Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #61
Shida ya watanzania ni wajinga sana na ndo man's kila siku mnafanya maamuzi ya hovyo!Ujinga ni janga kubwa sana la nchi hii.
Wapi Kenya "wanaomba tena mkopo ili wajenge ya umeme"?
Vyovyote vile ikiwa ya umeme itakuwa efficient zaidi. Na ikibadilishwa kuwa ya umeme tutakuwa tumeua ndege wawili kwa jiwe moja maana itakuwa bora ku serve two purposes za kuhudumia raia na mizigo kwa ufanisi mkubwa zaidiLazima tuelewe Wachina wanakata reli ya Tazara ili waweze kusafarisha shaba kutoka Zambia hawajali lingine lolote. Hawaweki kwasababu ya watu
Itakuwa treni ya dizeli tena dizeli nzito.Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.
Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.
Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.
Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.
Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati
PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya
Nimeandika "Bado najiuliza" sasa hapo sijui nimekuhusisha vipi! Huna akili na wewe ni mmoja wa hao viumbe wasioeleweka kwa sababu moja ya sifa yao ni uwezo wao wa kuelewa hoja au jambo ni mdogo sana.Hapa jiulizie mwenyewe na hao viongozi wako. Usituhusishe na sisi tusio kubaliana na udhaifu wenu huo.
ukatae wewe hata hiyo kodi unalipa,au ni kutoa ushuzintu tu buuuu buuuu puuuuu pwaaaatKuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.
Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.
Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.
Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.
Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati
PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya
Duh!Shida ya watanzania ni wajinga sana na ndo man's kila siku mnafanya maamuzi ya hovyo!
View attachment 3087360
Endelea na ujinga wakoDuh!
Huo hapo ndio "werevu" unao jiona wewe unao?
Huko mwanzo nilipo anza kuona mabandiko yako mengi humu mfululizo kidogo nilidhani unacho kiasi fulani cha uelewa; hata kama nilikuwa sikubaliani na hayo uliyokuwa ume andika.
Sasa unadhihirisha wazi kabisa kuwa hujui chochote!
Bado unajiuliza, halafu unatuhusisha "waafrika" wote?"Bado najiuliza"
Mkuu wewe ni penguin?Kuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.
Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.
Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.
Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.
Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati
PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya
| Service | |
|---|---|
| Technical | |
| Native name | Reli ya SGR Tanzania |
| Termini | Dar es Salaam |
| Website | Mwanzo | TRC |
| Type | Heavy rail |
| Operator(s) | Tanzania Railways Corporation |
| Line length | 1,800 km (1,100 mi) |
| Track gauge | 1,435 mm (4 ft 8+1⁄2 in) standard gauge |
| Electrification | 25 kV 50 Hz AC overhead catenary |
| Operating speed | 160 km/h (99 mphC develops high-speed train to run o |
Tena wachina walikubali kuijenga baada ya USA kumtolea nje MWL JK Nyerere. Kwa kujibaraguza USA wakaamua kutusaidia ujenzi wa barabara ya TANZAM highway. Waafrika tunafeli sana, hata wakii upgrade na kutuachia tena itatushinda tu.Dogo kama hujui ni hivi hiyo rail ya tazara inapojengwa mwaka 1970 hadi 1975 hamkoa hata mia zaidi ya kupokea hela hiyo reli walichina walitoa dola 400 milliona kama dola 3 billionn tatu za sasa kujenga hiyo reli kama msaada wa bure kabisa
Malengo yalikuwa haya
1 .kupinga na wazungu wa south africa makaburi
Makaburu walikuwa wanazengua sana copper ya zambia ikipita kule so zambia ikawa inakosa mapato so moja ya solution wakaomba msaada china pia nyerere akaenda china kuona na mao akakubali
2.biashara ya copper
China walijua wakijenga reli hiyo wa zambia itawauzia copper kumbuka china ilikuwa ndo inaanza kujenga viwanda vya electrons na copper ni muhimu so waliona mbali so wazambia mteja wao mkuu wa copper ni wa china
3 .kuonesha nguvu ya DRAGON
huo mradi hadi leo hii ni mmoja wa mradi wa kihistoria yaaani wanausoma darasani kama sisi tunavyosoma uhuru sijui maji maji yaaani ni mradi wachina walijitoa wakiwa maskini kabisa kusaidia africa na wao kufaidika na copper kidogo ....
Lakini huo mradi walitaka kuonesha nguvu ya china katika siasa za dunia yaani kuwa china ni taifa lenye nguvu linaweza saidia pia ila kiukweli kwa wakati ule walikuwa kajamba nani tu nao ila walionesha nguvu ya dragon yaani nembo ya china
Tukirudi mwaka huu hiyo reli tanzania na zambia imewashinda kuendesha toka siku nyingi inaendeshwa kwa mikopo ya ulaya mara marekani
Sasa wachina wamesikia uchungu kuona kitu waligharamia kwa moyo mkunjufu kuona kina kufa sasa kupita kampuni yao ya serikali CCECC ya ujenzi wamesema wanataka kuboresha kwenda SGR na nyie watanzania kama ww uliyeandika hiiyo comment kama mna hela mtaweka umeme
LA MWISHO HIYO RELI HAMKUTOA HATA MIA WALA KUDAIWA CHOCHOTE KILE MLIKUWA MMETO MACHO KUPOKEA MSAADA KWA HILI WACHINA NILIWAPA HONGERA ENZI HIYO WACHNA WAJAMAAA KWELI KWELI WANAKUPA HELA KIROHOO SAFI
SASA HIVI WAKIREPAIR HIYO RELI ITAENDESHWA KIBEBARI SIKU HIZI UJAMAA HAWANA
Tuipeleke wapi wakati tushatoka huko??
Tukikubali hilo tutaonekana sie ni majuha wa kiwango cha rami.
Yaaani huku mnatengeneza ya Umeme yenye viwango vya kimataifa katika dunia hii ya ushindani alafu huku mnajenga ya dizeli???
Kenya aliingizwa mkenge wa wachina akajenga ya dizeli tena kwa gharama kubwa saivi anahangaika kutafuta mkopo mwingine ili aiwekee umeme!
Ujinga alioufanya Kenya na sie tunaenda kuufanya huo huo na wala hatujifunzi sasa kama sio ujuha ni nini hiko?
Watu wako huko china na inawezekana wamesha saini, je kama tayari wamesaini utapinduaje meza?, Swali fikirishi je hizo proposals wamezikuta huko ama wataalamu wetu walipewa dokezo kabla ya kuenda huko na kama dokezo lilikuwa mezani kwanini halikuwekwa wazi tulipitieKuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.
Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.
Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.
Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.
Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati
PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya
Zamani wakisema"Utopian'kusadikika,Watu wanafikiria kuwa wao ndio wanajua Kila kitu,wengi hatujui kuwa huo Mkopo wa kujenga"SGR'mpaka mwaka 2080"utakuwa Bado haujaisha na tukicheza kama zilivyo tabia za mikopo kama tutakuwa tumekopa 40trilions utakuwa 70trilions(interest compounded).Sasa jiulize tunaopinga "MGR"iliyoboreshwa inayotumia diesel na tunata SGR inayotumia umeme wamefanya utafiti?ukiuliza hata Afrika kusini Treni zinazotimia diesel ni zaidi ya 60% hivyo hivyo kwa India na kwingi duniani.Tushukuru kama tutapata MGR iliyoboreshwa cause. Hata 50yrs ijayo wenyewe hatuwezi,Bado tunahitaji SGR ;Dar_Tanga_Moshi_Arisha_Musoma_Mwanza.Na Mtwara_Mambabay:Yes "mbombo Ngafu'Kama hatuna hela tuliwezaje reli ya kati?
2021 barabara za lami zilizojengwa zilikuwa na urefu wa kilomita 108,946 mpaka kufika mwaka huu zimejengwa kilomita 144,429.Tuna dereva wa hovyo sana awamu hii.kila sehemu anapuyanga tu
Bila ukatili na roho mbaya nchi kama hii huwezi kufanya chochote cha maana zaidi ya kucheka cheka tu.Magufuli nilitofautiana nae kwenye mambo yake ya ukatili tu na roho mbaya. Ila kwingine ninamkubali hadi kesho bwasheee🤣🤣🤣
Zilizojengwa Kwa Sasa nyingi hazina ubora.zinakaa mwaka mmoja tu zinaharibika2021 barabara za lami zilizojengwa zilikuwa na urefu wa kilomita 108,946 mpaka kufika mwaka huu zimejengwa kilomita 144,429.
Jukumu la dereva ni kufanya yale ya msingi anayoagizwa na ilani ya uchaguzi sio kukuletea wewe unga, mafuta, mchele na nyama li upike nyumbani kwako.
hili la kuifanya tazara itumie umeme ni jambo zuri sana, kwani sgr yetu inaweza tanua wigo wa huduma treni ikaanzia mwanza dar kapri mposhi lubumbashiKuna tetesi kuwa Maboresho yatakayofanyika katika reli ya TAZARA yanahusisha kuifanya reli hiyo kutumia treni ya dizeli kama Kenya.
Kama huu ndo ukweli napenda kuzishauri mamlaka za Tanzania kuukataa huu mradi.
Kama tumeweza kujenga reli yetu ya kati kwa kiwango cha SGR tena umeme itakuwa ni aibu na fedheha kuu tukijengewa kwa mkopo reli ya TAZARA iliyo na kiwango cha kutumia dizeli.
Mchina asitupande kichwani. Kama Zambia hawawezi kuwa na treni ya Umeme tumwambie kwa kujiamini kuwa kipande cha reli hii kwa upande wa Tanzania lazima kiwe na viwango vya kutumia umeme.
Akibisha tuachane nae tufanye kama Magufuli alivyoachana nao na kwenda kwa Waturuki kwenye SGR Reli ya Kati
PIA SOMA
- Maboresho ya Reli ya TAZARA yaangalie usifanyike udanganyifu kama wa Kenya