Kama lengo ni Yanga na Simba zikutane Fainali kulikuwa na haja gani ya haya Mashindano?

Kama lengo ni Yanga na Simba zikutane Fainali kulikuwa na haja gani ya haya Mashindano?

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Kwa sababu kwa asili ilikuwa MSHINDI WA KWANZA WA LIGI NA WA PILI WATACHEZA NGAO YA HISANI...ilikuwa SIMBA NA YANGA zicheze NGAO YA JAMII.

Sasa kulikuwa na haja gani ya mashindano...na huku mmeshapanga fulani ashinde...

Hili suala la kuweka gender balance kwenye baadhi ya mambo ambayo hayahitaji...mwisho wa siku tunakosa kufanya mambo kwa ufanisi unaohitajika.

HUWEZI ONA MECHI YA WANAWAKE AKICHEZESHA REFA MWANAUME...Ila huku kwa wanaume analetwa mwanamke mmoja katikati ha kundi la wanaume 22.

Mechi ya WANAUME ina mikikimikiki ya kiume...mnalazimisha gender balance mnamleta mwanamke anakuja kuboronga...

Acheni wanawake wacheze wenyewe kwa wenyewe...na ya wanaume yawe ya wanaume...

Sasa huyu refa ni UDHAIFU WA KIKIKE AU NI MAELEKEZO YA WAKUBWA ZAKE?
 
Lengo lilikuwa ni Muddy akishirikiana na Karia wamvunje Skudu. Si unaona refa wa Yanga na Azam alivyopotezea jaribio la kumvunja mguu Skudu hakutoa hata adhabu.

Hata goli la pili mchezaji wa Yanga aliangushwa refa akapotezea baada ya kuona Azam wana mpira, lakini kumbe hakujua kuwa kampiga chura teke Mzize akawapokonya mpira na kuwatungua.

Muddy, Karia na Simba mwaka huu wamejiandaa kwa bahasha na fitina za kila aina baada ya Simba kukosa kombe kwa muda mrefu.
 
Lengo lilikuwa ni Muddy akishirikiana na Karia wamvunje Skudu. Si unaona refa wa Yanga na Azam alivyopotezea jaribio la kumvunja mguu Skudu hakutoa hata adhabu...
Hela ya Ghalib ya kumuumiza Phiri ilikwenda halali kwani lengo limevukwa. Lengo ilikuwa kumpunguza kasi ili Mayele awe mfungaji bora lakini ndiyo wamemmaliza kabisa sasa hivi goli halioni kabisa.
 
Hela ya Ghalib ya kumuumiza Phiri ilikwenda halali kwani lengo limevukwa. Lengo ilikuwa kumpunguza kasi ili Mayele awe mfungaji bora lakini ndiyo wamemmaliza kabisa sasa hivi goli halioni kabisa.
Phiri kaumizwa lini na na nani?
 
Kwa hiyo refa ndie aliwaambia wapige penati vile au refa wapi kakataa goli au penati ya hao utopolo wadogo?
We kweli andazi, goli la Singida hukuliona? Timu yenu hakuna wachezaji ni kikundi cha wabagaxi kilichoenda turkey kubeba ngada ya Muddy misifa *****.
 
Hawa marefa kwa kufuata maelekezo wanasahau ndio wanajichafulia CV zao. Halafu ikifika Afcon wakiitwa marefa kutoka Zambia, SA, Uganda tunaanza kujiuliza kwanini wa kwetu hawaitwi! Shenzi kabisa
 
Hivi kuna mwana simba ambaye akiwa na akili timamu kabisa anaamini kwamba simba itaifunga yanga?
Kwa calculation za karia pale aliamini kabisa Azam anaenda kuimaliza Yanga ili nafsi yake ifurahi sasa mipango imebuma.
 
Kwa sababu kwa asili ilikuwa MSHINDI WA KWANZA WA LIGI NA WA PILI WATACHEZA NGAO YA HISANI...ilikuwa SIMBA NA YANGA zicheze NGAO YA JAMII.

Sasa kulikuwa na haja gani ya mashindano...na huku mmeshapanga fulani ashinde...

Hili suala la kuweka gender balance kwenye baadhi ya mambo ambayo hayahitaji...mwisho wa siku tunakosa kufanya mambo kwa ufanisi unaohitajika.

HUWEZI ONA MECHI YA WANAWAKE AKICHEZESHA REFA MWANAUME...Ila huku kwa wanaume analetwa mwanamke mmoja katikati ha kundi la wanaume 22.

Mechi ya WANAUME ina mikikimikiki ya kiume...mnalazimisha gender balance mnamleta mwanamke anakuja kuboronga...

Acheni wanawake wacheze wenyewe kwa wenyewe...na ya wanaume yawe ya wanaume...

Sasa huyu refa ni UDHAIFU WA KIKIKE AU NI MAELEKEZO YA WAKUBWA ZAKE?
Matimu yenu hayo ya kipumbavu ya Yanga na Simba Huwa yanaharibu Saba soka la Tanzania.

Ndio maana kwanza sifuatiliagi mechi za Tanzania labda Wakiwa wanacheza kwenye mashindano ya Africa maana huko hakuna kubebana kindezi
 
Hivi kuna mwana simba ambaye akiwa na akili timamu kabisa anaamini kwamba simba itaifunga yanga?
Kwa calculation za karia pale aliamini kabisa Azam anaenda kuimaliza Yanga ili nafsi yake ifurahi sasa mipango imebuma.
Nyani wa pori la utopolo waliamini tawi lao Singida angeshinda jana ili Jumapili awaachie kama kawaida yao sasa wasiyempenda ndiyo yuko chumbani bado kuwekwa mimba hiyo j2. Mayowe ni mengi sana huko jangwani
 
Back
Top Bottom