Kama Mahari ni asante kwa Wazazi, kwanini Wazazi wa Mwanaume hawapewi?

Kama Mahari ni asante kwa Wazazi, kwanini Wazazi wa Mwanaume hawapewi?

entry

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2018
Posts
286
Reaction score
539
Habarini wakuu,

Kuna mijadala humu imetokea inayohusiana na mahari nimeona maoni kutoka katika pande mbili (ke&me).

Wanawake wanasema mahari ni kama unawashukuru wazazi wa binti kwa kumlea huyo mke sasa najiuliza kama mahali ni asante kwa wazazi je.

1. Hawa mabinti nawao wanaleta asante gani kwa wazazi wetu wa upande wa kiume.

2. Kwanini nishukuru wazazi wakati ni wajibu wao kulea watoto watakao leta duniani.

Kwa tafsiri ya mahari ni asante naona ina mapungufu inabidi tutafiti tujue maana halisi ya mahari.

Asante nawasilisha
 
Mahari v/s mahali....mahali ni sehemu fulani,Mahari ni gharama inayokupasa utoe au kumlipia mwenzi ili umweke kunyumba.Japo kwa tafsiri nzuri kabisa ya kisasa,Mahari ni biashara kama biashara zingine
Asante kwa kunisahihisha.
 
Kwa tamaduni zetu za kiafrika,

Mahari maana yake Ni asante kwa wazazi wake kike kwa kukutunzia binti Yao mpk ukamkuta akiwa Safi kabisa (yaani bikra)

Unalipa mahari Kama shukrani kwa wazazi wake binti kwa kukupatia msaidizi Wako utakaeambatana nae ktk kwenda kuijenga familia yako au ukoo wako utakaobeba au kutambulika kwa Jina lako mwenyewe.

Mwanaume hauwezi kulipiwa mahari kwa maana
- wewe huolewi,bali unaenda kuoa.
-huchumbiwi, Bali unaenda kuchumbia.

Mahali pia Ni ishara ya ushupavu na mamlaka ya kiutawala aliyopewa Mwanaume tangu dunia hii iumbwe.
 
Hiyo ni mahari sio mahali.

Pili kimantiki mahari anapewa yule ambae anaolewa.

Lengo la mahari ni ndoa na hiyo ndoa inamhusu mwanamke hivyo mahari inamhusu bibi harusi.

Ndio maana ukisoma falsafa ya uislamu imeelezea kwamba mahari ni mali ya mwanamke anayeolewa na wala sio shukurani ya wazazi.

Shukurani kwa lipi wakati kumlea mtoto ni wajibu wao ?

Mtoto wewe ndo umemzaa mtoto hakuomba kuja duniani,ni wewe mzazi ulitaka mtoto hivyo ukizaa wewe ndo unatakiwa kulea.

Akija mtu kuoa haina maana kuwa ulikuwa unamlea huyo mtoto lakini hakuwa wako laa huyo ni wako.

Ukisema mahari ni shukurani kwa mzazi manake huyu mzazi huyu mtoto hakuwa wake alimzaa na kumlea alimsaidia mtu fulani(mume) kulea mkewe.
 
Una dada wewe? Una mtoto wa kike?

Kulea mabinti ni changamoto kubwa kuliko vijana wa kiume. Mahari ni appreciation tu, ingawa wakati mwingine na wengine hugeuza kama bei ya binti.
 
Kwa tamaduni zetu za kiafrika,

Mahari maana yake Ni asante kwa wazazi wake kike kwa kukutunzia binti Yao mpk ukamkuta akiwa Safi kabisa (yaani bikra)

Unalipa mahari Kama shukrani kwa wazazi wake binti kwa kukupatia msaidizi Wako utakaeambatana nae ktk kwenda kuijenga familia yako au ukoo wako utakaobeba au kutambulika kwa Jina lako mwenyewe.

Mwanaume hauwezi kulipiwa mahari kwa maana
- wewe huolewi,bali unaenda kuoa.
-huchumbiwi, Bali unaenda kuchumbia.

Mahali pia Ni ishara ya ushupavu na mamlaka ya kiutawala aliyopewa Mwanaume tangu dunia hii iumbwe.
kwani sisi hatuendi kuwa wasaidizi wa mwanamke na istoshe tunaenda kuwataftia wajukuu zao hao upande wa mwanamke pia, kwa maoni yangu hii kitu iwe 50/50.
 
Habarini wakuu,

Kuna mijadala humu imetokea inayohusiana na mahari nimeona maoni kutoka katika pande mbili (ke&me).

Wanawake wanasema mahari ni kama unawashukuru wazazi wa binti kwa kumlea huyo mke sasa najiuliza kama mahali ni asante kwa wazazi je.

1. Hawa mabinti nawao wanaleta asante gani kwa wazazi wetu wa upande wa kiume.

2. Kwanini nishukuru wazazi wakati ni wajibu wao kulea watoto watakao leta duniani.

Kwa tafsiri ya mahari ni asante naona ina mapungufu inabidi tutafiti tujue maana halisi ya mahari.

Asante nawasilisha
Wewe ni mtu wa dini gani??

Suala la mahari katika uislamu lipo kisheria si suala la uchaguzi kwamba leo atoe mwanamme kesho anaweza kutoa mwanamke.,

Hilo suala lako kwamba kwa nn sasa asitoe mwanamke kuwaridhisha wazazi wa kuumeni linapingana amri ya Muumba ambaye yeye ameona hiyo hikma ya sisi wanaume kuwatolea wanawake mahari wakati wa kuwaowa.,

ukitaka melezo zaidi juu ya suala la mahari sema ili tutiririke zaidi hapa kwa details mbali mbali kutoka katika kitabu kitakatifu Quran na khadithi sahihi
 
Watapewaje wakati wamekosea wao wenyewe kwa kupeana Siku ya yai kupevuka? Afu ni kama unatulazimisha tushukuru binti yetu kwenda kufumuliwa?
 
Habarini wakuu,

Kuna mijadala humu imetokea inayohusiana na mahari nimeona maoni kutoka katika pande mbili (ke&me).

Wanawake wanasema mahari ni kama unawashukuru wazazi wa binti kwa kumlea huyo mke sasa najiuliza kama mahali ni asante kwa wazazi je.

1. Hawa mabinti nawao wanaleta asante gani kwa wazazi wetu wa upande wa kiume.

2. Kwanini nishukuru wazazi wakati ni wajibu wao kulea watoto watakao leta duniani.

Kwa tafsiri ya mahari ni asante naona ina mapungufu inabidi tutafiti tujue maana halisi ya mahari.

Asante nawasilisha
Mahari siyo asante ni "alama" ya fidia kumtoa binti kutoka mamlaka na ukoo wa wazazi wake na kumuingiza ktk ukoo wa mumewe. Ni sawa na mtu asiye na ukoo hulipa hela au mifugo kuingia ktk ukoo anaoomba kuingia
 
Mahari ni bei ya kumnunua binti (mwenye K), full stop.

Hakuna cha asante wala baba yake asante
ni kama unavyoenda sokoni, unatoa pesa unapewa bidhaa.
Sawa kabisa. Hii ndio maana halisi.
Ndio maana Mwanaume akigundua kitu chake alichokinunua kimechakatwa na mwanaume mwingine anakiacha na kutafuta kingine.
 
Habarini wakuu,

Kuna mijadala humu imetokea inayohusiana na mahari nimeona maoni kutoka katika pande mbili (ke&me).

Wanawake wanasema mahari ni kama unawashukuru wazazi wa binti kwa kumlea huyo mke sasa najiuliza kama mahali ni asante kwa wazazi je.

1. Hawa mabinti nawao wanaleta asante gani kwa wazazi wetu wa upande wa kiume.

2. Kwanini nishukuru wazazi wakati ni wajibu wao kulea watoto watakao leta duniani.

Kwa tafsiri ya mahari ni asante naona ina mapungufu inabidi tutafiti tujue maana halisi ya mahari.

Asante nawasi

Habarini wakuu,

Kuna mijadala humu imetokea inayohusiana na mahari nimeona maoni kutoka katika pande mbili (ke&me).

Wanawake wanasema mahari ni kama unawashukuru wazazi wa binti kwa kumlea huyo mke sasa najiuliza kama mahali ni asante kwa wazazi je.

1. Hawa mabinti nawao wanaleta asante gani kwa wazazi wetu wa upande wa kiume.

2. Kwanini nishukuru wazazi wakati ni wajibu wao kulea watoto watakao leta duniani.

Kwa tafsiri ya mahari ni asante naona ina mapungufu inabidi tutafiti tujue maana halisi ya mahari.

Asante nawasilisha
Kwa mtazamo huo Hiyo ni concept ya "Barter Trade"

Ila kwa ninavyojua Mimi mahari ni kihalilisho Cha mwanaume kumuingilia mwanamke.
 
Sawa kabisa. Hii ndio maana halisi.
Ndio maana Mwanaume akigundua kitu chake alichokinunua kimechakatwa na mwanaume mwingine anakiacha na kutafuta kingine.
Ni sawa Kama wote anaowatafuta ni mabikira. If not ni upuuzi tu..kitu kimeshagongwa na watu wengine unatamba.
 
Mahari siyo asante ni "alama" ya fidia kumtoa binti kutoka mamlaka na ukoo wa wazazi wake na kumuingiza ktk ukoo wa mumewe. Ni sawa na mtu asiye na ukoo hulipa hela au mifugo kuingia ktk ukoo anaoomba kuingia
Good point
 
Habarini wakuu,

Kuna mijadala humu imetokea inayohusiana na mahari nimeona maoni kutoka katika pande mbili (ke&me).

Wanawake wanasema mahari ni kama unawashukuru wazazi wa binti kwa kumlea huyo mke sasa najiuliza kama mahali ni asante kwa wazazi je.

1. Hawa mabinti nawao wanaleta asante gani kwa wazazi wetu wa upande wa kiume.

2. Kwanini nishukuru wazazi wakati ni wajibu wao kulea watoto watakao leta duniani.

Kwa tafsiri ya mahari ni asante naona ina mapungufu inabidi tutafiti tujue maana halisi ya mahari.

Asante nawasilisha
Apataye mke amepata kitu chema

Wazazi wana mwanaume wanaenda kupata zawadi ya watoto toka kwa mwanamke mana wakishamuoa anaenda kuwazalia kwahiyo ni one of the best gift kuliko hata hiyo waliyopata wazazi wa mwanamke.
 
Ni sawa Kama wote anaowatafuta ni mabikira. If not ni upuuzi tu..kitu kimeshagongwa na watu wengine unatamba.
Ukigongwagongwa kabla haujanunuliwa ni sawa tu maana haukuwa na haki miliki na mtu mwingine..

Ila akijitokeza mmojawao akakununua hapo unakuwa mali halali ya aliyekununua, huruhusiwi tena kwenda kuonjesha mali ya mtu kwa wasiohusika. Vinginevyo msiwe mnakubali kuchumbiwa ili muwe mali ya umma.
 
Ukigongwagongwa kabla haujanunuliwa ni sawa tu maana haukuwa na haki miliki na mtu mwingine..

Ila akijitokeza mmojawao akakununua hapo unakuwa mali halali ya aliyekununua, huruhusiwi tena kwenda kuonjesha mali ya mtu kwa wasiohusika. Vinginevyo msiwe mnakubali kuchumbiwa ili muwe mali ya umma.
Kuwa mali ya uma ni uamuzi wa mtu. Na mara nyingi mnatafuna mali ya uma bila kujua. Sad!
 
Kule kwa wenzetu wahindi familia ya mwanamke ndiyo hutoa mahari kwa familia ya mwanaume na bado inahesabika ni mwanaume ndiye anayeoa na mwanamke ndiye anayeolewa

Mie naona huu utaratibu wa mahari ufutwe tu kabisa
 
Back
Top Bottom