Kama kweli unamchukia Hayati Magufuli fanya haya utuachie tunaompenda

Asanteeee saaaana,,,
 
Mbona hujasema aliwafukuzeni wajinga wote maofisini ili abaki na wenye haki ya kuwemo ofisini?

Na kwa namna hiyo utaanza wapi kumkubali mtu aina ya JPM?
 
Wewe ni mpumbavu tu. Barabara ya hapo Ubungo ipo toka wakati wa Mkoloni Mjerumani. Mwingereza kafanya maboresho kidogo na hatimaye naye Nyerere alifanya ya kwake kwa kuweka njia 2 kutokea Ubungo kwenda Buguruni kadri ya mahitaji ya wakati ule.

Mkapa naye akaja akaweweka njia 2 kutoka Manzese kwenda Kimara.

Nyie mliozaliwa 1990 na mlipopata akili mkamkuta Rais ni JK halafu mkabalehe kipindi cha Magufuli ndiyo mnaona kujenga barabara ya juu ni kitu kikubwa sana kuliko yaliyofanywa na akina Nyerere??

Kumtukuza muuaji Magufuli kwa vile ameejenga daraja la Ubungo ni UDWANZI
 
Umeandika upumbuvu tupu kama wewe ulivyo?

Ni lini umkubali mtu aliyekutoa ofisini kwa vyeti feki?
 
Hatujawahi kupenda viongozi waovu.
 
namnukuu rais wa awamu ya pili alikubali mapigo mwenyewe akasema wewe ni kichwa wote tulishindwa lakini wewe umeweza kwa muda mfupi sana bip up sana JPM utabaki mioyoni mwa watanganyika kwa muda wote hakuna kama JPM.
 
Kakufa kakufa TU!! Mm nilijua kafufuka.
Kodi zangu ndio pesa iliyo jengea project zote. Na si pesa zake.


KAZI ni kipimo cha UTU
kodi gani unayolipa wewe mbona hizo kodi hazikufanya kitu awamu nyingine fikiri kabla hapo wewe mwenyewe unajua yule kichwa na hata sasa hakuna kiongozi anatajwa sana kama yeye sababu ziko wazi hata mkulima kule kijijijni anamlilia JPM kwanini tafuta jibu hapa kazi tuu.
 
Niyupi hakujenga namlikuja hadharani kumkosoa shida yenu Kila kiongozi kwenu nimzuri,,,,,mnamsifia magu Kila siku ila tukiwauliza kuhusu mama nae mnamsifia Sasa kwani msinyooke anaefanya vizuri mnamsifia na anaepuyanga mnamsifia??
Alijenga kwa pesa zetu!
Kwa Tanzania Rais/kiongozi akitumia pesa zetu kwenye maendeleo hiyo ni big step ni bahati kubwa sana
kwasababu wengi wao wanatumia pesa zetu kunenepesha matumbo yao tu!
 
Ndie binadamu marehemu anayetajwa kwa wingi duniani baada ya Muhamadi,Yesu na hilter,
 
Kama Niliona ni mtu wa maana ulivyochaguliwa kureview tafuti za AL, kumbe kuna maeneo unahitaji kupigwa brush ya maana. Serikali kujenga barabara, kuleta maji au kutoa huduma za afya ni jukumu lake la msingi. Serikali inatoza kodi kwa raia wake hivyo inapaswa kutumia fedha hizo kutoa huduma bora kwa wananchi.
 
Kuna watu wanalazimisha mabasi yapite Magufuli stand.
 
Achana na habari za mtu ambaye ameishaoza, kama unapenda sana kamfuate kaburini aliko mkaongee huko
 
Inaelekea wanaomchukia wanatakiwa waishi Dar tu. Akili kama za Magufuli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…