Jiwe ndiyo mtu wa hovyo kuliko wote waliowahi kupewa madaraka ya urais nchi hii:-
1. Alikuwa mporaji, mtekaji, muuaji na mpiga watu risasi.
2. Aliunda kundi la watu wasiojulikana lililokuwa linaua na kuteka watu.
3. Alikuwa muuaji wa uchumi wa nchi kwani alikuwa anapigana kufa kupona ili kuua sekta binafsi
4. Hivyo vidaraja unavyoviita flyover ni ushubwada tu ukilinganisha na mauaji ya watu
5. Alikuwa hapendi demokrasia. Alizima internet siku ya uchaguzi, aliwachukia wapinzani na upinzani na akawafukuza nchini wapinzani. Mshenzi sana yule.
Usinichoshe yanatosh
Kwa Hali ilivyo Kuna WAKATI unafiki unakaa pembeni mambo yameharibikaNani kachokoza mazombi ya marehemu huko?
Upuuuzi mtupuAsanteeee saaaana,,,
Mbona hujasema aliwafukuzeni wajinga wote maofisini ili abaki na wenye haki ya kuwemo ofisini?Jiwe ndiyo mtu wa hovyo kuliko wote waliowahi kupewa madaraka ya urais nchi hii:-
1. Alikuwa mporaji, mtekaji, muuaji na mpiga watu risasi.
2. Aliunda kundi la watu wasiojulikana lililokuwa linaua na kuteka watu.
3. Alikuwa muuaji wa uchumi wa nchi kwani alikuwa anapigana kufa kupona ili kuua sekta binafsi
4. Hivyo vidaraja unavyoviita flyover ni ushubwada tu ukilinganisha na mauaji ya watu
5. Alikuwa hapendi demokrasia. Alizima internet siku ya uchaguzi, aliwachukia wapinzani na upinzani na akawafukuza nchini wapinzani. Mshenzi sana yule.
Usinichoshe yanatosha kwa sasa
Wewe ni mpumbavu tu. Barabara ya hapo Ubungo ipo toka wakati wa Mkoloni Mjerumani. Mwingereza kafanya maboresho kidogo na hatimaye naye Nyerere alifanya ya kwake kwa kuweka njia 2 kutokea Ubungo kwenda Buguruni kadri ya mahitaji ya wakati ule.Usipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data
Umeandika upumbuvu tupu kama wewe ulivyo?Wewe ni mpumbavu tu. Barabara ya hapo Ubungo ipo toka wakati wa Mkoloni Mjerumani. Mwingereza kafanya maboresho kidogo na hatimaye naye Nyerere alifanya ya kwake kwa kuweka njia 2 kutokea Ubungo kwenda Buguruni kadri ya mahitaji ya wakati ule.
Mkapa naye akaja akaweweka njia 2 kutoka Manzese kwenda Kimara.
Nyie mliozaliwa 1990 na mlipopata akili mkamkuta Rais ni JK halafu mkabalehe kipindi cha Magufuli ndiyo mnaona kujenga barabara ya juu ni kitu kikubwa sana kuliko yaliyofanywa na akina Nyerere??
Kumtukuza muuaji Magufuli kwa vile ameejenga daraja la Ubungo ni UDWANZI
Hatujawahi kupenda viongozi waovu.Usipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data
namnukuu rais wa awamu ya pili alikubali mapigo mwenyewe akasema wewe ni kichwa wote tulishindwa lakini wewe umeweza kwa muda mfupi sana bip up sana JPM utabaki mioyoni mwa watanganyika kwa muda wote hakuna kama JPM.Bwana Pombe alikuwa ana mapungufu kibao ambayo yalitukera sana, lakini pamoja na hivyo kuna uthubutu alikuwa nao ambao hata watangulizi wenzake na huyu tuliyenae sasa hawana kabisa... nafikiri kwenye awamu yake watu wengi ndio walianza kufuatilia kwa ukaribu nini kinaendelea kwenye rasilimali zetu, huko nyuma ni kama vile wabongo walikuwa wameshaisusa nchi yao na hawataki hata kujua ni nini kinaendelea, ila alipokuja yeye ni kama kuna awareness na shauku fulani hivi aliwatengenezea watanzania ambayo ilikuwa ni hatua nzuri sana kuelekea kwenye uzalendo uliokomaa.
Sema kwa sababu nchi yenyewe imejaa wezi,wala rushwa,mafisadi na wapenda shortcuts kwa hiyo yeye kuchukiwa na watu mpaka sasa hilo ni suala tarajiwa.
Kweli kabisa.Upuuuzi mtupu
Hakuna maisha amesacrifice Kwa watu.."Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
kodi gani unayolipa wewe mbona hizo kodi hazikufanya kitu awamu nyingine fikiri kabla hapo wewe mwenyewe unajua yule kichwa na hata sasa hakuna kiongozi anatajwa sana kama yeye sababu ziko wazi hata mkulima kule kijijijni anamlilia JPM kwanini tafuta jibu hapa kazi tuu.Kakufa kakufa TU!! Mm nilijua kafufuka.
Kodi zangu ndio pesa iliyo jengea project zote. Na si pesa zake.
KAZI ni kipimo cha UTU
Alijenga kwa pesa zetu!
Kwa Tanzania Rais/kiongozi akitumia pesa zetu kwenye maendeleo hiyo ni big step ni bahati kubwa sana
kwasababu wengi wao wanatumia pesa zetu kunenepesha matumbo yao tu!
KamaUsipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data
Niliona ni mtu wa maana ulivyochaguliwa kureview tafuti za AL, kumbe kuna maeneo unahitaji kupigwa brush ya maana. Serikali kujenga barabara, kuleta maji au kutoa huduma za afya ni jukumu lake la msingi. Serikali inatoza kodi kwa raia wake hivyo inapaswa kutumia fedha hizo kutoa huduma bora kwa wananchi.Usipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data
Achana na habari za mtu ambaye ameishaoza, kama unapenda sana kamfuate kaburini aliko mkaongee hukoUsipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data
Hivi Udom ingejengwa na Magufuli tungepumuwa kweli?Hao uliowaamini kwa pesa zako walifanya nini
Inaelekea wanaomchukia wanatakiwa waishi Dar tu. Akili kama za Magufuli!Usipite na gari lako Kijazi interchange.
Kwa wanao toka Mbezi kuelekea kariakoo na Posta pitia njia ya Goba au maji chumvi.
Fanya hivyo boss utakua na amani.
Tuache kudharau viongozi wetu tusitukane tuwaheshimu wote.
Kama unaona unakereka na uongozi wa kiongozi yeyote jenga hoja njoo na data kuliko kutukana viongozi njoo na data.
Humpendi lakini bado unajilazimisha kupita kwenye daraja alilosimamia. Huoni kama unajiumiza.