparing the total value of goods and services produced a year.2 Oct 2024

Hajui kuwa Israel inatengeneza silaha mpaka inaziuzia baadhi ya nchi za kiarabu.

S
Small arms
 
HShida kubwa mnapenda sana porojo, yaani Israel ifanye mauaji ya kiongozi aliyealikwa na Serikali ya Iran ndani ya Iran na bado wewe unaona kuwa Israel haijaishambulia Iran?
Achilia hao viongozi mbalimbali wenye waliouawawa na Israel.
Au wewe unasubiri mashambulizi gani? Au maana ya neno mashambulizi ndiyo inakupiga chenga.
Iran hana nguvu hizo unazompa ya kusababisha machafuko mashariki ya
Sawa
 
Niaje waungwana

Waungwana wenzangu, najua kuna watu wanajiuliza kwamba inawezekanaje mimi nimshauri mtu jeuri kama Benjamin Netanyahu aende akaonane na mtu kiburi kama Ayatollah Khamenei ambae ni adui yake mkuu namba 1 hapa duniani.

Obvious inaweza kuwa ngumu ukizingatia kuwa Netanyahu hataki aonekane kuwa anaenda kuomba poo kwa Khamenei, na pia huenda Khamenei asikubaliane na mpango wake wa kuonana na Netanyahu nk. Lakini ki ukweli ili Netanyahu aisitiri Israel na aweze kuishi kwa amani yeye na wazungu wenzake pale mashariki ya kati basi anahitajika sana kumuona Khamenei, iwe Iran, Saudia, Jordan au popote, wakae chini waombane msamaha, wasahau yaliopita na kukubaliana wagange yajayo kwa pamoja.

Kwanza Israel wakubali kuipatia Palestina uhuru wao, pili wahakikishe kuwa wale wayahudi wenye chuki mbaya hawavuki mipaka iliyowekwa na Umoja wa Mataifa na kwenda kuwatoa kwa nguvu wapalestina, kuwapiga, kuwakamata, na kujenga katika ardhi zao (Palestina) kinguvu kama wanavyofanya sasa hivi, hadi kupelekea Hamas kulipiza uvamizi huo kwa kuteka watu Israel na kuwapeleka kusikojulikana.

Kisha baada ya hapo wapange mipango ya kushirikiana pamoja katika maswala ya kiuchumi, kijeshi, teknolojia na kiintelejensi. Katika ushirikiano huo wa kiuchumi, kijeshi na kiintelejensi nina Imani atakaefaidika zaidi ni muisrael kwa vile muiran yuko far ahead (mbali mno) katika maswala ya kijeshi, kiuchumi kuliko muisrael. Na mifano hai ipo mingi, inaonekana kwa macho na matendo.

Mfano fikiria Iran imewekewa vikwazo vya kiuchumi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 lakini hata siku moja hauwezi kusikia kuwa imeomba, au imepewa msaada wa fedha na US,UK wala EU. Pamoja na vikwazo, ukubwa wa nchi na wingi wa population yake lakini jamaa wanasimama wenyewe na kuhakikisha kuwa hakuna janga la njaa kama lile tunalolishuhudia hapo Ethiopia, Somalia, Kenya nk ambapo hakuna kikwazo hata kimoja.

Kwa mambo ya jeshi (ulinzi) ndio kabisa. Nchi ina vikwazo lukuki vya kuizuia kutengeneza hata sindano, lkn jamaa wameweza kutumia akili zao kutengeneza silaha ambazo hadi leo wale walioiwekea vikwazo wanaona aibu. Fikiria mtu umemzungushia mbwa nje ya nyumba yake yote ili afe na njaa, asitoke kutafuta chakula, lakini unashangaa unamkuta sokoni au dukani ananunua chakula huku wewe muweka mbwa ukishindwa kujua kuwa jamaa alipitia wapi hadi kumkuta sokoni au dukani na wakati mbwa wakali bado wameizingira nyumba yake na milango yote imefungwa. Hapo lazima utaona tu aibu badala ya hasira, maana chuki yako kwake inakuwa haijamuathiri kwa lolote 😂😂😂

Leo hii Iran hiyo hiyo ambayo ina vikwazo vya kutengeneza silaha vilivyowekwa miaka zaidi ya 50 iliyopita ndo inayo supply baadhi ya silaha kwa Urusi ili iichape vizuri Ukraine na NATO yao, hadi nchi za magharibi zinapiga kelele na kukimbilia eti kuiwekea vikwazo vingine utafikiri kuwa hivyo ndio vikwazo vya kwanza kuwekewa, kumbe hawajui kwamba jamaa kila wanavyowekewa vikwazo ndio wanavyozidi kuwaongezea akili ya kuwafanya watafute njia za kujilinda zaidi.

Iran hiyo hiyo ambayo imewekewa vikwazo vya silaha bado inatengeneza silaha kibao mpaka zingine ina supply kwa vijana wao Hezbulah, Houth Yemen, shia group Iraq, na zingine wanampa Assad bure zimlinde mpaka leo.

Hii ni tofauti na Israel ambayo haina vikwazo vyovyote vya kutengeneza, kupewa au kuagiza silaha kutoka nje. Lakini bado wamebweteka, wameshindwa kujiongeza, ili siku ikitokea kuwekewa vikwazo vya silaha hata vya mwaka mmoja, basi waweze kujitegemea wenyewe kama wenzao Iran. Toka Dunia iumbwe mpaka leo hatujawahi kusikia Israel imempa mtu au nchi msaada hata wa bomu la kurusha kwa mkono, achilia mbali ndege au kifaru. Israel imekosa silaha hata za kumpa ndugu yao (Ukraine) anaebondwa kila siku na mrusi huko Ulaya. Tunachoona ni yeye kupewa tu sio kutoa. Hii inamaana kuwa jamaa hawana watu wa maana wa kuwatengenezea silaha zao wenyewe za kujilinda. Misilaha yote tunayoona inatumika kuua kina mama na watoto huko Gaza na Lebanon zilitengenezwa Na kuletwa kutoka Ulaya na Marekani kisha wanafunza namna ya kuzitumia. Ndomaana Netanyahu anarusha rusha tu hovyo maana anapewa tu bure, hazitengenezi yeye.

Hivyo wakiwa marafiki na Iran Kisha kuomba kushirikiana katika mambo ya ulinzi, uchumi, teknolojia na intelejensia basi Israel itafaidika, na itakuwa imara maradufu kiasi kwamba hakuna nchi yoyote hapo mashariki ya kati itakayomgusa Netanyahu anaeshirikiana kijeshi na Ayatollah.

Dunia kwa sasa imeshajua kuwa ni nani mbabe wa kweli wa mashariki ya kati kupitia silaha zao wenyewe. Mfano Ayatullah aliwahi kusema mapema tu kuwa Iran ina silaha zake yenyewe zenye uwezo wa kufika mahali popote kuanzia mashariki ya kati, Ulaya na dunia kwa ujumla tena kwa kasi inayoshinda sauti. Watu wakafikiri utani. Sasa kipigo alichotoa juzi ndo kimedhihirisha hilo. Alifyatua mitambo ambayo imesafiri Kilometres zaidi ya 2000 kwa dakika 8 tu, wakati treni ya umeme Dar to Moro inatumia zaidi ya saa 1 na nusu kwa kilometres zisizofika hata 200.

So Netanyahu bado ana muda wa kufanya hivyo mapema, before haujawa too late. Asitegemee sana wazungu ambao wakizidiwa huwa wanakimbia na kuacha kila kitu. Mfano ni hapo Afghanistan. Akishupaza shingo kuna siku atakumbana na mfululizo wa makombora kiasi ya kwamba atashindwa hata kuifikia ndege yake ili apate chance ya kukimbilia Marekani au UK.

Baba wa taifa mwl Julius Nyerere aliwahi kusema kuwa mtu akishaonja nyama ya mtu basi kuiacha huwa ni ngumu sana. Akimaanisha kuwa mtu huyo ataendelea tu kula nyama ya mtu kama sio dhahiri basi hata kwa kujificha. Hivyo kwa vile Iran ishatest mitambo na kuona kuwa Iron Dome yote ya Israel inavuja, basi hatoacha kuijambisha jambisha ili kuilemaza mifumo ya ulinzi hadi siku dunia itaposhangazwa na tukio ambalo halikufikiriwa kutokea. If you can't beat them just join them ili uwe salama.

Benjamin Netanyahu maji ya shingo, kakutana na mkorofi mwenzake Ayatullah. Yani kama Netanyahu ni kichaa basi Khamenei ni mwendawazimu kabisa. Akisema tutaipiga Israeli basi ujue wataipiga kweli, hata aende sheikh, ustaz, mchungaji au papa kumbembeleza ili asipige yeye atapiga tu, na mzigo utafika vizuri tu kule ulipoagizwa bila kukosea timing au target, kisha Israel na media zao wawe na kazi ya kukanusha na kuficha ukweli wa kipigo.
Hamumjui marekani nyie,ndio yupo nyuma ya vita ya Ukreini,mashariki ya kati,Venezuela aliekoswakoswa ni Mchina pekee and ndio aliebakia Kwa sasa,Kwa Russia alianza na kuisambaratisha Yugoslavia kwakua hataki mtu amzidi,anataka gas,Madini and mafuta kule,the same na mashariki ya kati kuna natural resources zakutosha,90% ya silaha za Israel zimetoka US,the same na Ukreini plus wanajeshi wapo kote.
Power, natural resources plus kuuza silaha ili wapate hela hizo ndio sera za US.
 
Huyu kalewa ugali mkuu hahahah

Bwege mleta mada hahakuna anachojua. Kama anajua kiingereza asome kwanza nukuu hizi hapa chini:

Who is the biggest importer of Israeli weapons?


Trade Balance

In 2022, Israel exported $357M in Weapons. The main destinations of Israel exports on Weapons were United States ($123M), Philippines ($65.7M), India ($41.1M), Thailand ($27.1M), and Spain ($12M).
Does China buy weapons from Israel?


China had looked to Israel for the arms and military technology it could not acquire from the United States, Europe and Russia. Israel is now China's second-largest foreign supplier of arms after Russia with China having purchased a wide array of military equipment and technology, including communications satellites.

Why is Israel so powerful?


The prosperity of Israel's advanced economy allows the country to have a sophisticated welfare state, a powerful modern military said to possess a nuclear-weapons capability with a full nuclear triad, modern infrastructure rivaling many Western countries, and a high-technology sector competitively on par with Silicon ...
 
Hamumjui marekani nyie,ndio yupo nyuma ya vita ya Ukreini,mashariki ya kati,Venezuela aliekoswakoswa ni Mchina pekee and ndio aliebakia Kwa sasa,Kwa Russia alianza na kuisambaratisha Yugoslavia kwakua hataki mtu amzidi,anataka gas,Madini and mafuta kule,the same na mashariki ya kati kuna natural resources zakutosha,90% ya silaha za Israel zimetoka US,the same na Ukreini plus wanajeshi wapo kote.
Power, natural resources plus kuuza silaha ili wapate hela hizo ndio sera za US.
Msiwe mnaropoka bila tafiti.

Ni uwongo mkubwa kusema kuwa eti 90% ya silaha za Israel zinatoka USA.

Does Israel manufacture its own weapons?

Israel has built up its own defence industry with US cooperation, and now ranks as the ninth-largest arms exporter in the world, with a focus on advanced technological products.

Why is Israel's military so strong?


Israel's Defense Forces are known to be one of the most equipped militaries across the globe. Its annual budget exceeds $20 billion and Israel also has access to America's high-tech equipment. Moreover, the cyber capabilities of Israel's military is also commendable.22 Oct 2023.
 
Niaje waungwana

Waungwana wenzangu, najua kuna watu wanajiuliza kwamba inawezekanaje mimi nimshauri mtu jeuri kama Benjamin Netanyahu aende akaonane na mtu kiburi kama Ayatollah Khamenei ambae ni adui yake mkuu namba 1 hapa duniani.

Obvious inaweza kuwa ngumu ukizingatia kuwa Netanyahu hataki aonekane kuwa anaenda kuomba poo kwa Khamenei, na pia huenda Khamenei asikubaliane na mpango wake wa kuonana na Netanyahu nk. Lakini ki ukweli ili Netanyahu aisitiri Israel na aweze kuishi kwa amani yeye na wazungu wenzake pale mashariki ya kati basi anahitajika sana kumuona Khamenei, iwe Iran, Saudia, Jordan au popote, wakae chini waombane msamaha, wasahau yaliopita na kukubaliana wagange yajayo kwa pamoja.

Kwanza Israel wakubali kuipatia Palestina uhuru wao, pili wahakikishe kuwa wale wayahudi wenye chuki mbaya hawavuki mipaka iliyowekwa na Umoja wa Mataifa na kwenda kuwatoa kwa nguvu wapalestina, kuwapiga, kuwakamata, na kujenga katika ardhi zao (Palestina) kinguvu kama wanavyofanya sasa hivi, hadi kupelekea Hamas kulipiza uvamizi huo kwa kuteka watu Israel na kuwapeleka kusikojulikana.

Kisha baada ya hapo wapange mipango ya kushirikiana pamoja katika maswala ya kiuchumi, kijeshi, teknolojia na kiintelejensi. Katika ushirikiano huo wa kiuchumi, kijeshi na kiintelejensi nina Imani atakaefaidika zaidi ni muisrael kwa vile muiran yuko far ahead (mbali mno) katika maswala ya kijeshi, kiuchumi kuliko muisrael. Na mifano hai ipo mingi, inaonekana kwa macho na matendo.

Mfano fikiria Iran imewekewa vikwazo vya kiuchumi kwa muda wa miaka zaidi ya 50 lakini hata siku moja hauwezi kusikia kuwa imeomba, au imepewa msaada wa fedha na US,UK wala EU. Pamoja na vikwazo, ukubwa wa nchi na wingi wa population yake lakini jamaa wanasimama wenyewe na kuhakikisha kuwa hakuna janga la njaa kama lile tunalolishuhudia hapo Ethiopia, Somalia, Kenya nk ambapo hakuna kikwazo hata kimoja.

Kwa mambo ya jeshi (ulinzi) ndio kabisa. Nchi ina vikwazo lukuki vya kuizuia kutengeneza hata sindano, lkn jamaa wameweza kutumia akili zao kutengeneza silaha ambazo hadi leo wale walioiwekea vikwazo wanaona aibu. Fikiria mtu umemzungushia mbwa nje ya nyumba yake yote ili afe na njaa, asitoke kutafuta chakula, lakini unashangaa unamkuta sokoni au dukani ananunua chakula huku wewe muweka mbwa ukishindwa kujua kuwa jamaa alipitia wapi hadi kumkuta sokoni au dukani na wakati mbwa wakali bado wameizingira nyumba yake na milango yote imefungwa. Hapo lazima utaona tu aibu badala ya hasira, maana chuki yako kwake inakuwa haijamuathiri kwa lolote 😂😂😂

Leo hii Iran hiyo hiyo ambayo ina vikwazo vya kutengeneza silaha vilivyowekwa miaka zaidi ya 50 iliyopita ndo inayo supply baadhi ya silaha kwa Urusi ili iichape vizuri Ukraine na NATO yao, hadi nchi za magharibi zinapiga kelele na kukimbilia eti kuiwekea vikwazo vingine utafikiri kuwa hivyo ndio vikwazo vya kwanza kuwekewa, kumbe hawajui kwamba jamaa kila wanavyowekewa vikwazo ndio wanavyozidi kuwaongezea akili ya kuwafanya watafute njia za kujilinda zaidi.

Iran hiyo hiyo ambayo imewekewa vikwazo vya silaha bado inatengeneza silaha kibao mpaka zingine ina supply kwa vijana wao Hezbulah, Houth Yemen, shia group Iraq, na zingine wanampa Assad bure zimlinde mpaka leo.

Hii ni tofauti na Israel ambayo haina vikwazo vyovyote vya kutengeneza, kupewa au kuagiza silaha kutoka nje. Lakini bado wamebweteka, wameshindwa kujiongeza, ili siku ikitokea kuwekewa vikwazo vya silaha hata vya mwaka mmoja, basi waweze kujitegemea wenyewe kama wenzao Iran. Toka Dunia iumbwe mpaka leo hatujawahi kusikia Israel imempa mtu au nchi msaada hata wa bomu la kurusha kwa mkono, achilia mbali ndege au kifaru. Israel imekosa silaha hata za kumpa ndugu yao (Ukraine) anaebondwa kila siku na mrusi huko Ulaya. Tunachoona ni yeye kupewa tu sio kutoa. Hii inamaana kuwa jamaa hawana watu wa maana wa kuwatengenezea silaha zao wenyewe za kujilinda. Misilaha yote tunayoona inatumika kuua kina mama na watoto huko Gaza na Lebanon zilitengenezwa Na kuletwa kutoka Ulaya na Marekani kisha wanafunza namna ya kuzitumia. Ndomaana Netanyahu anarusha rusha tu hovyo maana anapewa tu bure, hazitengenezi yeye.

Hivyo wakiwa marafiki na Iran Kisha kuomba kushirikiana katika mambo ya ulinzi, uchumi, teknolojia na intelejensia basi Israel itafaidika, na itakuwa imara maradufu kiasi kwamba hakuna nchi yoyote hapo mashariki ya kati itakayomgusa Netanyahu anaeshirikiana kijeshi na Ayatollah.

Dunia kwa sasa imeshajua kuwa ni nani mbabe wa kweli wa mashariki ya kati kupitia silaha zao wenyewe. Mfano Ayatullah aliwahi kusema mapema tu kuwa Iran ina silaha zake yenyewe zenye uwezo wa kufika mahali popote kuanzia mashariki ya kati, Ulaya na dunia kwa ujumla tena kwa kasi inayoshinda sauti. Watu wakafikiri utani. Sasa kipigo alichotoa juzi ndo kimedhihirisha hilo. Alifyatua mitambo ambayo imesafiri Kilometres zaidi ya 2000 kwa dakika 8 tu, wakati treni ya umeme Dar to Moro inatumia zaidi ya saa 1 na nusu kwa kilometres zisizofika hata 200.

So Netanyahu bado ana muda wa kufanya hivyo mapema, before haujawa too late. Asitegemee sana wazungu ambao wakizidiwa huwa wanakimbia na kuacha kila kitu. Mfano ni hapo Afghanistan. Akishupaza shingo kuna siku atakumbana na mfululizo wa makombora kiasi ya kwamba atashindwa hata kuifikia ndege yake ili apate chance ya kukimbilia Marekani au UK.

Baba wa taifa mwl Julius Nyerere aliwahi kusema kuwa mtu akishaonja nyama ya mtu basi kuiacha huwa ni ngumu sana. Akimaanisha kuwa mtu huyo ataendelea tu kula nyama ya mtu kama sio dhahiri basi hata kwa kujificha. Hivyo kwa vile Iran ishatest mitambo na kuona kuwa Iron Dome yote ya Israel inavuja, basi hatoacha kuijambisha jambisha ili kuilemaza mifumo ya ulinzi hadi siku dunia itaposhangazwa na tukio ambalo halikufikiriwa kutokea. If you can't beat them just join them ili uwe salama.

Benjamin Netanyahu maji ya shingo, kakutana na mkorofi mwenzake Ayatullah. Yani kama Netanyahu ni kichaa basi Khamenei ni mwendawazimu kabisa. Akisema tutaipiga Israeli basi ujue wataipiga kweli, hata aende sheikh, ustaz, mchungaji au papa kumbembeleza ili asipige yeye atapiga tu, na mzigo utafika vizuri tu kule ulipoagizwa bila kukosea timing au target, kisha Israel na media zao wawe na kazi ya kukanusha na kuficha ukweli wa kipigo.
Weee mavi!
 
Wanajeshi wa Marekani wanafunga mifumo ya ulinzi wa anga huko Israel tayari kwa mapambano.

Mtaomba mno maridhiano jamaa wameamua kukinukisha.
Mifumo ambayo kila siku drone za Iran zinaitwanga 🔥 huko Ukraine
 

Attachments

  • IMG_20241013_161748.jpg
    IMG_20241013_161748.jpg
    75.1 KB · Views: 1
Wanajeshi wa Marekani wanafunga mifumo ya ulinzi wa anga huko Israel tayari kwa mapambano.

Mtaomba mno maridhiano jamaa wameamua kukinukisha.
Sio wanafunga, sema wanaongeza. Maana mifumo yao ya ulinzi ipo hapo zaidi ya miaka 30, ukijulimsha na mingine ya Ufaransa Ujerumani Uingereza nk. Hilo hata wewe mwenyewe ukiweka unafiki pembeni unalijua. Lakini bado wamepigwa na kitu kizito mara mbili bila kujibu hata mara moja 😂😂😂.

Hivyo ni vizuri kumsogelea Ayatullah Khamenei mapema ili kujua siri ya mafanikio yao. Kama wanatumia nini kuwa na uwezo usiowezwa na wale wasiokuwa na vikwazo kama Israel.

Haiwezekani mtu ana vikwazo miaka zaidi ya 50, lakini bado ana nguvu ya kupenya mifumo ya wale waliomuwekea vikwazo hivyo.
 
Hahahah, ngoja ajitoe ufahamu, Huyu kashiba ugali na vidagaa sasa vinaanza kucheza kichwan
Unapongeza Israel iendelee kuwa tegemezi wa kuzitegemea Marekani Uingereza Ufaransa Ujerumani nk NATO kulindwa. Badala ya kujifunza kujitegemea yenyewe kama Iran ambayo imefanikiwa kuwaonesha mabeberu kuwa vikwazo vyao mbele ya wenye akili nyingi kuwa si lolote wala si chochote 😂😂😂😂.

Basi ataendelea kuwa mnyonge tu miaka yote. Maana tumeona mifumo yao dhaifu ya Iron Dome na ile ya hao hao washirika wake iliyopo pale Israel imeshindwa kumsaidia kuzuia shambulizi la waliowekewa vikwazo uchwara.
 
Hizi stori mnazodanganya mizani online ni tatizo hizi ndio akili za kobazi aliyehitimu elimu ya madrasa anamshauri netanyahuu upuuzi kama huu akajisalimishe kwa magaidi wenye kiu ya kuifuta israel wewe ungemshauri Ayattollah ndio ajisalimishe maana yupo kwenye targeti za mosadi
Ayatullah hana kiu ya kuifuta Israel, bali ana kiu ya kuona Wapalestina wanapewa haki zao na uhuru wao.

Ingekuwa tatizo ni Israel au waisrael basi angeanza kwanza na wayahudi zaidi ya laki 7 wa Iran. Iran ina raia zaidi ya laki 7 wenye asili ya Israel (wayahudi) na hakuna mtu anaeweza kuthubutu kwenda kuwagusa pale Iran. Maana ukimgusa myahudi wa Iran unakuwa umemgusa moja kwa moja Ayatollah. Hivyo atakuchapa tu. Hata pale Palestina kuna wayahudi lukuki wa kipalestina na hawaguswi na mtu. Tatizo na hawa wanaotumia silaha za Marekani na Ulaya kuwanyanyasa wenzao huko Palestina ndo maana wanachapwa kila siku.
 
Back
Top Bottom