Shule ya msingi kwa lugha nyIngine tungeiita Foundation school.Tunaweka msingi kweli.
Kama lugha ya kufundishia sekondari ni Kiingereza sioni sababu kwa nini lugha ya kufundishia shule ya msingi isiwe Kiingereza.
Watoto wanaotoka kwenye shule ambazo siyo mchepuo wa Kiingereza ( English medium) wanapata shida ku adapt masomo kwa Kiingereza.
Tujifunze kwa Nchi nyengine wanafanyeje. If the national language is Swahili and English tuchague lugha gani ya kufundishia from kindergarten to secondary school
Kama lugha ya kufundishia sekondari ni Kiingereza sioni sababu kwa nini lugha ya kufundishia shule ya msingi isiwe Kiingereza.
Watoto wanaotoka kwenye shule ambazo siyo mchepuo wa Kiingereza ( English medium) wanapata shida ku adapt masomo kwa Kiingereza.
Tujifunze kwa Nchi nyengine wanafanyeje. If the national language is Swahili and English tuchague lugha gani ya kufundishia from kindergarten to secondary school