Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Mtu kuwa na matatizo ya akili si moja Kwa moja NI kichaa.

Matatizo ya akili ni Kama magonjwa mengine yaani Yana stages.

Mtu kushindwa kujidhibit pind ukikasirika ni tatizo la akili.

Wenye matatizo ya akili tungali nap wengi mitaani .
Wewe una tatizo la akili?
 
Mpumbavu wewe nani akupige ban!? Kwa kipi cha maana ulichoandika.!? Kama unampenda sana fuata ushauri wa Zitto, nenda Chato ukalale kaburini mwake.
Acha kutoa povu Dogo. Kama Mwamba Magufuli alikuwa mbaya babaako na mamaako ambao ni wazuri sana wana kipi walichotufanyia sie Watanzania? Si ajabu hata wewe umesoma kwa mkopo enzi za Mwamba Magufuli kwasababu wazazi wako walishindwa kukusomesha mbwa wewe! Nasubiria ban kwa Hisani ya Mwamba Magufuli ambaye nitamtetea daima!!!!
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Lini ulianza utaratibu wa kupima utimamu wa afya ya akili kwa wagombea wa CCM?
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Wanaosema hivyo ni matapeli tu. Kichaa hawezi kufanya makubwa kama aliyofanya magufuli. Leo yanayeteleza kwa SGR na ndege za Boeing kwa akili ya magufuli. Kichaa ni haya yasiyoona mazuri yake. Yamerogwa
 
Bongo kila kitu kinawezekana.

Hata Kingwendu akijipanga vizuri, kesho anaweza kuwa Amiri Jeshi Mkuu na mpaka astaafu, atakuwa na PhD za heshima za kutosha kabisa kutoka vyuo vya jalalani, n.k.

Sisi tu ndio tunalialia.
Kiongozi pambana;

Changamoto ya kutokupambana utawaona kila waliopambana na kufanikiwa hawakustahili. Dunia inawapa wanachohitaji wapambanaji pekee. Kama Kingwendu akihustle na kufikia level hiyo, shida nini???

Mind you, Trump amekuwa Rais USA, Boris amekuwa PM UK, Gachagua amekuwa Deputy President Kenya na wengine wengi… Wamehustle sana….

Shida yetu watanzania Mtu Akifanikiwa tuna pambana kumkejeli, hadi unakejeli Uamiri Jeshi Mkuu wa Nchi yetu; Kumbuka who ever gets the Chair amestahili, Imagine toka Nchi yetu ijitawale tuna watu sita tu wameshika hiyo nafasi so far; it is not easy ndugu
 
Nyerere alikuwa na matatizo gani ya akili?

Who diagnosed him?

Naye alikuwa na faili Mirembe?

Two presidents appoint you to their cabinets. You serve in government for well over a decade.

Katika muda wote huo hakuna mtu hata mmoja anayegundua una matatizo ya akili? Kwamba una kichaa?
Nyerere alikuwa ana matatizo ya akili. Nilikaa na Mzee Lawi Sijaona Nangwanda akasema enzi zao kuna wakati Nyerere alikuwa anafichwa kabisa asionekane kwa sababu alikuwa na circles zake.

Hata yule kaka mkubwa anayekuja hapa naye mara nyingine yuko poa, mara nyingine tia maji tia maji.

Wanaojua wanajua.
 
Wapo wengi tu afya zao za akili zinatia mashaka kwa kauli zao na vitendo vyao , mkuu wa mkoa mmoja alivyoelezwa kero ya Machangudoa mtaani aliwajibu wanachi wanaona kero wauze nyumba wahame yeye hawezi kuwatoa Machangudoa kwani akitoka kusikiliza kero za wananchi anaenda kwa haohao kuburudika , wanachi walimlaani balaa muda so mrefu akapata kesi ya kulawiti huko Mwanza. Aliruhusu pia Kanisa linaloongozwa na kichaa upiga muziki mkubwa usiku kucha mchana kutwa mpaka leo lipo.
 
Familia ya Nyerere ina matatizo ya afya ya akili, akili zao haziko sawa. Hata yule kaka mkubwa anayekuja hapa huwa tunaona kuna wakati yuko sawa, kuna wakati hayuko sawa. Si bure. Ni ugonjwa wa kurithi. Tuwafanyie wepesi tusiweke mengi maana ule ni ugonjwa, tena wa kurithi kabisa.

Wanaojua wanajua.
Hivi kuna mtu mwenye matatizo ya akili ambaye anaweza kuwa narrative kama Nyerere ?? Self expression! Acha mapungufu yake ya utawala. Yule jamaa alikuwa anajua kuongea na approach yake ilikuwa nzuri. Sasa hii ya kusema alikuwa na matatizo ya akili is too low. Cancel culture
 
Acha kutoa povu Dogo. Kama Mwamba Magufuli alikuwa mbaya babaako na mamaako ambao ni wazuri sana wana kipi walichotufanyia sie Watanzania? Si ajabu hata wewe umesoma kwa mkopo enzi za Mwamba Magufuli kwasababu wazazi wako walishindwa kukusomesha mbwa wewe! Nasubiria ban kwa Hisani ya Mwamba Magufuli ambaye nitamtetea daima!!!!
Akupige ban nani wewe mpumbavu!? Baba yangu na mama yangu uliwapa wewe dhamana ya kuongoza nchi!? Hata nikisoma kwa mkopo, kwani pesa ni za baba yake magufuli au zilikuwa zake.!? By the way Nyerere alisomesha watu bure akiwemo huyo magufuli, je pesa zilikuwa za kwake Nyerere!? Punguza upumbavu Aisee!
 
Hivi kuna mtu mwenye matatizo ya akili ambaye anaweza kuwa narrative kama Nyerere ?? Self expression! Acha mapungufu yake ya utawala. Yule jamaa alikuwa anajua kuongea na approach yake ilikuwa nzuri. Sasa hii ya kusema alikuwa na matatizo ya akili is too low. Cancel culture
Hata yeye [jamaa uliyemnukuu] kuna watu wanasema ana matatizo ya akili.

Kazi kweli kweli.
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Hongera na safi sana kwa maswali mazuri. Baada ya kusoma hapa ikabidi niende Youtube kwenye zile video kuangalia comment.

Aisee, nimegundua Jamii Forums inawafuata upepo na machawa wengi ambao uwezo wa kufikiri umeshikiriwa na watu.
Kwa yale maoni ya huko Youtube nahisi huyo mwandishi na mtunzi wa kitabu wanajilaumu na kujutia walichokifanya.
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Sio hilo tu mkuuz! Kapewa kuliongiza taifa miaka 5, Alafu ya NEC Chama kikongwe kabisa Africa CCM ikamteua tena kuwa Rais kwa awamu ya pili! Hao makuwadi wa mabeberu hao ndo vichaa! Magufuli alikuwa kiongozi bora na wa mfano wa kuigwa Africa
 
Hivi kuna mtu mwenye matatizo ya akili ambaye anaweza kuwa narrative kama Nyerere ?? Self expression! Acha mapungufu yake ya utawala. Yule jamaa alikuwa anajua kuongea na approach yake ilikuwa nzuri. Sasa hii ya kusema alikuwa na matatizo ya akili is too low. Cancel culture
Mkuu,

Kama hujayajua matatizo yote ya akiki si rahisi kuelewa.

Therw is a thin line between genius and madness.

Katika sayansi kuna mifano mingi ya ma genius walikuwa na matatizo ya akiki.

Soma story ya mtu anaitwa Georg Cantor jamaa genius alikuwa anacheza na mahesabu ya infinity mpaka akawa kichaaa.
 
Akupige ban nani wewe mpumbavu!? Baba yangu na mama yangu uliwapa wewe dhamana ya kuongoza nchi!? Hata nikisoma kwa mkopo, kwani pesa ni za baba yake magufuli au zilikuwa zake.!? By the way Nyerere alisomesha watu bure akiwemo huyo magufuli, je pesa zilikuwa za kwake Nyerere!? Punguza upumbavu Aisee!
Ukisikia yalaaaaah! Ujue limempata! Ahahahahaha!!!!
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Hii sasa Mpya kumbe hakuteuliwa na Kamati Kuu kama Mlivyotwambia mwanzo
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.

Kwani Hao waliomteuwa , wewe unawaona wana akili ?
 
Yule bwana alikuwa kichaa wa mageuzi kama kina alexander the great, sankara, Castro, Tesla, Napoleon, wenzake wote waliomzunguka wanaona haiwezakani yeye aliona inawezekana lazima wakuone kichaa.
Na wizara zote ali overpoform.
Yaani alimudu nafasi ya uwaziri miaka 20 kwa marais wawili tofauti alafu mnatuambia nini?
 
Back
Top Bottom