Ili hili lifanyike, yaani Idara ifungue macho, hatua ya kwanza ni hiyo idara kwanza iwe na hayo macho, macho yakiishakuwepo ndipo sasa iyafungue!, its very unfortunately, hawa jamaa zetu walikuwa zamani, siku hizi ni hakuna kitu kabisa pale, sio blind, bali hawana kabisa macho!.
Chinga alitoka jirani, na yule Blaza wangu was an impostor kutoka kwa jirani!.
Kitu kizuri kuhusu majirani, they are very bright and brilliant na ni majembe kweli!.
Ile 2014 nilipoipata tuu Ile tip ya ni nani, analetwa 2015, nikawatonya humu,
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
nikidhani haya majamaa yalivyo tamalaki humu jf yatafanyia kitu !, kumbe ni bure kabisa, hamna kitu!.
Na baada ya kuwa, there was nothing more we could do nikashauri
Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele ‘Maslahi ya Taifa’? Ila pia tukashauri for future
Ili kuepuka possibility ya kutawaliwa na wageni, kuna haja kutumia DNA kuthibitisha asili halisi za viongozi wetu wakuu?
Baada ya kuwapelekea moto mabeberu, wakaanza kimpangia njama za kumuangamiza, watu humu tukaamua kujitolea kumsaidia kwa kuyatonya hayo majamaa njama hizo kama hivi
Haya majitu bure kabisa, yakashindwa kumprotect, wakamfikia, ikawa ndio vile tena!.
P