Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,454
- 11,029
Yeye mwenyewe alisema kuwa ni kichaa na ndio maana aliwahi kumteua waziri kichaa kama yeye...birds of a feather flock together 😏
View: https://m.youtube.com/watch?v=n8IaMatQqFM
😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye mwenyewe alisema kuwa ni kichaa na ndio maana aliwahi kumteua waziri kichaa kama yeye...birds of a feather flock together 😏
View: https://m.youtube.com/watch?v=n8IaMatQqFM
Including Mbowe kutaka Lissu auliwe?
Nyerere alikuwa na matatizo gani ya akili?Muasisi wa nchi Nyerere alikuwa na matatizo ya akili, mpaka karithisha familia yake matatizo hayo.
Kwani Tanzania kuna vetting process?
Mkuu akikujibu nitag!Na waliomteua yeye kuwa waziri huku ana kichaa, tuwaiteje sasa?
Kumtetea huyu mtu, ni kazi ngumu sana.
At least kuna watu “great thinkers” kama wewe mnajua maana ya “critical thinking”. Kuna watu wameamini. Believe me hii system ya serikali ya ccm ni evil, usishangae kesho utaliaona faili lipo hapa linaonyesha reference ya file lipo mirembe. Hii ndiyo system ya ccm, na wote wataamini.Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Kumbe akili za Dr slaa?Including Mbowe kutaka Lissu auliwe?
Jamaa amekariri eti "kichaa lazima aokote makopo".Sio wote wenye mafaili Mirembe ni vichaa. Kuna magonjwa ya akili mfano Narcissism ambayo ni mabaya sana na akiwa nayo mtu mwenye power ni hatari mno.
Yeye mwenyewe alisema kuwa ni kichaa na ndio maana aliwahi kumteua waziri kichaa kama yeye...birds of a feather flock together 😏
View: https://m.youtube.com/watch?v=n8IaMatQqFM
Mpumbavu wewe nani akupige ban!? Kwa kipi cha maana ulichoandika.!? Kama unampenda sana fuata ushauri wa Zitto, nenda Chato ukalale kaburini mwake.Halafu hao wanaoroporopoka humu baba zao na Mama zao ambao walikuwa na "akili nzuri sana" kuliko Mwamba Magufuli aidha wamefariki wakiwa makapuku au wapo wanaishi hata majirani zao hawajui kama wapo! Hawa ndio mi huwaita wajinga na wapumbavu bila kujali nitapigwa ban au la!
In plain language, tunachoambiwa ni kwamba members wa vikao vya maamuzi vya CCM na wateuaji wa Magufuli wote ni vichaa isipokuwa diagnoses zao wao zimechelewa tu kutoka!Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Familia ya Nyerere ina matatizo ya afya ya akili, akili zao haziko sawa. Hata yule kaka mkubwa anayekuja hapa huwa tunaona kuna wakati yuko sawa, kuna wakati hayuko sawa. Si bure. Ni ugonjwa wa kurithi. Tuwafanyie wepesi tusiweke mengi maana ule ni ugonjwa, tena wa kurithi kabisa.Kivipi Nyerere alikua na matatizo ya akili?
Ludicrous (sorry)Muasisi wa nchi Nyerere alikuwa na matatizo ya akili, mpaka karithisha familia yake matatizo hayo.
Kwani Tanzania kuna vetting process?