Kama Maboresho ya Reli ya TAZARA ni ili tutumie treni ya dizeli tukatae huo mradi

Kama Maboresho ya Reli ya TAZARA ni ili tutumie treni ya dizeli tukatae huo mradi

Ujinga ni janga kubwa sana la nchi hii.
Wapi Kenya "wanaomba tena mkopo ili wajenge ya umeme"?
Shida ya watanzania ni wajinga sana na ndo man's kila siku mnafanya maamuzi ya hovyo!
Screenshot_20240905_051618_Chrome.jpg
 
Lazima tuelewe Wachina wanakata reli ya Tazara ili waweze kusafarisha shaba kutoka Zambia hawajali lingine lolote. Hawaweki kwasababu ya watu
Vyovyote vile ikiwa ya umeme itakuwa efficient zaidi. Na ikibadilishwa kuwa ya umeme tutakuwa tumeua ndege wawili kwa jiwe moja maana itakuwa bora ku serve two purposes za kuhudumia raia na mizigo kwa ufanisi mkubwa zaidi
 
Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.

Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.

Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.

Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.

Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati

PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya
Itakuwa treni ya dizeli tena dizeli nzito.
 
Hapa jiulizie mwenyewe na hao viongozi wako. Usituhusishe na sisi tusio kubaliana na udhaifu wenu huo.
Nimeandika "Bado najiuliza" sasa hapo sijui nimekuhusisha vipi! Huna akili na wewe ni mmoja wa hao viumbe wasioeleweka kwa sababu moja ya sifa yao ni uwezo wao wa kuelewa hoja au jambo ni mdogo sana.
 
Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.

Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.

Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.

Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.

Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati

PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya
ukatae wewe hata hiyo kodi unalipa,au ni kutoa ushuzintu tu buuuu buuuu puuuuu pwaaaat
 
Shida ya watanzania ni wajinga sana na ndo man's kila siku mnafanya maamuzi ya hovyo!
View attachment 3087360
Duh!
Huo hapo ndio "werevu" unao jiona wewe unao?

Huko mwanzo nilipo anza kuona mabandiko yako mengi humu mfululizo kidogo nilidhani unacho kiasi fulani cha uelewa; hata kama nilikuwa sikubaliani na hayo uliyokuwa ume andika.
Sasa unadhihirisha wazi kabisa kuwa hujui chochote!
 
Duh!
Huo hapo ndio "werevu" unao jiona wewe unao?

Huko mwanzo nilipo anza kuona mabandiko yako mengi humu mfululizo kidogo nilidhani unacho kiasi fulani cha uelewa; hata kama nilikuwa sikubaliani na hayo uliyokuwa ume andika.
Sasa unadhihirisha wazi kabisa kuwa hujui chochote!
Endelea na ujinga wako
 
"Bado najiuliza"
Bado unajiuliza, halafu unatuhusisha "waafrika" wote?
Huoni kujiuliza kwako pekee ni tatizo?
Hiyo dhana ya kurundika watu wote katika kundi moja sijawahi kukubaliana nayo hata siku moja.
 
Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.

Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.

Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.

Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.

Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati

PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya
Mkuu wewe ni penguin?
 
TAZARA ILIJENGWA KWA UWEZO HUU NA HATUJAWAI FIKISHA UWEZO HUO LAZIMA WABORESHE IRUDI KWENYE UWEZO WAKE 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇The TAZARA has a track gauge of 3 ft 6 in (1,067 mm), also known as the Cape gauge, which is widely used throughout southern Africa.[16] TAZARA connects to the Cape-gauge Zambia Railways at Kapiri Mposhi. The remainder of Tanzania’s railways have 1,000 mm (3 ft 3+3⁄8 in) metre gauge tracks.[17] A transshipment station with a break of gauge station was built in Kidatu in 1998.[17]

Except for the rail gauge, TAZARA generally reflects Chinese railway standards of the 1970s. The technical characteristics of the line were:

  1. Couplers: Janney (AAR)[18]
  2. Brakes: Air/vacuum[19]
  3. Axle loading: 20 metric tons[19]
  4. Sleepers: Concrete on main line, Wood at turnouts and on bridges[19]
  5. Rail: High-manganese steel, 45 kg/m (90 lb/yard), mostly jointed[20]
  6. Signals: Semaphore
  7. Design speed: 110 km/h (70 mph)[21]
  8. Design capacity: 5 million metric tons per year[5]
  9. Loading gauge: Limited by 22 tunnels in the Udzungwa Mountains

 
Hizi ndo speed za njia za train cape gauge TAZARA NA SGR JE SGR YETU INA SPEED HIYO UKITAFAKALI HAWA JAMAA WANAWEZA WAKAIBORESHA ZAIDI IKAWA NA SPEED KULIKO TUNAVODHANI MAANA WANAKUJA KIBIASHARA ZAIDI 👇👇👇👇👇👇👇👇Given that the maximum safe speed on 1067 mm gauge railway lines is 140 km/h, and on 1435 mm gauge lines is 350 km/h, would 1372 mm gauge lines be able to handle regular services at 180 km/h or 200 km/Haya hii ndo SGR YETU👇👇👇👇
Service
Technical
Native nameReli ya SGR Tanzania
TerminiDar es Salaam
WebsiteMwanzo | TRC
TypeHeavy rail
Operator(s)Tanzania Railways Corporation
Line length1,800 km (1,100 mi)
Track gauge1,435 mm (4 ft 8+1⁄2 in) standard gauge
Electrification25 kV 50 Hz AC overhead catenary
Operating speed160 km/h (99 mph

C develops high-speed train to run o​


139456294_16032758331701n-810x540.jpg

China: CRRC develops high-speed train to run on different rail systems​

30. October 2020
139456294_16032758331701n-810x540.jpg
 
Dogo kama hujui ni hivi hiyo rail ya tazara inapojengwa mwaka 1970 hadi 1975 hamkoa hata mia zaidi ya kupokea hela hiyo reli walichina walitoa dola 400 milliona kama dola 3 billionn tatu za sasa kujenga hiyo reli kama msaada wa bure kabisa
Malengo yalikuwa haya
1 .kupinga na wazungu wa south africa makaburi
Makaburu walikuwa wanazengua sana copper ya zambia ikipita kule so zambia ikawa inakosa mapato so moja ya solution wakaomba msaada china pia nyerere akaenda china kuona na mao akakubali

2.biashara ya copper
China walijua wakijenga reli hiyo wa zambia itawauzia copper kumbuka china ilikuwa ndo inaanza kujenga viwanda vya electrons na copper ni muhimu so waliona mbali so wazambia mteja wao mkuu wa copper ni wa china

3 .kuonesha nguvu ya DRAGON
huo mradi hadi leo hii ni mmoja wa mradi wa kihistoria yaaani wanausoma darasani kama sisi tunavyosoma uhuru sijui maji maji yaaani ni mradi wachina walijitoa wakiwa maskini kabisa kusaidia africa na wao kufaidika na copper kidogo ....

Lakini huo mradi walitaka kuonesha nguvu ya china katika siasa za dunia yaani kuwa china ni taifa lenye nguvu linaweza saidia pia ila kiukweli kwa wakati ule walikuwa kajamba nani tu nao ila walionesha nguvu ya dragon yaani nembo ya china


Tukirudi mwaka huu hiyo reli tanzania na zambia imewashinda kuendesha toka siku nyingi inaendeshwa kwa mikopo ya ulaya mara marekani

Sasa wachina wamesikia uchungu kuona kitu waligharamia kwa moyo mkunjufu kuona kina kufa sasa kupita kampuni yao ya serikali CCECC ya ujenzi wamesema wanataka kuboresha kwenda SGR na nyie watanzania kama ww uliyeandika hiiyo comment kama mna hela mtaweka umeme

LA MWISHO HIYO RELI HAMKUTOA HATA MIA WALA KUDAIWA CHOCHOTE KILE MLIKUWA MMETO MACHO KUPOKEA MSAADA KWA HILI WACHINA NILIWAPA HONGERA ENZI HIYO WACHNA WAJAMAAA KWELI KWELI WANAKUPA HELA KIROHOO SAFI


SASA HIVI WAKIREPAIR HIYO RELI ITAENDESHWA KIBEBARI SIKU HIZI UJAMAA HAWANA
Tena wachina walikubali kuijenga baada ya USA kumtolea nje MWL JK Nyerere. Kwa kujibaraguza USA wakaamua kutusaidia ujenzi wa barabara ya TANZAM highway. Waafrika tunafeli sana, hata wakii upgrade na kutuachia tena itatushinda tu.
 
Tuipeleke wapi wakati tushatoka huko??

Tukikubali hilo tutaonekana sie ni majuha wa kiwango cha rami.

Yaaani huku mnatengeneza ya Umeme yenye viwango vya kimataifa katika dunia hii ya ushindani alafu huku mnajenga ya dizeli???

Kenya aliingizwa mkenge wa wachina akajenga ya dizeli tena kwa gharama kubwa saivi anahangaika kutafuta mkopo mwingine ili aiwekee umeme!

Ujinga alioufanya Kenya na sie tunaenda kuufanya huo huo na wala hatujifunzi sasa kama sio ujuha ni nini hiko?
 
Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.

Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.

Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.

Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.

Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati

PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya
Watu wako huko china na inawezekana wamesha saini, je kama tayari wamesaini utapinduaje meza?, Swali fikirishi je hizo proposals wamezikuta huko ama wataalamu wetu walipewa dokezo kabla ya kuenda huko na kama dokezo lilikuwa mezani kwanini halikuwekwa wazi tulipitie
 
VITENDO VYA UTEKAJI NA WATOTO KUPOTEA VINATUKWAZA MNO WATANZANI.

HILI NI TATIZO KUBWA SANA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA.
 
Kama hatuna hela tuliwezaje reli ya kati?
Zamani wakisema"Utopian'kusadikika,Watu wanafikiria kuwa wao ndio wanajua Kila kitu,wengi hatujui kuwa huo Mkopo wa kujenga"SGR'mpaka mwaka 2080"utakuwa Bado haujaisha na tukicheza kama zilivyo tabia za mikopo kama tutakuwa tumekopa 40trilions utakuwa 70trilions(interest compounded).Sasa jiulize tunaopinga "MGR"iliyoboreshwa inayotumia diesel na tunata SGR inayotumia umeme wamefanya utafiti?ukiuliza hata Afrika kusini Treni zinazotimia diesel ni zaidi ya 60% hivyo hivyo kwa India na kwingi duniani.Tushukuru kama tutapata MGR iliyoboreshwa cause. Hata 50yrs ijayo wenyewe hatuwezi,Bado tunahitaji SGR ;Dar_Tanga_Moshi_Arisha_Musoma_Mwanza.Na Mtwara_Mambabay:Yes "mbombo Ngafu'
 
Tuna dereva wa hovyo sana awamu hii.kila sehemu anapuyanga tu
2021 barabara za lami zilizojengwa zilikuwa na urefu wa kilomita 108,946 mpaka kufika mwaka huu zimejengwa kilomita 144,429.

Jukumu la dereva ni kufanya yale ya msingi anayoagizwa na ilani ya uchaguzi sio kukuletea wewe unga, mafuta, mchele na nyama li upike nyumbani kwako.
 
Magufuli nilitofautiana nae kwenye mambo yake ya ukatili tu na roho mbaya. Ila kwingine ninamkubali hadi kesho bwasheee🤣🤣🤣
Bila ukatili na roho mbaya nchi kama hii huwezi kufanya chochote cha maana zaidi ya kucheka cheka tu.
 
2021 barabara za lami zilizojengwa zilikuwa na urefu wa kilomita 108,946 mpaka kufika mwaka huu zimejengwa kilomita 144,429.

Jukumu la dereva ni kufanya yale ya msingi anayoagizwa na ilani ya uchaguzi sio kukuletea wewe unga, mafuta, mchele na nyama li upike nyumbani kwako.
Zilizojengwa Kwa Sasa nyingi hazina ubora.zinakaa mwaka mmoja tu zinaharibika
 
Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.

Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.

Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.

Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.

Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati

PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya
hili la kuifanya tazara itumie umeme ni jambo zuri sana, kwani sgr yetu inaweza tanua wigo wa huduma treni ikaanzia mwanza dar kapri mposhi lubumbashi
 
Back
Top Bottom