Kama lengo ni Yanga na Simba zikutane Fainali kulikuwa na haja gani ya haya Mashindano?

Kama lengo ni Yanga na Simba zikutane Fainali kulikuwa na haja gani ya haya Mashindano?

Hivi kuna mwana simba ambaye akiwa na akili timamu kabisa anaamini kwamba simba itaifunga yanga?
Kwa calculation za karia pale aliamini kabisa Azam anaenda kuimaliza Yanga ili nafsi yake ifurahi sasa mipango imebuma.

 
Nyani wa pori la utopolo waliamini tawi lao Singida angeshinda jana ili Jumapili awaachie kama kawaida yao sasa wasiyempenda ndiyo yuko chumbani bado kuwekwa mimba hiyo j2. Mayowe ni mengi sana huko jangwani

Kama kawaida yao kivipi wakati Yanga anachukuaga ngaombele ya Simba….!!!
 
Hivi kuna mwana simba ambaye akiwa na akili timamu kabisa anaamini kwamba simba itaifunga yanga?
Kwa calculation za karia pale aliamini kabisa Azam anaenda kuimaliza Yanga ili nafsi yake ifurahi sasa mipango imebuma.
Yanga iliyofungwa na Ihefu..?
Au yanga ipi... Au ile iliyofungwa na Mkandaji.

Msiyemtaka kaja.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Matimu yenu hayo ya kipumbavu ya Yanga na Simba Huwa yanaharibu Saba soka la Tanzania.

Ndio maana kwanza sifuatiliagi mechi za Tanzania labda Wakiwa wanacheza kwenye mashindano ya Africa maana huko hakuna kubebana kindezi
[emoji16][emoji16][emoji16]
Wabongo tuna matatizo sana....sasa kama hufuatilii Simba na Yanga, kwanini unashiriki mjadala.
Au huu mjadala unahusu UEFA...?
Tafuta thread zingine.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hivi kuna mwana simba ambaye akiwa na akili timamu kabisa anaamini kwamba simba itaifunga yanga?
Kwa calculation za karia pale aliamini kabisa Azam anaenda kuimaliza Yanga ili nafsi yake ifurahi sasa mipango imebuma.
Karia msimu huu ana wakati mgumu sana kwa utopolo
 
Hivi kuna mwana simba ambaye akiwa na akili timamu kabisa anaamini kwamba simba itaifunga yanga?
Kwa calculation za karia pale aliamini kabisa Azam anaenda kuimaliza Yanga ili nafsi yake ifurahi sasa mipango imebuma.
kwani mechi ya mwisho zilipokutana nani alifungwa? Huwa mnapenda kujifariji mara zote mkikutana na singida matokeo yanakuwa tayari.
hata wadhamini mnashare.
 
Msiyemtaka kaja, tukutane jumapili 😂😂😂
Miaka miwili mfululizo mmefungwa kwenye Ngao ya Jamii, halafu unapata kabisa ujasiri wa kuandika hivi!! Aisee kweli Rage alikuwa sahihi kuwaita mbumbumbu.
 
Back
Top Bottom