Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Mama mzazi wa Magufuli alimuonya sana Kikwette kuhusu kumfanya Magufuli awe mgombea wa CCM.

Mkapa kwa sababu alimuibua kwa mara ya kwanza kuwa NW Ujenzi na kisha kumpa uwaziri, alidhani kuwa ataweza kumdhibiti kama Nyerere alivyomdhibiti Mwinyi.

Kuhusu faili la ukichaa Mirembe: TISS walifanya kazi yao lakini Waziri wa Utawala Bora wa wakati huo Chikawe alificha faili lisifike kwenye kamati kuu ya CCM.

Baada ya kustaafu Chikawe mwaka 2016 akazawadiwa Ubalozi huko Japan
 
Kwa hiyo uliamini? Lawi Sijaona?
Mkuu,

Sikuamini. Ila nikakaa na kaka mkubwa A. Burito mwenyewe na nika notice mambo fulani hivi yaliyokuwa yana corroborate hiyo story. Ni tatizo la familia.

Kaka mkubwa hata akija hapa JF huwa kuna siku yuko fresh anapiga nondo za kweli, kuna siku yuko tia maji tia maji hata kumuelewa tabu.

Watu wanaomfuatilia hapa JF wanajua.
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Mnaongea mambo magumu🤔🤔🤔
 
Mama mzazi wa Magufuli alimuonya sana Kikwette kuhusu kumfanya Magufuli awe mgombea wa CCM.

Mkapa kwa sababu alimuibua kwa mara ya kwanza kuwa NW Ujenzi na kisha kumpa uwaziri, alidhani kuwa ataweza kumdhubiti kama Nyerere alivyomdhubuiti Mwinyi.

Kuhusu faili la ukichaa Mirembe: TISS walifanya kazi yao lakini Waziri wa Utawala Bora wa wakati huo Chikawe alificha faili lisifike kwenye kamati kuu ya CCM.

Baada ya kustaafu Chikawe mwaka 2016 akazawadiwa Ubalozi huko Japan
Huyo mama si ni mgonjwa siku nyingi tu!

Kwa hiyo, kama unachosema ni kweli, huyo mama alikuwa okay na Magufuli kuwa waziri lakini siyo kuwa Rais?

This is Chai tea 🤣.
 
Hivi binadamu au mtanzania gani ambaye anaweza kusema yupo huru au hana matatizo ya akili?

Hivi nyie watu wengi wa JF mnaojiita Great Thinkers na msiyo na matatizo ya akili mmewasaidia nini watanzania ukiacha uchawa wenu na ukuwadi?
Mnapata wapi ujasiri wa kumzodoa hayati na kusema alikuwa na matatizo ya akili?
Kweli kichaa anawaona wengine ni vichaa isipokuwa yeye tu in Kanumba Voice. Ndo member wengi wa JF mlivyo, nyie ni vichaa ila hamjujui
Hata kama wengine tuna matatizo ya akili, hatujagombea uongozi wa umma.

Tatizo si kuwa mgonjwa wa akili.

Ugonjwa ni ugonjwa tu tunakutibu huna hatia kwa sababu huo ni ugonjwa tu.

Tatizo ni kuwa mgonjwa halafu unataka kuwa rais na uongozi wa nchi unakuachia uwe rais.
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Kama Kichaa alikuwa Rais, huyo mzima alikuwa wapi?
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Kaka watu wa humu wanapenda kuuziana chai na story za vijiweni ambazo hazina ushahidi.
 
Psychopaths are everywhere. Many are well-functioning individuals in society, high achievers, non-compromising types. Magufuli was a psychopath. Kabendera presents his characterization of Magufuli with a lot of conviction. I believe him when he says his book has gone through years of tedious and careful editorial and legal due diligence before final publishing.

Be very careful with the people like Kabendera. They can do anything to meet their ends.
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Ukichaa uko wa aina nyingi na una stages zake, as report ya mtaalam kuwa watanzania wengi wana ukichaa haimaanishi wanaokota makopo
 
Mama mzazi wa Magufuli alimuonya sana Kikwette kuhusu kumfanya Magufuli awe mgombea wa CCM.

Mkapa kwa sababu alimuibua kwa mara ya kwanza kuwa NW Ujenzi na kisha kumpa uwaziri, alidhani kuwa ataweza kumdhubiti kama Nyerere alivyomdhubuiti Mwinyi.

Kuhusu faili la ukichaa Mirembe: TISS walifanya kazi yao lakini Waziri wa Utawala Bora wa wakati huo Chikawe alificha faili lisifike kwenye kamati kuu ya CCM.

Baada ya kustaafu Chikawe mwaka 2016 akazawadiwa Ubalozi huko Japan
Chai hizi!!! Ulikuwepo wakati huyo bi mkubwa akimuonya Kikwete. Huyo Kikwete na Mkapa ukiwambia wakutajie mawaziri wake bora watakuambia Magu, Kikwete alikuwa akimwita Magu Jembe. Hebu achenii kuwauzia watu chai na story zenu za kutunga.
 
Back
Top Bottom