spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Ndugo wabungo napitishu mswadu wa sherioWaziri Mkuu anakuwa Bambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugo wabungo napitishu mswadu wa sherioWaziri Mkuu anakuwa Bambo
Logical non sequitur fallacy.Nyie wenye utimamu wa akili ndo mnajua nani ana ugonjwa wa akili kwa hiyo inabidi muwachagulie viongozi wasiyo na ugonjwa wa akili.
Yule alikua dikteta ambaye alikua anachipua kuja kuwa mojawapo ya madikteta nguli waliowahi kutokea hapa duniani, mpaka leo angelikua hai kwanza, chadema ameshaifuta kwenye usajili, pili wale wanasiasa wa kuhoji angekuwa wakimbizi wa kisiasa nje, kufungwa, na kutekwa na kuuliwa, tatu, chato ingekua jiji. Nne, ilikua chaguzi hakunaYule bwana alikuwa kichaa wa mageuzi kama kina alexander the great, sankara, Castro, Tesla, Napoleon, wenzake wote waliomzunguka wanaona haiwezakani yeye aliona inawezekana lazima wakuone kichaa.
Na wizara zote ali overpoform.
Hapa umemaliza kila kitu asee,vile wengiYule bwana alikuwa kichaa wa mageuzi kama kina alexander the great, sankara, Castro, Tesla, Napoleon, wenzake wote waliomzunguka wanaona haiwezakani yeye aliona inawezekana lazima wakuone kichaa.
Na wizara zote ali overpoform.
Matatizo yake ya akili , yalia athiri vipi nchi au Maamuzi yakeMuasisi wa nchi Nyerere alikuwa na matatizo ya akili, mpaka karithisha familia yake matatizo hayo.
Kwani Tanzania kuna vetting process?
Hizo years of tedious and careful editorial zimetokea lini Hadi lini.Psychopaths are everywhere. Many are well-functioning individuals in society, high achievers, non-compromising types. Magufuli was a psychopath. Kabendera presents his characterization of Magufuli with a lot of conviction. I believe him when he says his book has gone through years of tedious and careful editorial and legal due diligence before final publishing.
Trump ni Mziima??? Mbona amepitishwaKama ni kweli Rais Magufuli alikuwa ni kichaa, kwa nini marais Mkapa na Kikwete walimteua kuwa kwenye mabaraza yao ya mawaziri?
Baadhi ya watu wanadai kuwa alikuwa na faili lake pale Mirembe [sijui waliliona wapi hilo faili 🤷♂️].
Mtu kichaa, mwenye faili Mirembe, anateuliwa kuwepo kwenye baraza la mawaziri na marais wawili tofauti.
Pia soma: Ukichaa wa Magufuli na propaganda zinazoendelea
Baada ya hapo, chama hicho hicho cha hao marais waliomteua kwenye mabaraza yao ya mawaziri, kinamteua kuwa mgombea urais wao.
Huo ugonjwa wake wa akili ulianza lini? Baada ya yeye kula kiapo cha kuwa Rais?
Marais wawili, with all the state resources at their disposal, wanamteua ‘kichaa’ kutumikia kwenye serikali zao!
How?
Make it make sense. Please.
Povu ruksa dogo!Wewe ni mjinga mkopo maana yake unarudisha kwa maana yako basi hata gsm,Mo weti wameshindwa majukumu maana kutwa kucha wanakopa tu.acha ujinga kama serikali inasaidia basi itoe bure sio mkopo.Unaandika kama umekatwa kichwa.
Povu ruksa ila ukweli utasimama na Mwamba Magufuli!Argument yako ni ya kijinga sana.
Wewe babaako na mama ako wamefanya nini nchi hii? Au wewe ni Jesca Magufuli, mtoto wa magu?
Kwa hiyo mtu ili awe na impact kwa Watanzania ni lazima awe na umaarufu kama wa Jiwe?
Hayo mambo ambayo Jiwe alikuwa anafanya, hela zilikuwa zinatoka mfukoni kwake au ni kodi zetu?
We kweli mtoto wa shule. Hoja yako inaendana na jina la ID yako.
Ka Jinga!
Umewashika pabaya sana! Ha ha haaa!Including Mbowe kutaka Lissu auliwe?
Pompeo alishasema uongo kwao ni jadi ili watimize lengo lao. Kabe sina hakika kama anaweza kuwa kwenye orodha ya walipwaji wa Kitengo alichowahi kalia Pompe!Unakumbuka weapons of mass destruction chini ya uvungu WA kitanda cha Saddam Hussein
Ingekuwa kila issue lazima kuwepo ndiyo tusikie basi hii ingekuwa dunia ya hovyo. Shirikisha ubongo wako, kichwa siyo chungu cha kutunzia mifupaChai hizi!!! Ulikuwepo wakati huyo bi mkubwa akimuonya Kikwete. Huyo Kikwete na Mkapa ukiwambia wakutajie mawaziri wake bora watakuambia Magu, Kikwete alikuwa akimwita Magu Jembe. Hebu achenii kuwauzia watu chai na story zenu za kutunga.
Although ni irrelevant question,depends with watu walio nizunguka and until nikapimweWewe ni kichaa?
Kuna mwalimu wangu Mmoja alinifundisha CBE_Dodoma alikuwa nzuri sana wa kufundisha!Tena Jamaa alikuwa anaota kichwani.Lakini alikuwa na tatizo la Afya ya Akili Ndio maana wataalamu wakapendeza tusiite kichaa.Hapa mtani kwangu kuna mwenye duka mmoja Huwa anajishtukia kinapotaka kumtokea anameza sawa mapema na kulala!Kuna Sina tatu za hizo afya za Akili ukiwauliza wataalamu watakufafanulia.Inawezekana wote tuna matatizo ya akili, tunazidiana viwango tu.
Kuwa Bora kazini hakuondoi dhana ya mtu kuwa na Afya ya Akili mkuu!Waulize wataalamu wa magonjwa ya Akili watakufafanulia vizuri tuu!Chai hizi!!! Ulikuwepo wakati huyo bi mkubwa akimuonya Kikwete. Huyo Kikwete na Mkapa ukiwambia wakutajie mawaziri wake bora watakuambia Magu, Kikwete alikuwa akimwita Magu Jembe. Hebu achenii kuwauzia watu chai na story zenu za kutunga.
Kubali ukweli Mkuu,ingawa hoja zako Zina mashiko!Watu mna stori kushinda hata wahusika 🤣.
Hilo haliondoi kuwa kichaa!Kama kichaa ndio alinya kazi nzuri vile kila wiraza na hata alipokuwa Rais basi taifa linahitaji watu kama hao wengi.
Jibu hapo ni kuwa, hii ndio CCM. Usiemtarajia kuwa kiongozi, anapewa tu uongozi mradi mwenye kuteua kaamua.Hujajibu swali langu. Sijakuuliza kuhusu huyo.