Kama Lissu atabwagwa, mashabiki na wapenda wake mtafanya nini? Mtakubali matokea au kuhama chama?

Kama Lissu atabwagwa, mashabiki na wapenda wake mtafanya nini? Mtakubali matokea au kuhama chama?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1736885713792.png

Japo matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA si rahisi kutabiri, je iwapo Tundu Lissu atabwagwa, mashabiki na wapenzi wake mtafanya nini?

Je Mbowe akibwagwa, mashabiki na wapenzi wake mtafanya nini?

Je mtabaki au kutawanyika ima kuunda chama kipya kama alivyofanya Zitto Kabwe au kwenda uchawani?

Are you still expecting to get out of this limbo stronger than ever or divided than one can expect?
 
View attachment 3202028
Japo matokeo ya uchaguzi wa CHADEMA si rahisi kutabiri, je iwapo Tundu Lissu atabwagwa, mashabiki na wapenzi wake mtafanya nini?

Je Mbowe akibwagwa, mashabiki na wapenzi wake mtafanya nini?

Je mtabaki au kutawanyika ima kuunda chama kipya kama alivyofanya Zitto Kabwe au kwenda uchawani?

Are you still expecting to get out of this limbo stronger than ever or divided than one can expect?
1. Watatawanyika na kuunda chama chao ambacho hakitakuwa registered.

2. Kwenda CCM wanaweza lakini hawatapata vyeo maana hawajatafutwa na ccm

3. In the most unlikely scenario, Wanaweza kubaki na kua quite dormant
 
Mtu yeyote anayetamani chama kigawanyike kwa maana wanachama wengine waondoke huyo ni mamluki wa CCM kabisa, mtaji wa chama chochote ni wanachama sasa mtu kama Retired kila siku anaombea wafuasi wa Lissu waondoke huyu ni sawa na mchawi kwani hili ndiyo lengo kuu la CCM hadi kuingia miguu miwili kwenye uchaguzi huu.
 
Badala umuonea mbowe huruma akishindwa na lissu ataficha wapi sura yake unamuwazia lissu ambaye hatetei nafasi aliyonayo tofauti na mbowe!

Mbowe anang'ang'ania kubaki, lissu anataka kuishika nafasi mara ya 1!.
Mbowe akishindwa ni skendo ila lissu akishindwa sio skendo....sana sana tu chama kitazidi kudhoofu!
 
1. Watatawanyika na kuunda chama chao ambacho hakitakuwa registered.

2. Kwenda CCM wanaweza lakini hawatapata vyeo maana hawajatafutwa na ccm

3. In the most unlikely scenario, Wanaweza kubaki na kua quite dormant
Kuhama chama
 
Back
Top Bottom