Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Hapo hapo kwenye issues za Uwaziri; kama tunakumbuka vizuri, JK alivoingia madarakani, alimtoa Magufuli kwenye wizara ya ujenzi na kumuweka Dr. Shukuru Kawambwa, haukupita muda, JK mwenyewe alimrudisha "kichaa" wizara ya ujenzi na mwaka alivorudi tu, alianza kuwatingisha wakandarasi wale waliolipua ujenzi kwamba watajenga kwa gharama zao na ikawa hivo. As we speak, nani kavunja record ya Magufuli kwenye wizara ya ujenzi kwa utendaji?
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Yule hakuteuliwa kwa kupangwa aliteuliwa kwa sababu walikuwa wanatafuta mbadala wa Lowassa hawakutaka Lowassa agombee. Kuanzia Nyerere mpaka Kikwete Rais wa Tanzania walikuwa anajulikana toka harakati za mwanzo za kugombea. Ila mwaka 2015 Chama hakikuandaa mtu na Lowassa ndio alikuwa anakubalika kuliko wote. Sasa chama ikabidi imteue Mvuta Bangi mwenye kichaa cha mbwa.
 
Yule hakuteuliwa kwa kupangwa aliteuliwa kwa sababu walikuwa wanatafuta mbadala wa Lowassa hawakutaka Lowassa agombee. Kuanzia Nyerere mpaka Kikwete Rais wa Tanzania walikuwa anajulikana toka harakati za mwanzo za kugombea. Ila mwaka 2015 Chama hakikuandaa mtu na Lowassa ndio alikuwa anakubalika kuliko wote. Sasa chama ikabidi imteue Mvuta Bangi mwenye kichaa cha mbwa.
Watu mna stori kushinda hata wahusika 🤣.
 
Ila Bongo ina maajabu, ndio yaleyale ya Lissu kuonekana hafai kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa tena cha upinzani ila anafaa kuwa rais wa nchi kabisa.
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Hata wao walijuta baadae
 
Nimefanya kazi taasisi moja kubwa...... kulikuwa na mwenzetu, one of the brightest minds nimewahi kukutana nazo. Ila alikuwa na monthly injections zake Muhimbili pale, akikosa tu, tulikuwa tunajua na kuwastua ndugu zake mapema.
 
Bongo kila kitu kinawezekana.

Hata Kingwendu akijipanga vizuri, kesho anaweza kuwa Amiri Jeshi Mkuu na mpaka astaafu, atakuwa na PhD za heshima za kutosha kabisa kutoka vyuo vya jalalani, n.k.

Sisi tu ndio tunalialia.
Kingwendu hana sifa ipi ya Urais?
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Mimi nilikuwa napenda kumuita JP MKALI MWAMBA! That guy wasn't prepared to be a PREZIDAA kabisa, You Know 😂
 
Kwa mujibu wa sheria gani wewe? Kubembeleza kupata mkopo maana yake ni mzazi wako kushindwa majukumu ya kulea familia yake, hivyo anaomba msaada wa serikali. Kama utakiri wazazi wako walishindwa majukumu, basi ntakubaliana na wewe.
Wewe ni mjinga mkopo maana yake unarudisha kwa maana yako basi hata gsm,Mo weti wameshindwa majukumu maana kutwa kucha wanakopa tu.acha ujinga kama serikali inasaidia basi itoe bure sio mkopo.Unaandika kama umekatwa kichwa.
 
Acha kutoa povu Dogo. Kama Mwamba Magufuli alikuwa mbaya babaako na mamaako ambao ni wazuri sana wana kipi walichotufanyia sie Watanzania? Si ajabu hata wewe umesoma kwa mkopo enzi za Mwamba Magufuli kwasababu wazazi wako walishindwa kukusomesha mbwa wewe! Nasubiria ban kwa Hisani ya Mwamba Magufuli ambaye nitamtetea daima!!!!

Argument yako ni ya kijinga sana.

Wewe babaako na mama ako wamefanya nini nchi hii? Au wewe ni Jesca Magufuli, mtoto wa magu?

Kwa hiyo mtu ili awe na impact kwa Watanzania ni lazima awe na umaarufu kama wa Jiwe?

Hayo mambo ambayo Jiwe alikuwa anafanya, hela zilikuwa zinatoka mfukoni kwake au ni kodi zetu?

We kweli mtoto wa shule. Hoja yako inaendana na jina la ID yako.

Ka Jinga!
 
Kwa hiyo unataka kusema Watanzania wote wana ugonjwa wa akili sawa?

Kama.mnataka kufuata sheria, mnaona mmetuhumiwa uongo, mshitakini Kabendera tupate ukweli mahakamani
Nyie wenye utimamu wa akili ndo mnajua nani ana ugonjwa wa akili kwa hiyo inabidi muwachagulie viongozi wasiyo na ugonjwa wa akili.
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
UTAMU WA PIPI NI MATE YA MMUNG'UNYA PIPI.
 
Hapo hapo kwenye issues za Uwaziri; kama tunakumbuka vizuri, JK alivoingia madarakani, alimtoa Magufuli kwenye wizard ya ujenzi na kumuweka Dr. Shukuru Kawambwa, haukupita muda, JK mwenyewe alimrudisha "kichaa" wizard ya ujenzi na mwaka alivorudi tu, alianza kuwatingisha wakandarasi wale waliolipua ujenzi kwamba watajenga kwa gharama zao na ikawa hivo. As we speak, nani kavunja record ya Magufuli kwenye wizard ya ujenzi kwa utendaji?
Aliweka rekodi gani?
 
Back
Top Bottom