Kama leo ilikuwa sensa ya viongozi, kulikuwa na umuhimu gani wa kutokwenda kazini?

Kama leo ilikuwa sensa ya viongozi, kulikuwa na umuhimu gani wa kutokwenda kazini?

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Watu wako frustrated majumbani. Hawakupewa elimu jinsi mambo yatakavyokwenda. Mtaani kwetu hadi alasiri leo hakuna karani hata mmoja kapita, lakini nikiingia Twitter na Instagram naona makarani wamepiga picha na Rais, Mawaziri, Makatibu Wakuu na viongozi mbalimbali wa taasisi za serikali.

Leo viongozi walipaswa wazunguke huko mitaani kutoa hamasa, na si kupiga picha na makarani kwa nia ya kutoa hamasa ya zoezi huku makarani wote mkiwa nao hukohuko. Tafsiri ya wengi ilikuwa hili ni tukio la siku moja, sambamba na kuifanya siku hii kuwa ya mapumziko.

Sasa ukija kwangu kesho kutwa utanipata wapi? Na ukinipata taarifa zangu zitakuwa sahihi kweli? Recall bias.
 
Watu wako frustrated majumbani. Hawakupewa elimu jinsi mambo yatakavyokwenda. Mtaani kwetu hadi alasiri leo hakuna karani hata mmoja kapita, lakini nikiingia Twitter na Instagram naona makarani wamepiga picha na Rais, Mawaziri, Makatibu Wakuu na viongozi mbalimbali wa taasisi za serikali.

Leo viongozi walipaswa wazunguke huko mitaani kutoa hamasa, na si kupiga picha na makarani kwa nia ya kutoa hamasa ya zoezi huku makarani wote mkiwa nao hukohuko. Tafsiri ya wengi ilikuwa hili ni tukio la siku moja, sambamba na kuifanya siku hii kuwa ya mapumziko.

Sasa ukija kwangu kesho kutwa utanipata wapi? Na ukinipata taarifa zangu zitakuwa sahihi kweli? Recall bias.
Niliisubiri kwa hamu sana hii siku.
Yaani nimechekaaa hadi basi. 😄😀😃😅
Ndio maana nilisema kwenye hii post, subiri great thinkers waamke kutoka usingizini

Kuna watu watahesabiwa siku za nyongeza😃😃🙌
 
Maswali ni mengi kwenye dodoso la sensa.
Maswali ya sensa sijui kama yaliwashirikisha watu wa ngazi ya chini.

Takwimu zingine balozi pale kijijini angeweza kushirikiana na vijana wachache angetuma ofisi ya takwimu(idadi ya mifugo,nyumba ambazo hazina umeme,wamiliki wa magari n.k.).

Idadi ya uzazi na vifo (zahanati na Vituo vya huduma na wakunga wangetuma ofisi husika).

Tungebaki na maswali machache kwa ajili ya kupata takeimu za kupata vigezo vingine vya ukuaji kiuchumi katika zoezi lisilochukua muda mrefu.
ANGALIZO:siku ya kimataifa ya watu duniani au siku makazi na watu duniani, Ofisi ya Takwimu mkumbuke kushirikisha kuchukua takwimu kwenye kila taasisi hadi kijijini kupitia viongozi wa vijiji na kupunguza gharama.
 
Maswali ni mengi kwenye dodoso la sensa.
Maswali ya sensa sijui kama yaliwashirikisha watu wa ngazi ya chini.

Takwimu zingine balozi pale kijijini angeweza kushirikiana na vijana wachache angetuma ofisi ya takwimu(idadi ya mifugo,nyumba ambazo hazina umeme,wamiliki wa magari n.k.).

Idadi ya uzazi na vifo (zahanati na Vituo vya huduma na wakunga wangetuma ofisi husika).

Tungebaki na maswali machache kwa ajili ya kupata takeimu za kupata vigezo vingine vya ukuaji kiuchumi katika zoezi lisilochukua muda mrefu.
ANGALIZO:siku ya kimataifa ya watu duniani au siku makazi na watu duniani, Ofisi ya Takwimu mkumbuke kushirikisha kuchukua takwimu kwenye kila taasisi hadi kijijini kupitia viongozi wa vijiji na kupunguza gharama.
Wamefanya hivyo iliwapate mianya ya upigaji
 
Tuna serikali za mitaa,vijiji tumeshimdwa kuzitumia kupata takwimu halisi? Kuliko kuajiri makalani nchi nzima nakutumia pesa nyingi bila sababu na mwisho zikapikwa takwimu.
 
Tuna serikali za mitaa,vijiji tumeshimdwa kuzitumia kupata takwimu halisi? Kuliko kuajiri makalani nchi nzima nakutumia pesa nyingi bila sababu na mwisho zikapikwa takwimu.
Serikali za vijiji hazijengewi uwezo wala mafunzo ya aina mbalimbali wangesaidia sana katika kusimamia maendeleo ,kuwasiliana na Serikali katika takwimu na taarifa muhimu.
 
Maswali ni mengi kwenye dodoso la sensa.
Maswali ya sensa sijui kama yaliwashirikisha watu wa ngazi ya chini.

Takwimu zingine balozi pale kijijini angeweza kushirikiana na vijana wachache angetuma ofisi ya takwimu(idadi ya mifugo,nyumba ambazo hazina umeme,wamiliki wa magari n.k.).

Idadi ya uzazi na vifo (zahanati na Vituo vya huduma na wakunga wangetuma ofisi husika).

Tungebaki na maswali machache kwa ajili ya kupata takeimu za kupata vigezo vingine vya ukuaji kiuchumi katika zoezi lisilochukua muda mrefu.
ANGALIZO:siku ya kimataifa ya watu duniani au siku makazi na watu duniani, Ofisi ya Takwimu mkumbuke kushirikisha kuchukua takwimu kwenye kila taasisi hadi kijijini kupitia viongozi wa vijiji na kupunguza gharama.
 

Attachments

  • FB_IMG_1661267022679.jpg
    FB_IMG_1661267022679.jpg
    58.5 KB · Views: 2
Tulitakiwa kubaki majumbani ili kuwatazama kwenye runinga viongozi na watu maarufu wakihesabiwa.
 
Tuna serikali za mitaa,vijiji tumeshimdwa kuzitumia kupata takwimu halisi? Kuliko kuajiri makalani nchi nzima nakutumia pesa nyingi bila sababu na mwisho zikapikwa takwimu.
Hoja yako ina mshiko. Viongozi wa Serikali za mitaa wangetumika kusambaza dodoso kwenye kila kaya ili majibu yaandaliwe na kurahisisha zoezi zima
 
Watu wako frustrated majumbani. Hawakupewa elimu jinsi mambo yatakavyokwenda. Mtaani kwetu hadi alasiri leo hakuna karani hata mmoja kapita, lakini nikiingia Twitter na Instagram naona makarani wamepiga picha na Rais, Mawaziri, Makatibu Wakuu na viongozi mbalimbali wa taasisi za serikali.

Leo viongozi walipaswa wazunguke huko mitaani kutoa hamasa, na si kupiga picha na makarani kwa nia ya kutoa hamasa ya zoezi huku makarani wote mkiwa nao hukohuko. Tafsiri ya wengi ilikuwa hili ni tukio la siku moja, sambamba na kuifanya siku hii kuwa ya mapumziko.

Sasa ukija kwangu kesho kutwa utanipata wapi? Na ukinipata taarifa zangu zitakuwa sahihi kweli? Recall bias.
Selfie kwa kwenda nyuma
 
Back
Top Bottom