Kama kweli Sabaya ana hii hatia leo aburutwe Mahakamani

Kwa hiyo unampangia Raisi nini cha kufanya
 
Nauliza tuu

Hivi Kinana na Mwigulu wana jisikiaje kwa aliyo yafanya Sabaya.??

Kuna taarifa kwamba wakati Sabaya akiwa na kesi ya kugushi kitambulisho alie muokoa kwanye hili janga ni alie kuwa Katibu mkuu wa Ccm wakati huo bwana mkubwa Kinana baada ya kuombwa na bwana mwingine alie kuwa mwenezi wa chama hicho rqfiki yetu Mwigulu.

Na kweli kesi ilifutwa japo hukumu ilisha andaliwa ya kumpeleka Sabaya akarushe ndege Kisongo. Wenye kumbukumbu mta kumbuka Sabaya alivyo kwenda na wahuni wengi mahakamani kumshangilia maana alisha jua matokeo.

Ukuu wa Wilaya aliupata kwa chapuo za hao hao wawili kama fadhila ya kutekeleza jambo moja baya sana Arusha dhidi ya Chadema.

Nitaliweka siku nyingine.
Leo kaondoshwa kwa aibu. Je? Mwigulu na Kinana mna la kusema?
 
hivi ndivyo inavyopaswa kuwa ,ndo maana hatuelewi masheikh wa uamsho wanafanya nn
 
Kama hizi ni tuhuma za kweli basi Sabaya ni JAMBAZI lililokuwa ndani ya Serikali.
 
Ukiwa CCM unaua hadharani, unasishwa kupisha uchunguzi. Kisha unaachiwa huru.
Je unakumbuka ya Ditopile, Akwilina, yule mwandishi aliyeuwawa Nyololo (Iringa), .....?
Ukiwa ni mungu mtu
 
Kosa la jinai alafu Diwani afungue kesi? Anyway naanza kupata picha huenda Sabaya anasingiziwa.
Mkuu tuishi kisheria how polisi wafanye upelelezi bila ya docket?Diwani ndio anayeona amefanyiwa ukatili huu na suspect,ni wajibu wake kwenda police post na kufungua mashitaka.
 
Visasi sio vema unanikumbusha era ya mwendazake,tuishi kwa kuheshimu wajibu wa kisheria,our President Samia ameshaonyesha nia ya kuifanya nchi yetu iwe ina heshimu sheria zake.
 
Vigilantes kesho tunaanza kazi, lbda afichwe tusimbambe, tukimbamba ama zetu ama zake, mama kaanzisha tu, sisi tunamalizia
 
I understood you ila hatuwezi kufanya uhalifu huu kuwa ni sehemu ya maisha yetu,hatuwezi kuhalalisha haya mkuu wangu na sio mabaya mawili yanatengeneza jambo moja jema!
 
Hivi nani aliruhusu mtu kama Sabaya akawa ndani ya ofisi za umma? Mbona anaonekana hayuko sawa kiakili na ni mtu mkatili sana? Tena mwenye tamaa kubwa ya mali
 
KWA iyo wale waliomahabusu miaka minne ,8 ni sio binadam ,nae akae KWA taratibu zilezile wakati uchungunzi unaendelea, lahana Sana huyu jamaa
 
Sabaya akae ndani miaka 8 kwanza kama wazee wa uhamsho kusubiria ushahidi kukamilika
 
Ameshafikishwa vipi kuna jingine Tena unataka ndugu yangu?
 
Uzuri wake nishakureport subiri ban yako upumzike ujifunze nidhamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…