Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
List is endelevu.Sabaya pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
List is endelevu.Sabaya pia.
Kicha anaonekana na kujulikana kwa matendo yake. Magufuli aliwahi kukiri hadharani kubwa yeye ni kichaa "...kichaa kama mimi..." AlitamkaWanaosema Magufuli alikuwa kichaa wao ni ma psychiatrist?
Yule hakuteuliwa kwa kupangwa aliteuliwa kwa sababu walikuwa wanatafuta mbadala wa Lowassa hawakutaka Lowassa agombee. Kuanzia Nyerere mpaka Kikwete Rais wa Tanzania walikuwa anajulikana toka harakati za mwanzo za kugombea. Ila mwaka 2015 Chama hakikuandaa mtu na Lowassa ndio alikuwa anakubalika kuliko wote. Sasa chama ikabidi imteue Mvuta Bangi mwenye kichaa cha mbwa.Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Watu mna stori kushinda hata wahusika 🤣.Yule hakuteuliwa kwa kupangwa aliteuliwa kwa sababu walikuwa wanatafuta mbadala wa Lowassa hawakutaka Lowassa agombee. Kuanzia Nyerere mpaka Kikwete Rais wa Tanzania walikuwa anajulikana toka harakati za mwanzo za kugombea. Ila mwaka 2015 Chama hakikuandaa mtu na Lowassa ndio alikuwa anakubalika kuliko wote. Sasa chama ikabidi imteue Mvuta Bangi mwenye kichaa cha mbwa.
Hata wao walijuta baadaeKama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Unless unataka kusikia unayotaka kusikia. Lakini ukweli ndio huo.Hizi stori zenu bana 😀.
Kingwendu hana sifa ipi ya Urais?Bongo kila kitu kinawezekana.
Hata Kingwendu akijipanga vizuri, kesho anaweza kuwa Amiri Jeshi Mkuu na mpaka astaafu, atakuwa na PhD za heshima za kutosha kabisa kutoka vyuo vya jalalani, n.k.
Sisi tu ndio tunalialia.
Yeye mwenyewe alisema kuwa ni kichaa na ndio maana aliwahi kumteua waziri kichaa kama yeye...birds of a feather flock together 😏
View: https://m.youtube.com/watch?v=n8IaMatQqFM
Mimi nilikuwa napenda kumuita JP MKALI MWAMBA! That guy wasn't prepared to be a PREZIDAA kabisa, You Know 😂Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Bahati mbaya zaidi ukweli wako unatofautiana mbali sana na ukweli wa watu wengine.Unless unataka kusikia unayotaka kusikia. Lakini ukweli ndio huo.
Wewe ni mjinga mkopo maana yake unarudisha kwa maana yako basi hata gsm,Mo weti wameshindwa majukumu maana kutwa kucha wanakopa tu.acha ujinga kama serikali inasaidia basi itoe bure sio mkopo.Unaandika kama umekatwa kichwa.Kwa mujibu wa sheria gani wewe? Kubembeleza kupata mkopo maana yake ni mzazi wako kushindwa majukumu ya kulea familia yake, hivyo anaomba msaada wa serikali. Kama utakiri wazazi wako walishindwa majukumu, basi ntakubaliana na wewe.
Acha kutoa povu Dogo. Kama Mwamba Magufuli alikuwa mbaya babaako na mamaako ambao ni wazuri sana wana kipi walichotufanyia sie Watanzania? Si ajabu hata wewe umesoma kwa mkopo enzi za Mwamba Magufuli kwasababu wazazi wako walishindwa kukusomesha mbwa wewe! Nasubiria ban kwa Hisani ya Mwamba Magufuli ambaye nitamtetea daima!!!!
Nyie wenye utimamu wa akili ndo mnajua nani ana ugonjwa wa akili kwa hiyo inabidi muwachagulie viongozi wasiyo na ugonjwa wa akili.Kwa hiyo unataka kusema Watanzania wote wana ugonjwa wa akili sawa?
Kama.mnataka kufuata sheria, mnaona mmetuhumiwa uongo, mshitakini Kabendera tupate ukweli mahakamani
UTAMU WA PIPI NI MATE YA MMUNG'UNYA PIPI.Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Kichaa ni nyapara mzuri,watu watapelekeshwa huko field watajutaNa waliomteua yeye kuwa waziri huku ana kichaa, tuwaiteje sasa?
Aliweka rekodi gani?Hapo hapo kwenye issues za Uwaziri; kama tunakumbuka vizuri, JK alivoingia madarakani, alimtoa Magufuli kwenye wizard ya ujenzi na kumuweka Dr. Shukuru Kawambwa, haukupita muda, JK mwenyewe alimrudisha "kichaa" wizard ya ujenzi na mwaka alivorudi tu, alianza kuwatingisha wakandarasi wale waliolipua ujenzi kwamba watajenga kwa gharama zao na ikawa hivo. As we speak, nani kavunja record ya Magufuli kwenye wizard ya ujenzi kwa utendaji?