Huyu padri, alishakuwa na makosa mengi ya kinidhamu katika utumishi wake. Kutokana na hilo, ameishaonywa na kuhamishwa mara nyingi. Huko Bugandika alianza ulevi sana. Kufikia mpaka anabebwa kurudishwa Parokiani kwa ajili ya ulevi. Kwa hiyo akishakengeuka.