Kama Maji Maji au Mau Mau ilikuwa halali, iweje lawama kwa wapalestina?

Kama Maji Maji au Mau Mau ilikuwa halali, iweje lawama kwa wapalestina?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kulikoni? Au ni yale ya mkuki kwa nguruwe? Izingatiwe:

1. Binadamu wote ni sawa.

2. Suala la dini ni binafsi na la hiari.

3. Dini Kwa wenye nazo, kila mtu ana yake japo na wasiokuwa nazo pia wapo.

4. Unaongelewa je mgogoro kidini wakati kila mtu ana yake na imani disjoint, yaani zisizokutana popote?

3. Kuwa mhanga vitani ni ajali kama ajali zingine ambapo beberu huita:

"being at a wrong place at a wrong time.

Analaumiwa je mtu kwa madhila yoyote hapo?

4. Vita havichagui silaha aghalabu: eti kuulizana utambulisho vitani, nje ya ustaarabu (ukiwamo binafsi) tu wa kuwalinda watoto, wazee, wanawake, waliojisalimisha, wagonjwa, majeruhi, mateka na wa namna hiyo.

5. Vita havina kanuni za kitabuni achilia mbali zile za kiutu tu; kwamba vita ni kama mpira wa miguu kuwa kutakuwa na mpira wa faulo, kona, wa kurusha, penati, indirect kick, free kick, substitution, VAR, yellow card, red card, jezi, nk?

6. Wapalestina au HAMAS hawakufanya lolote jipya kulinganisha na Maji Maji au Mau Mau.

7. Hapo #6, watu walikufa wakiwamo wasio na hatia.

Katika hali hii kulikoni kumlaumu mpalestina kwa lolote?

Angalizo:

8. Kuugeuza mgogoro huu kuwa wa kidini na kuanza kunyoosheana au kumnyooshea yule vidole, labda itakuwa ni katika kuchagua kutojitendea haki wenyewe:

a) Kwa sababu suluhu ya mzozo wa Gaza haipo misikitini, makanisani, mahekaluni, majamatini, masinagogini, nk


b). Kuuongelea mgogoro huu kidini, hakuna tija yoyote labda kama ni katika zile mbwembwe na manjonjo tu, ambavyo kila mtu anaweza kuwa na vyake.
 
Watu wengi sana duniani hawana akili na kundi dogo la watu wenye akili linaendesha kundi kubwa la wasio na akili na kuwaamulia nini cha kuunga mkono na nini cha kupinga.

Inawezekana kwenye hao, Tanzania tukawa nambari 1. Dkt. Mollel aliona mbali sana:

FrmmsPmWIAMDMwY.jpeg


1. Wamepotezwa kina Ben, Azory, na wengine wengi kwenye viroba.

2. Wakaponea kina LIssu kwenye Tundu la sindano.

3. Wakateswa kina Mdude na wengi wengine achilia mbali wenye kubambikiwa kesi.

Ya kuwa hata wale waliobeza na kudhihaki mno, Leo wanalia machozi ya mamba kana kwamba vitani huwa tunapeana vitambulisho isipokuwa huku nyumbani!
 
Kulikoni? Au ni yale ya mkuki kwa nguruwe? Izingatiwe:

1. Binadamu wote ni sawa.

2. Suala la dini ni binafsi na la hiari.

3. Dini Kwa wenye nazo, kila mtu ana yake japo na wasiokuwa nazo pia wapo.

4. Unaongelewa je mgogoro kidini wakati kila mtu ana yake na imani disjoint, yaani zisizokutana popote?

3. Kuwa mhanga vitani ni ajali kama ajali zingine ambapo beberu huita:

"being at a wrong place at a wrong time.

Analaumiwa je mtu kwa madhila yoyote hapo?

4. Vita havichagui silaha aghalabu: eti kuulizana utambulisho vitani, nje ya ustaarabu (ukiwamo binafsi) tu wa kuwalinda watoto, wazee, wanawake, waliojisalimisha, wagonjwa, majeruhi, mateka na wa namna hiyo.

5. Vita havina kanuni za kitabuni achilia mbali zile za kiutu tu; kwamba vita ni kama mpira wa miguu kuwa kutakuwa na mpira wa faulo, kona, wa kurusha, penati, indirect kick, free kick, substitution, VAR, yellow card, red card, jezi, nk?

6. Wapalestina au HAMAS hawakufanya lolote jipya kulinganisha na Maji Maji au Mau Mau.

7. Hapo #6, watu walikufa wakiwamo wasio na hatia.

Katika hali hii kulikoni kumlaumu mpalestina kwa lolote?

Angalizo:

8. Kuugeuza mgogoro huu kuwa wa kidini na kuanza kunyoosheana au kumnyooshea yule vidole, labda itakuwa ni katika kuchagua kutojitendea haki wenyewe:

a) Kwa sababu suluhu ya mzozo wa Gaza haipo misikitini, makanisani, mahekaluni, majamatini, masinagogini, nk


b). Kuuongelea mgogoro huu kidini, hakuna tija yoyote labda kama ni katika zile mbwembwe na manjonjo tu, ambavyo kila mtu anaweza kuwa na vyake.
Wee gaidi ulaaniwe mashenzi wewe namengineyo
Waelewa tumekuelewa ila hayo yajuu hapo jiandae nayo
Vaa helmet mkuu matusi na dhihaka za wale zisije zikakupata
 
Mwende mkabebe vifusi vyenu gaza make saivi hakuna nyumba migaidi inatembezwa uchi
 
Wee gaidi ulaaniwe mashenzi wewe namengineyo
Waelewa tumekuelewa ila hayo yajuu hapo jiandae nayo
Vaa helmet mkuu matusi na dhihaka za wale zisije zikakupata

Gaidi nani mkuu?
 
Kwangu mimi uko sahihi kabisa.

Hamas wanalazimishwa iwe ni vita ya dini, jambo ambalo sio kweli ingekuwa dini israel wasingebomoa makanisa, wala kuua mpaka wakristo.

Hamas anapambania ardhi ambayo anaona ni yake, ana haki ya kuishi kwa uhuru.

Dunia hii usipokuwa na akili timamu, ni rahisi kuwa brainwashed sababu utasikia kile wakubwa(marekani na marafiki zake) watataka usikie, bila luchanganya akili za kuambiwa na zako utapata tabu.

Marekani akitaka jambo huweza kufanikiwa kwa 90%
 
Kwangu mimi uko sahihi kabisa.

Hamas wanalazimishwa iwe ni vita ya dini, jambo ambalo sio kweli ingekuwa dini israel wasingebomoa makanisa, wala kuua mpaka wakristo.

Hamas anapambania ardhi ambayo anaona ni yake, ana haki ya kuishi kwa uhuru.

Dunia hii usipokuwa na akili timamu, ni rahisi kuwa brainwashed sababu utasikia kile wakubwa(marekani na marafiki zake) watataka usikie, bila luchanganya akili za kuambiwa na zako utapata tabu.

Marekani akitaka jambo huweza kufanikiwa kwa 90%
Hapo kwa israhell kubomoa makanisa na kuua wakristo ntakueka sawa kidogo
Israhell hawaamini kwenye ukristo wala wakristo
Yaani israhell anawaona wakristo wamepotoka na anaona kule makanisani wanaenda kupotoka
Kwahio israhell akiua mkristo anaona kafanya jambo jema akibomoa kanisa pia anaona kafanya jambo jema
Israhell makanisa na misikiti na waislam na wakristo anawaweka kwenye mizania sawa mkuu kwake kudhuru hivyo nlivyokwambia kawaida tu na wala haoni kama kafanya kosa
Israhell au hao mazayuni wao wanatamani hapo walipo wawepo wao tu kusiwe na waislam wala wakristo wala misikiti wala makanisa
Ukiona mkristo anawashangilia mazayuni na israhell kwaujumla wake kwakua maswahiba zake basi ujue nae kapotoka sababu ikitokea leo wamemalizwa waislam wote hapo basi wakristo na wenyewe wakae mkao wakula maana kibao kinawageukia...!!!
 
Kulikoni? Au ni yale ya mkuki kwa nguruwe? Izingatiwe:

1. Binadamu wote ni sawa.

2. Suala la dini ni binafsi na la hiari.

3. Dini Kwa wenye nazo, kila mtu ana yake japo na wasiokuwa nazo pia wapo.

4. Unaongelewa je mgogoro kidini wakati kila mtu ana yake na imani disjoint, yaani zisizokutana popote?

3. Kuwa mhanga vitani ni ajali kama ajali zingine ambapo beberu huita:

"being at a wrong place at a wrong time.

Analaumiwa je mtu kwa madhila yoyote hapo?

4. Vita havichagui silaha aghalabu: eti kuulizana utambulisho vitani, nje ya ustaarabu (ukiwamo binafsi) tu wa kuwalinda watoto, wazee, wanawake, waliojisalimisha, wagonjwa, majeruhi, mateka na wa namna hiyo.

5. Vita havina kanuni za kitabuni achilia mbali zile za kiutu tu; kwamba vita ni kama mpira wa miguu kuwa kutakuwa na mpira wa faulo, kona, wa kurusha, penati, indirect kick, free kick, substitution, VAR, yellow card, red card, jezi, nk?

6. Wapalestina au HAMAS hawakufanya lolote jipya kulinganisha na Maji Maji au Mau Mau.

7. Hapo #6, watu walikufa wakiwamo wasio na hatia.

Katika hali hii kulikoni kumlaumu mpalestina kwa lolote?

Angalizo:

8. Kuugeuza mgogoro huu kuwa wa kidini na kuanza kunyoosheana au kumnyooshea yule vidole, labda itakuwa ni katika kuchagua kutojitendea haki wenyewe:

a) Kwa sababu suluhu ya mzozo wa Gaza haipo misikitini, makanisani, mahekaluni, majamatini, masinagogini, nk


b). Kuuongelea mgogoro huu kidini, hakuna tija yoyote labda kama ni katika zile mbwembwe na manjonjo tu, ambavyo kila mtu anaweza kuwa na vyake.
Ni ngumu sana imani yako kujinasua kwenye lawama za vifo vya hawa vijana.
 
1. Kuunga mkono HAMAS siyo sawa na kuunga mkono ugaidi.

2. Magaidi ni ISIS, ISIL, Al Shabaab, na wa namna hiyo wenye kupigana vita vya kidini.

3. Vita vya kupigania ardhi hivyo no vita vya ukombozi.

4. Vita vya ukombozi ni vita vitakatifu.
Kwa nini hao uliowataja hapo namba 2 wote wanalitaja jina la allah wakiua?
 
Kwangu mimi uko sahihi kabisa.

Hamas wanalazimishwa iwe ni vita ya dini, jambo ambalo sio kweli ingekuwa dini israel wasingebomoa makanisa, wala kuua mpaka wakristo.

Hamas anapambania ardhi ambayo anaona ni yake, ana haki ya kuishi kwa uhuru.

Dunia hii usipokuwa na akili timamu, ni rahisi kuwa brainwashed sababu utasikia kile wakubwa(marekani na marafiki zake) watataka usikie, bila luchanganya akili za kuambiwa na zako utapata tabu.

Marekani akitaka jambo huweza kufanikiwa kwa 90%

Ninakazia:

IMG_20231216_142943.jpg
 
Back
Top Bottom