thadayo
Senior Member
- Jan 28, 2023
- 183
- 175
Duh,,,pole!!!!!Magufuli nilimpenda sana, ilivyotangazwa amefariki nilishindwa kula na kulala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh,,,pole!!!!!Magufuli nilimpenda sana, ilivyotangazwa amefariki nilishindwa kula na kulala
nilijua tu ukilelewa na mjomba akili zinakua za kimama!Baba yangu hayupo kwenye dunia labda nimwambie mjomba wangu au haruhusiwi?
Ndiyo mjomba ni mama.nilijua tu ukilelewa na mjomba akili zinakua za kimama!
si ushasikia mjomba ni mama
sasa mtoto wa kiume kaza akili usipende vitu vya kilaini laini havinaga tijaNdiyo mjomba ni mama.
Lini tukatembelee kaburi la mpendwa wako.sasa mtoto wa kiume kaza akili usipende vitu vya kilaini laini havinaga tija
🚮🚮Kwa kukufanya kunya kwa amani
Kakamilisha bwawa la Nyerere, kakamilisha SGR ya Dar-Dom, kaongeza ukusanyaji wa mapato kutoa 1T za JPM hadi 2T!! Anajenga Kinyerezi 3 ya kuongeza umeme wa gesi, mwendokasi phase 4 and 5, kaongeza ajira zaidi ya mara 4 ya alizotoa JPM, uwekezaji umeongezeka zaidi ya mara 4 ya enzi za JPM na n.khaya huyu ambae si dikiteta amewaletea nn
Mkuu nadhani hujanielewa, Mama samia ana mazuri kibao in fact ameongeza makusanyo x2 zaidi ya JPM licha ya kwamba huwa tunamuita dhaifu. Kwanini? Sababu madhaifu yake ya kiuongoze yanazidi mafanikio yake ya kimiundombinuNa pia mimi simchukulii magufuli kama malaika/mtu mkamilifu, ana madhaifu/maudhi yake mengi tu aliyokuwq akiyafanya ambayo hata mimi binafsi yalikuwa yananikera... ila ninachokiona hapa nyie haters wake ni kama mnataka watu tuangalie yale mabaya yake tu hili kufurahisha nafsi zenu na ndio maana mnafanya kuzi-crop comment zangu na kisha kujibu tuvipande ambavyo hamkubaliani navyo.
Mapato yameongezeka kwa kuuza rasilimali zetu?!Kakamilisha bwawa la Nyerere, kakamilisha SGR ya Dar-Dom, kaongeza ukusanyaji wa mapato kutoa 1T za JPM hadi 2T!! Anajenga Kinyerezi 3 ya kuongeza umeme wa gesi, mwendokasi phase 4 and 5, kaongeza ajira zaidi ya mara 4 ya alizotoa JPM, uwekezaji umeongezeka zaidi ya mara 4 ya enzi za JPM na n.k
Lakini licha ya hayo yote bado anaitwa fisadi na dhaifu, unadhani miundombinu ndio itamuokoa?
Wewe ndo hauna akili naona unajaribu kubishana na majibu ambayo unayo ata wewe..Tujikite kwenye kutetea taifa labda kama wewe unaishi kwa shemeji yako na kila kitu unategemea akupatie kupitia nguvu ya dada yako kitandani.Kwanza kajifunze kusoma na kuandika ndiyo uje JF kubishana na wenye akili. Hakuna neno "ekali" kwenye Kiswahili
Siwezi bishana na wewe kwa sababu nimeandika kitu kinachoelewaka hapo.Mkuu hakuna anayekubaliana na wazo kuwa Magufuli alijenga hiyo interchange kwa hela yake.
Kwa Mujibu wa rais samia Magufuli alificha hela kibao China, hapo kasimamia kodi yetu vizuri kivipi???
Mkuu unakumbuka kivuko cha kwenda Bagamoyo? Je, Magufuli alisimamia kodi yetu vizuri??? Unafiki sio mzuri.
Hakuna pia anayemsifia Samia kwa upuuzi wa namna hiyo, unakimbia hoja kwa kujificha kwenye maneno hayo!!!
Hapa nyeusi inaitwa nyeusi sio kijivu!!!
Kwa kuongeza makodi kibao yasiokuwa na kichwa wala miguu yanayowakamua wanainchi bila huruma lazima makusanyo yawe juu.... pamoja na hivyo hayo mapato hata kama yamaongezeka haina maana au umuhimu haonekani ikiwa kama kiasi kikubwa kinaishia mifukoni mwa mafisadi na yeye ameshindwa kuyathibiti.... binafsi huwa naona hata uvivu kuuongelea huu uongozi wa Samia, wanaoufurahia acha waufurahie.Mkuu nadhani hujanielewa, Mama samia ana mazuri kibao in fact ameongeza makusanyo x2 zaidi ya JPM licha ya kwamba huwa tunamuita dhaifu. Kwanini? Sababu madhaifu yake ya kiuongoze yanazidi mafanikio yake ya kimiundombinu
Magu alikuwa hovyo sana?Akili hii ni ndogo kabisa!
Unaweza kutuambia udikiteta wa Hitila hapa na mapana yake, halafu ukatwambia udikiteta wa Magufuli unahistoria na kukubalika hivi katika nchi ngapi duniani?
Inapotajwa orodha ya madikiteta Duniani, Magufuli yupo au chuki za kijinga tu?
Udikiteta unaozuia maliasili za nchi kuibiwa, huo ni udikiteta mzuri na unafaa sana
Udikiteta unaowaondoa kazini wajinga na waliokuwa wakifanya operations za kichwa badala ya mguu huo ni udikitea bora sana
Hata haiitaji akili nyingi sana kulitambua hili.Akili hii ni ndogo kabisa!
Unaweza kutuambia udikiteta wa Hitila hapa na mapana yake, halafu ukatwambia udikiteta wa Magufuli unahistoria na kukubalika hivi katika nchi ngapi duniani?
Inapotajwa orodha ya madikiteta Duniani, Magufuli yupo au chuki za kijinga tu?
Udikiteta unaozuia maliasili za nchi kuibiwa, huo ni udikiteta mzuri na unafaa sana
Udikiteta unaowaondoa kazini wajinga na waliokuwa wakifanya operations za kichwa badala ya mguu huo ni udikitea bora sana
Kwahiyo Magufuli aliachiwa nchi ikiwa jangwa?hzo pesa miaka 50 zilikua wap??
ndo una PHD ww 😂😂😂😂ila phd za bongo zero brain
Kama dunia hii ingejaa watu wajinga kama wewe basi makaburu walistahili kutawala milelenSouth Africa.haya huyu ambae si dikiteta amewaletea nn
Mnaomchukia Kikwete tafuteni airport ya kupandia ndege, terminal three kajenga Kikwete.Leo mtasema yote mnatuletea unafiki hapa. Sijawai kupewa pesa na mtu wala rushwa.
Linapokuja swala la kuusema ukweli lazima tuseme.
Kama humpendi kwanini unapita kwenye daraja alilosimamia huoni kama unaumiza moyo wako.
Rasilimali gani imeuzwa? Taja moja tuMapato yameongezeka kwa kuuza rasilimali zetu?!