Kama Maboresho ya Reli ya TAZARA ni ili tutumie treni ya dizeli tukatae huo mradi

Kama Maboresho ya Reli ya TAZARA ni ili tutumie treni ya dizeli tukatae huo mradi

UkiKataa wewe inatosha.

Tutumie hata mkaa wa miti ilimradi iboreshwe Kwa Ajili ya mizigo
Suala sio kuboresha tu. Suala unaiboresha kwa viwango gani??

Kenya walijengewa na wachina ya dizeli saivi wamesanuka wameona sie tulikuwa na akili kuliko wao kwa kujenga ya umeme! Wameanza kutafuta mkopo kui upgrade reli yao kuwa ya umeme.

Sisi kwa nini tufanye kitu ambacho hata wao walikiona kuwa ni kosa wakatuiga sie???
 
Ndio ni sawa,Kwa nini sio sawa? Unadhani lengo la kuboresha reli ni kusafirisha Abiria au mizigo? Hiyo reli ya kati imekufaidisha nini kwenye Nchi Hadi sasa?
Basi huna akili! Nisiendelee kubishana na mtu asiye na akili
 
Suala sio kuboresha tu. Suala unaiboresha kwa viwango gani??

Kenya walijengewa na wachina ya dizeli saivi wamesanuka wameona sie tulikuwa na akili kuliko wao kwa kujenga ya umeme! Wameanza kutafuta mkopo kui upgrade reli yao kuwa ya umeme.

Sisi kwa nini tufanye kitu ambacho hata wao walikiona kuwa ni kosa wakatuiga sie???
Hakuna walichosanuka ,hoja ni Je inaleta Tija au hauleti Tija.

Sgr yenu ya kupigia picha na Ile ya Kenya ipi inaleta faida kiuchumi?
 
Reli ya kati ni hasara hatuwez kurudi huko teba.

Trilioni 11 kujengea km 700 za kubebea Abiria una Akili timamu kichwani?
Ikianza kubeba mizigo tutaona faida yake.

Na hili halifanyi tufanye ujinga zaidi wa kujenga reli ya dizeli tena kwa mkopo!
 
Ikianza kubeba mizigo tutaona faida yake.

Na hili halifanyi tufanye ujinga zaidi wa kujenga reli ya dizeli tena kwa mkopo!
Mizigo Iko wapi huko? Kwa hiyo itaanza kubeba mizigo lini?

Mwisho kwani ya diesel haibebi mizigo? Unajua Tazara cap gauge ime kuwa designed Kwa speed ngapi na Kwa nini haifikiwi?
 
Hakuna walichosanuka ,hoja ni Je inaleta Tija au hauleti Tija.

Sgr yenu ya kupigia picha na Ile ya Kenya ipi inaleta faida kiuchumi?
Tija gani italeta? Huoni huo ni mtego kama waliofanyiwa Kenya???

Huoni tumewekea mtego ule ule wa Kenya kujengewa reli ya dizeli ili kesho tukaombe tena mkopo kui upgrade ili itumie umeme???
 
Mizigo Iko wapi huko? Kwa hiyo itaanza kubeba mizigo lini?

Mwisho kwani ya diesel haibebi mizigo? Unajua Tazara cap gauge ime kuwa designed Kwa speed ngapi na Kwa nini haifikiwi?
Kama ni hivyo basi Kenya wasingekuwa wanatafuta mkopo ku upgrade reli yao ya treni ya dizeli kuiwekea umeme!

Hoja yako kwa kifupi ni mfu.
 
Kama ni hivyo basi Kenya wasingekuwa wanatafuta mkopo ku upgrade reli yao ya treni ya dizeli kuiwekea umeme!

Hoja yako kwa kifupi ni mfu.
Wapi wanaofanya hayo? Wao wanatafuta hela ku extend reli sio ku upgrade ,hata hivyo reli Yao Ina option hiyo
 
Wapi wanaofanya hayo? Wao wanatafuta hela ku extend reli sio ku upgrade ,hata hivyo reli Yao Ina option hiyo
Acha ujuha wewe. Kenya saivi anafanya vitu viwili. Kuipeleka iyo reli to Malabo mpakani na Uganda na pia kutafuta fedha za kui upgrade to umeme.
 
TAZARA urefu wake ni 1860km, unajua gharama za kujenga SGR ya urefu huo?

Hiyo bajeti anatoa nani au ndio unataka ulimie meno.
Kwani kutoka Dar hadi Kigoma ni KM ngapi?

Mbona tunajenga reli ya kutumia umeme?
 
Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.

Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.

Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.

Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.

Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati
Kwani sasa hivi inatumia nini?
 
Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.

Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.

Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.

Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.

Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati
Dogo kama hujui ni hivi hiyo rail ya tazara inapojengwa mwaka 1970 hadi 1975 hamkoa hata mia zaidi ya kupokea hela hiyo reli walichina walitoa dola 400 milliona kama dola 3 billionn tatu za sasa kujenga hiyo reli kama msaada wa bure kabisa
Malengo yalikuwa haya
1 .kupinga na wazungu wa south africa makaburi
Makaburu walikuwa wanazengua sana copper ya zambia ikipita kule so zambia ikawa inakosa mapato so moja ya solution wakaomba msaada china pia nyerere akaenda china kuona na mao akakubali

2.biashara ya copper
China walijua wakijenga reli hiyo wa zambia itawauzia copper kumbuka china ilikuwa ndo inaanza kujenga viwanda vya electrons na copper ni muhimu so waliona mbali so wazambia mteja wao mkuu wa copper ni wa china

3 .kuonesha nguvu ya DRAGON
huo mradi hadi leo hii ni mmoja wa mradi wa kihistoria yaaani wanausoma darasani kama sisi tunavyosoma uhuru sijui maji maji yaaani ni mradi wachina walijitoa wakiwa maskini kabisa kusaidia africa na wao kufaidika na copper kidogo ....

Lakini huo mradi walitaka kuonesha nguvu ya china katika siasa za dunia yaani kuwa china ni taifa lenye nguvu linaweza saidia pia ila kiukweli kwa wakati ule walikuwa kajamba nani tu nao ila walionesha nguvu ya dragon yaani nembo ya china


Tukirudi mwaka huu hiyo reli tanzania na zambia imewashinda kuendesha toka siku nyingi inaendeshwa kwa mikopo ya ulaya mara marekani

Sasa wachina wamesikia uchungu kuona kitu waligharamia kwa moyo mkunjufu kuona kina kufa sasa kupita kampuni yao ya serikali CCECC ya ujenzi wamesema wanataka kuboresha kwenda SGR na nyie watanzania kama ww uliyeandika hiiyo comment kama mna hela mtaweka umeme

LA MWISHO HIYO RELI HAMKUTOA HATA MIA WALA KUDAIWA CHOCHOTE KILE MLIKUWA MMETO MACHO KUPOKEA MSAADA KWA HILI WACHINA NILIWAPA HONGERA ENZI HIYO WACHNA WAJAMAAA KWELI KWELI WANAKUPA HELA KIROHOO SAFI


SASA HIVI WAKIREPAIR HIYO RELI ITAENDESHWA KIBEBARI SIKU HIZI UJAMAA HAWANA
 
Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.

Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.

Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.

Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.

Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati
Kwani kwasasa inatumia mafuta gani?
 
Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.

Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.

Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.

Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.

Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati
Mkuu wangu uko kuwatetea wale wanaojenga RELI kuelekea PWANI YA MAGHARIBI MWA AFRIKA?!![emoji44][emoji1787]

#Watu na AJENDA zenu
 
Kwani kwasasa inatumia mafuta gani?
Pia hajui hiyo reli walijenga wachina sio tanzania ...bure bure kabisa sasa nae kujitia ana uchungu mwaka 2024.......wakati wachina waliona huruma tu mwaka 1970.....na kutoa aid bila riba bila mashart yeyote yale

Sasa leo wanataka kutoa msaada tena mnajifanya wakali

Reli hiyo baadae tu kumaliza kujenga wachina wakakabidhi tanzania na zambia 1980 reli ikaaanza kusua sua mikopo kila siku wachina wakawa wanashangaaa 2010 reli karibu ife kabisa ndo wakatoa pesa tena
 
Back
Top Bottom