Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
- #21
Hujajibu nilichouliza.Familia yenye mtoto mtukutu ni tuni kwa familia maana hakuna wa kuigusa familia husika...yes alikua kichaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujajibu nilichouliza.Familia yenye mtoto mtukutu ni tuni kwa familia maana hakuna wa kuigusa familia husika...yes alikua kichaa
Kwa nini Mkapa na Kikwete walimteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri?Kumtetea huyu mtu, ni kazi ngumu sana.
Alikua mtendaji kinara na ndiye alibeba mawaziri mizigoHujajibu nilichouliza.
Kichaa alikuwa mtendaji kinara na kichaa huyo huyo ndiye aliyewabeba mawaziri mizigo wenye akili timamu?Alikua mtendaji kinara na ndiye alibeba mawaziri mizigo
Mbona leo Bashite ni RC?Kwa nini Mkapa na Kikwete walimteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Hujajibu swali langu. Sijakuuliza kuhusu huyo.Mbona leo Bashite ni RC?
Muasisi wa nchi Nyerere alikuwa na matatizo ya akili, mpaka karithisha familia yake matatizo hayo.Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Usipoteze muda wako kutarajia kwamba utapata a sensible answer.Hawawezi kukujibu.Kukujibu inabidi waelewe swali.Kichaa alikuwa mtendaji kinara na kichaa huyo huyo ndiye aliyewabeba mawaziri mizigo wenye akili timamu?
Kwa nini Mkapa na Kikwete walimteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Bongo kila kitu kinawezekana.
Hata Kingwendu akijipanga vizuri, kesho anaweza kuwa Amiri Jeshi Mkuu na mpaka astaafu, atakuwa na PhD za heshima za kutosha kabisa kutoka vyuo vya jalalani, n.k.
Sisi tu ndio tunalialia.
"UKichaa" ni nini? Wazimu ni nini? Mwehu ni mgonjwa wa aina gani?Sio wote wenye mafaili Mirembe ni vichaa. Kuna magonjwa ya akili mfano Narcissism ambayo ni mabaya sana na akiwa nayo mtu mwenye power ni hatari mno.
Muasisi wa nchi Nyerere alikuwa na matatizo ya akili, mpaka karithisha familia yake matatizo hayo.
Kwani Tanzania kuna vetting process?
Unamchukuliaje Kingwendu?Bongo kila kitu kinawezekana.
Hata Kingwendu akijipanga vizuri, kesho anaweza kuwa Amiri Jeshi Mkuu na mpaka astaafu, atakuwa na PhD za heshima za kutosha kabisa kutoka vyuo vya jalalani, n.k.
Sisi tu ndio tunalialia.
Watu wanasahau,kuna jamaa kipindi alotoa katuni.Magu the police,Magu the procecutor,magu the judge..Magu.....hacha watoe watu watoa vitabu! Kama mshauriwa aligeuka kua mshauri wa washauri wake!!Kwa Tanzania lolote linaweza kutokea Mkuu.
Hii Nchi usiipe dhamana sana, kuna vitu tunaamini vinafanywa kiweledi ila ukijua undani wake unabakia mdomo wazi. Ukimsikiliza MABEYO kuhusu kifo cha hayati na mchakato mzima, vilevile ukisikiliza jinsi Mtoto wa Rais Ramia (ABDUL) anavyogawa pesa. Ni ngumu sana kuamini kuwa nchi inaendeshwa kwa mifumo IMARA.
Be humble, usibishe sana na wala usikubali kwa haraka. Lolote linaweza tokea kwenye hili taifa.
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Kwa Tanzania lolote linaweza kutokea