Kama majeshi ya Rwanda yaliwamaliza magaidi wa Cabo Delgado ndani ya wiki moja, hawa viongozi wetu wa ulinzi walienda kufanya nini Msumbiji?

Kama majeshi ya Rwanda yaliwamaliza magaidi wa Cabo Delgado ndani ya wiki moja, hawa viongozi wetu wa ulinzi walienda kufanya nini Msumbiji?

Hakika nimeamini vita dhidi ya ugaidi inahitaji akili kubwa mno kuliko matumizi ya nguvu, ni miezi michache tu iliyopita tulitangaziwa na kuaminishwa ya kwamba magaidi ambao walikuwa wameshikilia jimbo la Cabo delgado walipigwa na kumalizwa na jeshi kutoka rwanda.

Ila hivi karibuni tena kumeripotiwa mashambulizi ya kushtukiza kutoka kwa hao magaidi wakitokea mafichoni katika mapori ya cabo delgado na kuja kushambulia/ kufanya uhalifu vijiji vilivyopo mpakani mwa Tanzania na kutokomea kusikojulikana

Hapa chini ni picha ikiwaonesha viongozi wa ngazi za juu za ulinzi wa Tanzania na Mozambique walipokutana mwanzoni mwa wiki hii kujadili suala hili nyeti, hii inatoa tafasri ya kwamba mpakani hali si shwari na tutegee task force mpya kwenda kupambana na hawa magaidi.

Swali langu kwa wajuzi wa mambo haya ni kwamba hawa magaidi ni kweli tumeshindwa kuwatokomeza ama kuna mchezo unachezwa kuwanufaisha watu fulani fulani ili watimize malengo yao kwa kivuli cha ugaidi katika nchi husika?

View attachment 2057933

endelea kumshobokea PAKA !! soma matukio yake utamchukia!!

Achana na media za wazungu wanamuosha
 
Kama ni propaganda, ni muda sasa tumekuwa tukipambana na hawa watu na taarifa nyingi tu zimekusanywa kuhusiana na watu hawa ni kitu gani kinapelekea kutokuwasambaratisha na ikiwezekana kuwafuta kabisa maana naona wanazidi kujijenga na siku zinavyosonga watakuja kuwa tishio hasa kwenye mikoa yetu ya kusini huko?

ugaidi ni project za watu!!
 
Ndio maana PK anatudharau.

Uganda alitusaidia yeye,na uko Mozambique pia!

Jeshi la Rwanda ni very special force lakini la kwetu liko busy kubadili makomandoo kuwa magaidi kwenye kesi za kubumba, shame!
Acha utoto...
 
Hawakumaliza chochote

Tusidanganyane
walisema hali ya ugaid (sio magaidi) ktk makazi ya watu wameidhibiti kwa kipindi hicho , since magaid hawakumalizwa so kutokea tena kwa matukio sio jambo la kushangazwa tena kweny mipaka sio kule katikati ya miji ya cabo sel gado , WATZ TUACHE KUTAFSIRI MAMBO TOFAUT NA UJUMBE ULIVYOTOLEWA , HII HALI HADI KWENYE MAISHA YA UHALISIA WATZ TUNAYO MTU ANASEMA KITU X , KISA KIMEKUKERA UNAKIBADIRI ILI TU UJIFURAHISHE
 
Siufahamu, ndio maana nimekuja kwenu wajuzi mniambie hii kitu inakuaje? Maana tuliaminishwa humu ndani kwamba jeshi kutoka kagame walimaliza ndani ya wiki moja.

Pia kwa kazi nzuri waliyofanya jeshi la Rwanda, Mh. Paul Kagame alipewa mualiko maalamu na Mh. Nyusi wa kuonana nae kumpa pongezi za dhati kwa kuwafutilia mbali hao magaidi.

Sasa baada ya Kamanda Sirro alivyoongea na vyombo vya habari na kukiri kuwa na mashambulizi mpaka nikawa sielewi kabisa imetokea vipi? Ilihali hawa majamaa walimalizwa na jeshi la rwanda
walidhibit matendo ya ugaidi sio kumaliza , kwann mnapenda kubadili ujumbe ? watz hiz akili za kutafsiri mambo tutakavyo tutaacha lini ? hakuna nchi inasemaga imemaliza ugaidi au kuwamaliza magaidi ila nyie ndo huwa mnabadili maneni na kusema wamewamaliza magaidi , KUMALIZA NA KUDHIBITI NI VITU VIWILI TOFAUTI
 
Kwa hiyo zile zilikuwa ni propaganda ya vyombo vya habari kuwapamba jeshi la rwanda?
kazisome hizo habari tena sio zilizoandika na wana jf bali habari au video clip ya msemaji wa jeshi la rwanda utagundua ni sisi ndo tulibadili kilichosemwa na msemaj wa jeshi la rwanda , nakumbuka hata vita ya Russia na Ukraine wapo watu kutwa wakisoma habari ya BBC wanakimbilia kuishambulia BBC bila kuangalia km ni QUOTE au REPORT , hii shida ya kutosoma habari kwa utulivu tunayo watz
 
Sasa mkuu, kwanini vyombo hivyo vilipambe jeshi la rwanda? Ili hali halikufanikiwa kuwaondosha magaidi wote kama tulivyoaminishwa?

Why Rwanda?
kasome au kafuatilie hizo habar tena , ttzo lipo kwenu mnachanganya neno DHIBITI vs KUMALIZA , wanasema DHIBITI nyie mnajiongeza mnasema WAMEWAMALIZA , haya ni maneno mawili tofauti
 
Ruvuma Basin kuna mafuta na gesi nyingi sana
Kampuni ya South Africa inachimba mafuta hapo ila wananchi hawana hata Milo miwili na wengine kulala njaa

Ukisema kuwa PK jeshi lake liliwamaliza kwa uhakika sio kweli!
Bali ni naona ni maingezi na mapatano kuwa nitapata % ngapi hapo?

Kila kwenye vurugu kuna chanzo cha vurugu hiyo na Cabo Delgado chanzo ni mafuta hayo ambayo yametokea kuwa mpakani ( uwe makini na hapo)

Sasa mafuta ya mpakani sisi tunafaidika vipi ingawa yapo kwao?

Je, kuna mikono mingapi inataka kula hapo?

Je, PK ameangamiza au wanakula meza moja nao?

Ukiona sehemu kuna mlo lazima kuwe na mpambano ila waarabu waliishinda vita na kukaa meza moja na wenye mitambo na kuamua kula nao chochote wanachotaka ili mradi nao wale kiasi na kupata mahitaji yote wanayotaka

Nyerere angesema Mwadui mining chukueni ila tujengeeni kila kitu kuanzia miji, barabara, ma hospitali na vyuo vikuu kwa miaka, Williamson angekubali maana kulikuwa na almasi nyingi sana na utajiri mkubwa sana pale

Hapo CD tuwaache wale ila na maskini wa hapo muwajengee pia
ifike muda watz muache kubadili ujumbe , hakuna sehem walisema wamewamaliza ila nyie ndo mmejiwekea maneno mdomoni , walisema wamewatoa kweny maeneo waliyoyateka pia wakasema wamedhibiti maeneo walikuwa wameyateka hapo awali pia na yale maeneo hayakuwa na utulivu , ila nyie watz ndo mmejiwekea maneno ya kumaliza mdomon , huez wamaliza wavaa vipedo maana ugaid wanafundishwa tangu madrasa
 
Hakika nimeamini vita dhidi ya ugaidi inahitaji akili kubwa mno kuliko matumizi ya nguvu, ni miezi michache tu iliyopita tulitangaziwa na kuaminishwa ya kwamba magaidi ambao walikuwa wameshikilia jimbo la Cabo delgado walipigwa na kumalizwa na jeshi kutoka rwanda.

Ila hivi karibuni tena kumeripotiwa mashambulizi ya kushtukiza kutoka kwa hao magaidi wakitokea mafichoni katika mapori ya cabo delgado na kuja kushambulia/ kufanya uhalifu vijiji vilivyopo mpakani mwa Tanzania na kutokomea kusikojulikana

Hapa chini ni picha ikiwaonesha viongozi wa ngazi za juu za ulinzi wa Tanzania na Mozambique walipokutana mwanzoni mwa wiki hii kujadili suala hili nyeti, hii inatoa tafasri ya kwamba mpakani hali si shwari na tutegee task force mpya kwenda kupambana na hawa magaidi.

Swali langu kwa wajuzi wa mambo haya ni kwamba hawa magaidi ni kweli tumeshindwa kuwatokomeza ama kuna mchezo unachezwa kuwanufaisha watu fulani fulani ili watimize malengo yao kwa kivuli cha ugaidi katika nchi husika?

View attachment 2057933
Tanzania imeendelea kufanya mambo yake kwa siri kubwa
Kuanzia afya za viongozi wa juu
Mashambulizi ya mipakani
Operesheni za kigaidi tunazofanyiwa na wasio wema
Kutekwa nyara walioomba hifadhi
Hakika nimeamini vita dhidi ya ugaidi inahitaji akili kubwa mno kuliko matumizi ya nguvu, ni miezi michache tu iliyopita tulitangaziwa na kuaminishwa ya kwamba magaidi ambao walikuwa wameshikilia jimbo la Cabo delgado walipigwa na kumalizwa na jeshi kutoka rwanda.

Ila hivi karibuni tena kumeripotiwa mashambulizi ya kushtukiza kutoka kwa hao magaidi wakitokea mafichoni katika mapori ya cabo delgado na kuja kushambulia/ kufanya uhalifu vijiji vilivyopo mpakani mwa Tanzania na kutokomea kusikojulikana

Hapa chini ni picha ikiwaonesha viongozi wa ngazi za juu za ulinzi wa Tanzania na Mozambique walipokutana mwanzoni mwa wiki hii kujadili suala hili nyeti, hii inatoa tafasri ya kwamba mpakani hali si shwari na tutegee task force mpya kwenda kupambana na hawa magaidi.

Swali langu kwa wajuzi wa mambo haya ni kwamba hawa magaidi ni kweli tumeshindwa kuwatokomeza ama kuna mchezo unachezwa kuwanufaisha watu fulani fulani ili watimize malengo yao kwa kivuli cha ugaidi katika nchi husika?

View attachment 2057933
Tanzania imeendelea kufanya mambo yake kwa siri kubwa
  1. Kuanzia afya za viongozi wa juu
  2. Mashambulizi ya mipakani
  3. Operesheni za kigaidi tunazofanyiwa na wasio wema
  4. Kutekwa nyara walioomba hifadhi ya maisha yao na wakitekwa nyara wanarudishwa nchi zao wakauwawe...
SIri nyingi sana na soon zitawaumbua
 
Iko hivi,hawa Magaidi hawakai sehemu moja,ni vikundi vilivyotapakaa sehemu tofauti.Kweli Rwanda wamewasambalatisha Kwa sehemu kubwa,lakini hawajawamaliza.
Kwa sasa hivi magaidi wamekimbilia jimbo la Niassa wilaya ya mikula na wako sehemu tofautitofauti
na wao hawakusema wamewamaliza bali wamesogeza nyuma na kuleta utulivu kweny maeneo walikuwa wanayatawala au maeneo yalikuwa na mapigano makali
 
Propaganda mkuu
hakuna propaganda bali ni ujinga wenu wakubadili kilichosemwa , hakuna sehemu media rasmi zilitangaza kuwamaliza au msemaji wa jeshi la rwanda alisema kawamaliza , walisema wamewasogeza nyuma na kukomboa maeneo mengi pia walisema wameleta utulivu kweny miji mingi ila nyie ndo mkajiongeza kusema wamewamaliza , akili zenu zimekaa kichawa sana
 
Kama ni propaganda, ni muda sasa tumekuwa tukipambana na hawa watu na taarifa nyingi tu zimekusanywa kuhusiana na watu hawa ni kitu gani kinapelekea kutokuwasambaratisha na ikiwezekana kuwafuta kabisa maana naona wanazidi kujijenga na siku zinavyosonga watakuja kuwa tishio hasa kwenye mikoa yetu ya kusini huko?
mtu asiyeweza kuendesha bandari ataweza kujilinda
 
ifike muda watz muache kubadili ujumbe , hakuna sehem walisema wamewamaliza ila nyie ndo mmejiwekea maneno mdomoni , walisema wamewatoa kweny maeneo waliyoyateka pia wakasema wamedhibiti maeneo walikuwa wameyateka hapo awali pia na yale maeneo hayakuwa na utulivu , ila nyie watz ndo mmejiwekea maneno ya kumaliza mdomon , huez wamaliza wavaa vipedo maana ugaid wanafundishwa tangu madrasa
Ulianza vizuri sana ila umehitimisha kwa chuki sana
Sasa hapo nani kafundishwa chuki Muislam au wewe
Kuongelea Dini yote ni makosa kwani hata nikiandika mengi hayatakuwa na faida kwani mmeisha jazwa sumu against Muslims
Ungeishia bila kushambulia uislam ningekuona wa maana kwani tungejaribu kuelewana ila naomba tuache kutuhumu dini bali watu wachache wenye nia ovu

Hebu niambie kama una jirani muislam aliwahi hata kuchinja kuku wako let alone mwanao au ndugu yako

Sio vizuri kuwa na chuki za kufundishwa kama yule aliekuwa waziri wa ardhi aliporopoka kanisani bila aibu na huo ndio muendelezo wa chuki zenu dhidi yetu
Aliongea na kupongezwa na wakuu wenu kwa jazba na wala hakuwa na haki ya kuongea ujinga huo
Nisamehe bure kama nimekuudhi ila umetukosea hapo na mimi nimejibu
Uwe na siku njema
 
Aisee watz wengi hamuelewi chochote

kilichompeleka PAKA kule ni ufaransa ambae analipa bill ya majeshi kuoperate mozambique kwa ajili ya kulinga uwekezaji wake wa gesi.

Ni nafasi nzuri kwa PAKA kuivamia Tanzania kupitia mozambique na kujichanganya na magaidi!! Ndicho anachofanya kongo
Afadhali umeainisha ukweli kuliko wale wenye chuki ya dini
Hawaelewi kuwa PaKa ndio vurugu yote ile
 
Funua TU jicho la tatu halafu mwelewe TU anayekueleza amewamalizza magaidi.Jiulize amewamalizaje.
Wanasema haiwezekani tatua tatizo lililotengenezwa na watu wale wale,,,,ila PK kaweza🤣
 
Back
Top Bottom