Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ahahahahaha! Trump na Elon Musk huko Marekani wanaotafuta wahamiaji haramu na watumishi haramu. Unafikiri "idara" yao imelala?Kwa upande wa taifa imelala na ndio maana kuna uhujumu kwenye sgr na zaidi hata cdf alisikika akisema uwepo wa viongozi wa juu ktk taifa lkn ni raia wa nchi jirani.
Unazungumzia idara za US au Tanganyika?Ahahahahaha! Trump na Elon Musk huko Marekani wanaotafuta wahamiaji haramu na watumishi haramu. Unafikiri "idara" yao imelala?
Labda CCM iondoke madarakani lkn kama bado ipo sahau.watu wa nchi jirani ndo wameajiriwa na wenye nchi ambao ni wazawa wameachwa mitaani wanazurura tu hawana ajira.ukija Kigoma utashangaa kuona watumishi na matajiri wa mkoa huu ni warusi.meya ni mtusi mpaka wameunda chama chao cha warusi lina nchi na makachero wao wapo tu.wacha tu ili tuje kuwa kama jongo.Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya zida pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 inayokuja.
Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa.
Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.
Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane. Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.
Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.
Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali. Je kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.
Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi. Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi
Ahahahahaha! Nazungumzia "premises of argument". Sijui unazielewa?Unazungumzia idara za US au Tanganyika?
Hayo yalijengwa na baba wa taifa na si sababu ya tissUnahisi hiyo "idara" imelala!? Jichanganye uone ilivyo macho? Unafikiri wewe unashiba makande na kuanza kukosoa tu Kisha unatembea kwa mguu usiku wa manane bila hofu unafikiri ni kwasababu "idara" imelala? Nyambafu!!?
Ili hili lifanyike, yaani Idara ifungue macho, hatua ya kwanza ni hiyo idara kwanza iwe na hayo macho, macho yakiishakuwepo ndipo sasa iyafungue!, its very unfortunately, hawa jamaa zetu walikuwa zamani, siku hizi ni hakuna kitu kabisa pale, sio blind, bali hawana kabisa macho!.Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo.
Hawa watu wameshafeli,imagine wamezuia kila kitu haramu fine,lakini black market has some impact to economy,wamekaba kila Kona lakini uchumi unawashinda,sisi tunawapima kwenya budget basi,bajeti haiongei,basi wajiongeze pesa iwepo mtaani wapi.Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya zida pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 inayokuja.
Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa.
Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.
Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane. Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.
Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.
Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali. Je kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.
Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi. Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi
Tatizo ni wengi hatukuelewi unachomaanisha...Ni hatari sana matakwa na maslahi ya binafsi yanapogeuzwa kuwa ni ya nchi huku Kila kundi lake likiwa na godfather wake..Itafika muda nayo hata sasa Kuna dalili, hayo makundi yakimaslahi binafsi ndiyo yatakayo anza kupimana nguvu na Kila mmoja atataka kushika usukani ndipo hapo tutapiganishwa na hao godfathers wao...On the other hand liko tumaini NAMI nimeshaliona japo wengi hawalioni, Tanzania njema is a must!Cjui km watakuelewa, maana umeeleweka
Ahahahahaha! Na unafikiri nani anayaendeleza yawepo hadi leo? Bibi yako? Ahahahahaha!!Hayo yalijengwa na baba wa taifa na si sababu ya tiss
Kabisa kabisaUgoro tu umeandika..
Idara ni watu, serikali ni hao hao, kinachotakiwa ni wananchi mmoja mmoja hadi taifa wapate mawazo chanya na ye ye ufanisi.Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya zida pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 inayokuja.
Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa.
Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.
Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane. Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.
Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.
Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali. Je kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.
Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi. Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi
DahIli hili lifanyike, yaani Idara ifungue macho, hatua ya kwanza ni hiyo idara kwanza iwe na hayo macho, macho yakiishakuwepo ndipo sasa iyafungue!, its very unfortunately, hawa jamaa zetu walikuwa zamani, siku hizi ni hakuna kitu kabisa pale, sio blind, bali hawana kabisa macho!.
Chinga alitoka jirani, na yule Blaza wangu was an impostor kutoka kwa jirani!.
Kitu kizuri kuhusu majirani, they are very bright and brilliant na ni majembe kweli!.
Ile 2014 nilipoipata tuu Ile tip ya ni nani, analetwa 2015, nikawatonya humu, Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
nikidhani haya majamaa yalivyo tamalaki humu jf yatafanyia kitu !, kumbe ni bure kabisa, hamna kitu!.
Na baada ya kuwa, there was nothing more we could do nikashauri Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele ‘Maslahi ya Taifa’? Ila pia tukashauri for future Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu?
Baada ya kuwapelekea moto mabeberu, wakaanza kimpangia njama za kumuangamiza, watu humu tukaamua kujitolea kumsaidia kwa kuyatonya hayo majamaa njama hizo kama hivi
Haya majitu bure kabisa, yakashindwa kumprotect, wakamfikia, ikawa ndio vile tena!.
- Alipowabana mabeberu, nikauliza humu Zita Act Retroactively? Tutavunja Mikataba Yote Iliyopo? Can we Stand? Do we have the Guts?
- US/EU Walimtoa Saadam, Ghadafi na Mugabe? Je, wanapanga kumtoa Rais Magufuli madarakani? Watanzania wazalendo tutakubali?
- Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?
P
Kama haijalala waambie mpaka CDF anazungumza kuhusu Raia wa Kigeni kujipenyeza, walikuwa wanacheza karata au!?Unahisi hiyo "idara" imelala!? Jichanganye uone ilivyo macho? Unafikiri wewe unashiba makande na kuanza kukosoa tu Kisha unatembea kwa mguu usiku wa manane bila hofu unafikiri ni kwasababu "idara" imelala? Nyambafu!!?
HeheheheUnahisi hiyo "idara" imelala!? Jichanganye uone ilivyo macho? Unafikiri wewe unashiba makande na kuanza kukosoa tu Kisha unatembea kwa mguu usiku wa manane bila hofu unafikiri ni kwasababu "idara" imelala? Nyambafu!!?
Sizijui,ufafanuzi tafadhali!Ahahahahaha! Nazungumzia "premises of argument". Sijui unazielewa?
Umeandika vizuri sana! Rejea hoja za Dr. Mtikila... Alishayachambua haya. Msome Prof Lumumba kwa ufasaha zaidi!Taifa lolote nguvu yake ipo ktk idara zake nyeti za usalama. Kwa upeo wangu na kile nakiona kuna kila haja Taifa letu kuwa na macho ya zida pamoja na kufanya maamuzi magumu kwa muktadha wa Taifa letu miaka 100 inayokuja.
Kwanza nilazima idara ifungue macho juu ya mipaka na uraia wa Taifa letu nilazima serikali iwe makini sana na wimbi kubwa la mataifa jirani kuingia nakutoka mpaka na kupata uraia ndani ya Taifa lakini wakiwa na malengo ya kutawala siku zijazo. Hasa kupata ardhi na malighafi za Taifa.
Pili nilazima sera zetu ziwawezeshe wazawa sasa hivi mataifa jirani wanawezesha watu wao kuja wekeeza ndani ya Taifa letu na kuzaa na watu wetu nakuwa manamba ndani ya taifa lao.
Tatu nilazima idara ifanye mabadiliko makubwa yakimkakati kwenye sera za vyama vingi ili kuepeuka kuchomekewa watu kwenye mifumo kama tunataka kuiga Russia au wachina ijulikane na kama tunataka kuwa wamagharibi ijulikane. Hii sera ya kutoingiliana na upande wowote huko tuendako haitokuwa na nguvu na kwa mwendo huu ita hii sera itaangusha mataifa mengi.
Nne dunia ina enda kwa kasi sana nilazima idara ikumbuke taifa lisilo kuwa na watu imara lita anguka angalieni kongo angalieni Libya nk yote ni majibu ya idara zilizo lala nakuwaacha watawala wakatawala wanavyo taka namwisho wananchi wakawachoka wakaziangusha serikali.
Idara haina budi kujifunza kwa Libya yakuwa Watu wa Libya hawakuwa na sababu yakupinduwa serikali yao walikuwa wakipata kila kitu ila wana nchi walichoka mauwaji ya wasiojulikana usalama uliokuwa umekithiri kiasi ikawa kila walipo watu wawili mmoja mwana idara pamoja na hayo bado wananchi wakaiangusha serikali. Je kwanini na sisi vizazi vyetu vifike huko? Nidhahiri shahiri kwa muuondo wa chama tawala na mienendo ya siasa siku moja taifa laweza kujipata huko kama idara hamto simama kuwaambia ukweli watawala nje wananchi wanajisikiaje.
Tano idara nilazima ijikite ktk kuangalia mapato ya Taifa nakupambana na wizi na ufisadi mkubwa ktk mifumo ya nchi pasipokujali huyu ni nano au anatoka wapi. Watanzania bado tupo chini kwenye kodi na niwavivu kulipa kodi Kenya na mataifa mengine wameweza je kwa nini sisi bado budget yetu ni yategemezi na kwa hali ilivyo mataifa yanatupa support yatakuwa hayafanyi hivyo kwamfano lile fungu labku support demokrasia huwenda tusipate why wameshajuwa hakuna upinzania ni sarakasi tu tunacheza hivyo bora wakae na pesa zao hivyo nilazima idara iwe makini na walipa kodi