Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Acha upotoshaji wako na mawazo finyu.Lissu ni defence lawyer mzuri anajua njama zote za polisi na waendesha mashitaka.
Lissu angewapiga maswali mazito mawakili wa serikali wasiojitambua na mashahidi wa uongo na Jamhuri ingeumbuka.
Kwani watu walioacha kazi jeshi la wananchi yaani JWTz kuomba kazi ya kumlinda mtu ni kosa?
Hii kesi ipo kwa ajili ya kukimaliza chama chetu cha CHADEMA.