Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Kama Magufuli alikuwa kichaa kama watu wanavyodai, kwanini Kikwete na Mkapa walimteua kama Waziri?

Yule bwana alikuwa kichaa wa mageuzi kama kina alexander the great, sankara, Castro, Tesla, Napoleon, wenzake wote waliomzunguka wanaona haiwezakani yeye aliona inawezekana lazima wakuone kichaa.
Na wizara zote ali overpoform.
Yule alikua dikteta ambaye alikua anachipua kuja kuwa mojawapo ya madikteta nguli waliowahi kutokea hapa duniani, mpaka leo angelikua hai kwanza, chadema ameshaifuta kwenye usajili, pili wale wanasiasa wa kuhoji angekuwa wakimbizi wa kisiasa nje, kufungwa, na kutekwa na kuuliwa, tatu, chato ingekua jiji. Nne, ilikua chaguzi hakuna
 
Yule bwana alikuwa kichaa wa mageuzi kama kina alexander the great, sankara, Castro, Tesla, Napoleon, wenzake wote waliomzunguka wanaona haiwezakani yeye aliona inawezekana lazima wakuone kichaa.
Na wizara zote ali overpoform.
Hapa umemaliza kila kitu asee,vile wengi
Walikuwa wanaona haviwezekani yeye alikuwa anaona vinawezakana bila kupepesa macho na ndo ivyo inakuwa.
 
Psychopaths are everywhere. Many are well-functioning individuals in society, high achievers, non-compromising types. Magufuli was a psychopath. Kabendera presents his characterization of Magufuli with a lot of conviction. I believe him when he says his book has gone through years of tedious and careful editorial and legal due diligence before final publishing.
Hizo years of tedious and careful editorial zimetokea lini Hadi lini.
Na hizo legal due diligence mbona halikufanyika Tz, afanye ughaibuni na hakuna wa kumshtaki huko. Unakumbuka weapons of mass destruction chini ya uvungu WA kitanda cha Saddam Hussein
 
Kama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?

Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷‍♂️].

Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.

Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea

Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.

Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?

Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!

How?

Make it make sense. Please.
Trump ni Mziima??? Mbona amepitishwa
 
Argument yako ni ya kijinga sana.

Wewe babaako na mama ako wamefanya nini nchi hii? Au wewe ni Jesca Magufuli, mtoto wa magu?

Kwa hiyo mtu ili awe na impact kwa Watanzania ni lazima awe na umaarufu kama wa Jiwe?

Hayo mambo ambayo Jiwe alikuwa anafanya, hela zilikuwa zinatoka mfukoni kwake au ni kodi zetu?

We kweli mtoto wa shule. Hoja yako inaendana na jina la ID yako.

Ka Jinga!
Povu ruksa ila ukweli utasimama na Mwamba Magufuli!
 
Unakumbuka weapons of mass destruction chini ya uvungu WA kitanda cha Saddam Hussein
Pompeo alishasema uongo kwao ni jadi ili watimize lengo lao. Kabe sina hakika kama anaweza kuwa kwenye orodha ya walipwaji wa Kitengo alichowahi kalia Pompe!
 
Chai hizi!!! Ulikuwepo wakati huyo bi mkubwa akimuonya Kikwete. Huyo Kikwete na Mkapa ukiwambia wakutajie mawaziri wake bora watakuambia Magu, Kikwete alikuwa akimwita Magu Jembe. Hebu achenii kuwauzia watu chai na story zenu za kutunga.
Ingekuwa kila issue lazima kuwepo ndiyo tusikie basi hii ingekuwa dunia ya hovyo. Shirikisha ubongo wako, kichwa siyo chungu cha kutunzia mifupa
 
Inawezekana wote tuna matatizo ya akili, tunazidiana viwango tu.
Kuna mwalimu wangu Mmoja alinifundisha CBE_Dodoma alikuwa nzuri sana wa kufundisha!Tena Jamaa alikuwa anaota kichwani.Lakini alikuwa na tatizo la Afya ya Akili Ndio maana wataalamu wakapendeza tusiite kichaa.Hapa mtani kwangu kuna mwenye duka mmoja Huwa anajishtukia kinapotaka kumtokea anameza sawa mapema na kulala!Kuna Sina tatu za hizo afya za Akili ukiwauliza wataalamu watakufafanulia.
 
Chai hizi!!! Ulikuwepo wakati huyo bi mkubwa akimuonya Kikwete. Huyo Kikwete na Mkapa ukiwambia wakutajie mawaziri wake bora watakuambia Magu, Kikwete alikuwa akimwita Magu Jembe. Hebu achenii kuwauzia watu chai na story zenu za kutunga.
Kuwa Bora kazini hakuondoi dhana ya mtu kuwa na Afya ya Akili mkuu!Waulize wataalamu wa magonjwa ya Akili watakufafanulia vizuri tuu!
 
Back
Top Bottom