Kama kweli Netanyahu anaipenda Israel na waisrael, basi namshauri aonane na Ayatollah Khamenei haraka iwezekanavyo kabla mambo hayajamuharibikia

Ushashiba makande naona unajamba tu ushuzi kwenye thread za watu wenye akili.
 
Ni umerukwa na akili au kichaa kimepanda kichwani!!!!

Israel ni ya kujisalimisha kwa Iran ama kweli madrasa ni majanga htr
Hawa wavaa makubasi ni wajinga na wapumbavu wa kupindukia! Israel ikiamua kupigana vita na Iran, ndo utakuwa mwisho wa itikadi za kiislamu za Iran kwasababu wataipiga na kuweka serikali yenye mwendo wa magharibi kama ilivyotokea ujerumani na Iraq. Israel ni mlima, Iran ni kichuguu kwenye mizania ya vita.
Labda niwape historia ya Israel. Israel 🇮🇱 asili yake ina makabila 12. Makabila 10.5 yalipotea na hayajulikani yalipo ni kama kizazi chose kilitawanyika katika mataifa ya magharibi hasahasa Marekani na Canada. Israel 🇮🇱 ya sasa imejengwa na kabila moja tu la Yuda na nusu kabila la Benjamin. Vinasaba vya makabila 10 na nusu ulimwenguni ndio wavumbuzi wakubwa wa technologia ya sayansi duniani. Marekani yenyewe ni nchi ya wahamiaji (free land) na uwe na uhakika kwa takwimu za kalenda mataifa yaliyojenga Marekani yalitoka Europe (Ulaya) na ulaya kusini katika nchi zilizopakana na Israel. Mmarekani anamuhitaji Israel kuliko Israel inavyomuhitaji Mmarekani! Athari za ughaidi ziliwahi kuigharimu Marekani kuliko nchi yoyote duniani tukiitoa Israel. Iran ndo nchi pekee iliyojinasibu kufadhiri ugaidi (pasipo shaka) na chini kwa chini wakisaidiwa na Ufaransa.
Tukija kwenye uwanda wa vita, katika mashariki ya kati nchi ambayo ina mfumo wa kulipua ballistic na cruise missile zikiwa hewani na mwenye uzoefu ni Israel. Iran sidhani kama ana missile ngapi za kumudu kupenetrate anga la Israel na kuleta madhara kama vita itaenda kwa mwaka mzima. Iran haina antimisile defence system na hata kama inayo haijawahi fanyiwa majaribio; hivyo huwe na uhakika kila missile ambayo Israel itaituma Iran lazima ifanye mahafa!
 
Ni muda sasa wa Ayatollah kuwashirikisha Afghanistan wale hii show ndio wataimudu wale wanaweza kutembea ata 20years nadhani afanye hivyo
Wale jamaa hawana masihara kabisa. Iwe mvua, jua, tambarare, bonde, milima wao wapo tu mpaka mnakimbia wenyewe 😂😂😂
 
Huyo Khemenei mwaka huu hauishi Netanyahu anamla kichwa ili akabikiriwe na Allah mbele huko. Unatishia nyau wayahudi???
 
Effects of writing while musterbating!!!
 
Kijana acha kuamini upumbavu, maana waliokufundisha huo upumbavu wataendelea kukufanya wewe mpumbavu daima. Kwa ujinga wako unafikiri hapa ni sehemu ya kuja kuandika ujinga alafu watu wakuangalie tu. Look bro.. watu tumeshachoka na vijistory sijui vya makabila 12 nk. Hapa hatupo kanisani, madrasa wala masinagogi. Jenga au tetea hoja kwa mambo yanayoeleweka bila kuingiza yalio kwenye vitabu vya dini ili hata wale wasiokuwa na dini waweze kufaidika. Hayo mambo ya makabila 12 yabaki huko huko kanisani na misikitini.

Hoja ni kwamba je jamaa hawajawekewa vikwazo vya silaha au wamewekewa?

Je vikwazo hivyo vimeathiri akili na maarifa yao ya kutengeneza silaha au wametengeneza?

Israeli ambayo haina vikwazo vya kutengeneza silaha haipewi msaada wa silaha au inapewa?

Je kwanini nchi ambayo ina vikwazo vikali vya kutengeneza silaha inaunda silaha zake yenyewe, inasambaza misaada ya silaha hizo kwa hezbulah, houth, Syria na Russia halafu nchi ambayo haina vikwazo vya silaha inategemea kupewa silaha na nchi nyingine, hata siku moja hatujasikia ikutoa msaada wa bomu hata la kurusha mkono kwa wenzao Ukraine wanaopitia wakati mgumu?

Hayo mambo ya makabila sijui watu kutawanyika nk. Mengi ni porojo tu zisizokuwa na mashiko yoyote. Hizo Marekani na Canada unazosema wewe kuwa ndio wayahudi wapo hazina hata miaka mia nne toka zianzishwe. Je hiyo miaka ya nyuma kabla ya kuanzishwa Marekani na Canada hao wayahudi unaosema hapa walikuwa wapi na walifanya kipi cha maana? Je hakuna wazungu na watu wa race zingine waliokuwa na uwezo na akili asipokuwa wao? Kama ndio je wale waroma na wagiriki na waturuki waliotawala enzi hizo unawachukuliaje?

Mada ijadiliwe kiakili na ki facts bila kukimbilia kujificha kwenye kichaka cha vitabu vya dini. Tumeona Iran ikiishambulia Israel mara mbili, je na hili shambulizi pia unataka tukalisome kwenye vitabu vya dini ambavyo viliandikwa na watu huku sisi tukiwa hatujazaliwa?

Wengine tunaamini yale tunayoyaona sio kusikia au kusoma tu kwenye biblia na msahafu. Kichapo cha juzi tumelishuhudia wenyewe kwa macho yetu.
 
mwarab ni uharo tuu mbele ya myahudi....nyahu zidisha kipigoo palee
Netanyahu kapigiwa kwao mara mbil bila kujibu hata moja 😂😂😂

Iran sio waarab wewe myahudi wa mchambia wima.
 
Wewe kweli una akili na ni mfuatiliaji mkubwa wa kile kinachoendelea mashariki ya kati.
 
Mkuu mbona Iran+Hamas+Houth+Hezbollar wote wanahubiri death to America na Death to Israel??
 
Wewe ni kwamba una uelewa duni au unafanya maigizo ya kutokuwa na akili?

Iran safari iliyopita ilirusha makombora zaidi ya 300, karibia yote yalidunguliwa kabla hayajaingia ardhi ya Israel. Machache yaliyoingia yalidunguliwa, na mabaki yalimjeruhi ntu mmoja tu, na hakukuwa na madhara yoyote makubwa.

Israel ilijibu kwa kurusha kombora moja tu tokea kwenye ndege, ikateketeza mtambi wa kurushia makombora wa Iran. Hiyo inaonesha precision na ubora wa hao Wayahudi katika vita ukilinganisha na Iran.

SAfari hii Iran imerusha makombora zaidi ya 200, mengi yalidunguliwa, machache yaliyotua yaliangukia maeneo yasiyo na kitu. Sasa usubirie hao wayahudi watakachofanya, wanaweza kurusha matatu tu, lakini utaona madhara yake.

Uwingi bila umakini, ni upotevu wa rasilimali.
 
Hizi ni taarifa ambazo hata wewe unaweza kuziandika na kuzichapisha. Ukizingatia kuwa nchi za magharibi ndio zinazoshikilia vyombo vyote vya propaganda. Hata Tz kuna kiongozi aliwahi kusema kuwa jeshi la Tanzania ni miongoni mwa majeshi kumi bora duniani. Hivyo hiyo ni kawaida sana kwenye swala linalohusu propaganda. Sema kumekuwa na utaratibu wa kukubali au kukataa propaganda kulingana na nchi.

Mfano wewe unaipenda Israel hivyo hata ukiona wameandika propaganda ya uongo utaikubali tu na kuitumia kudanganya wengine ili kuuridhisha moyo wako. Lakini propaganda hiyo hiyo ukiikuta kwa Iran utaipinga na kuitumia kuwaonesha watu kuhusu hiyo propaganda.
 
Falsafa ya Iran na makundi yake yote ya kigaidi ni kwamba Wazayuni hawatakiwi kuwepo Duniani, wanatakiwa kuangamizwa.
 
Upuuzi mtupu.
 
Unaaandika utumbo mrefuuuuuu kutaka kujifariji.

Hatuna muda wakusoma ugaidi na utapeli

Ishu ya kufanya chukueni "p-diddy oil" then Kaeni tuli mliweView attachment 3123507
View attachment 3123508
Hivi Neta Nyau aliposema viongozi wa magaidi na wafadhili wao are living dead, au wanaishi kwa muda wa mkopo hawakumwelewa au walidhani anatania.

Na amesema hivi karibuni wananchi wa Iran watakombolewa, nadhan hapo pia hawajaelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…