Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
 
Kwa Tanzania lolote linaweza kutokea Mkuu.

Hii Nchi usiipe dhamana sana, kuna vitu tunaamini vinafanywa kiweledi ila ukijua undani wake unabakia mdomo wazi. Ukimsikiliza MABEYO kuhusu kifo cha hayati na mchakato mzima, vilevile ukisikiliza jinsi Mtoto wa Rais Ramia (ABDUL) anavyogawa pesa. Ni ngumu sana kuamini kuwa nchi inaendeshwa kwa mifumo IMARA.

Be humble, usibishe sana na wala usikubali kwa haraka. Lolote linaweza tokea kwenye hili taifa.
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili...
Yule bwana alikuwa kichaa wa mageuzi kama kina alexander the great, sankara, Castro, Tesla, Napoleon, wenzake wote waliomzunguka wanaona haiwezakani yeye aliona inawezekana lazima wakuone kichaa.
Na wizara zote ali overpoform.
 
Halafu hao wanaoroporopoka humu baba zao na Mama zao ambao walikuwa na "akili nzuri sana" kuliko Mwamba Magufuli aidha wamefariki wakiwa makapuku au wapo wanaishi hata majirani zao hawajui kama wapo! Hawa ndio mi huwaita wajinga na wapumbavu bila kujali nitapigwa ban au la!
 
Ufipa a.k.a wakunja ngumi wenzao wakikunja noti hawana akili
 
Nyani jike katika ubora !
 
Familia yenye mtoto mtukutu ni tunu kwa familia maana hakuna wa kuigusa familia husika...yes alikua kichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…