Kama Maji Maji au Mau Mau ilikuwa halali, iweje lawama kwa wapalestina?

Kama Maji Maji au Mau Mau ilikuwa halali, iweje lawama kwa wapalestina?

Kulikoni? Au ni yale ya mkuki kwa nguruwe? Izingatiwe:

1. Binadamu wote ni sawa.

2. Suala la dini ni binafsi na la hiari.

3. Dini Kwa wenye nazo, kila mtu ana yake japo na wasiokuwa nazo pia wapo.

4. Unaongelewa je mgogoro kidini wakati kila mtu ana yake na imani disjoint, yaani zisizokutana popote?

3. Kuwa mhanga vitani ni ajali kama ajali zingine ambapo beberu huita:

"being at a wrong place at a wrong time.

Analaumiwa je mtu kwa madhila yoyote hapo?

4. Vita havichagui silaha aghalabu: eti kuulizana utambulisho vitani, nje ya ustaarabu (ukiwamo binafsi) tu wa kuwalinda watoto, wazee, wanawake, waliojisalimisha, wagonjwa, majeruhi, mateka na wa namna hiyo.

5. Vita havina kanuni za kitabuni achilia mbali zile za kiutu tu; kwamba vita ni kama mpira wa miguu kuwa kutakuwa na mpira wa faulo, kona, wa kurusha, penati, indirect kick, free kick, substitution, VAR, yellow card, red card, jezi, nk?

6. Wapalestina au HAMAS hawakufanya lolote jipya kulinganisha na Maji Maji au Mau Mau.

7. Hapo #6, watu walikufa wakiwamo wasio na hatia.

Katika hali hii kulikoni kumlaumu mpalestina kwa lolote?

Angalizo:

8. Kuugeuza mgogoro huu kuwa wa kidini na kuanza kunyoosheana au kumnyooshea yule vidole, labda itakuwa ni katika kuchagua kutojitendea haki wenyewe:

a) Kwa sababu suluhu ya mzozo wa Gaza haipo misikitini, makanisani, mahekaluni, majamatini, masinagogini, nk


b). Kuuongelea mgogoro huu kidini, hakuna tija yoyote labda kama ni katika zile mbwembwe na manjonjo tu, ambavyo kila mtu anaweza kuwa na vyake.
Inavyoonekana wewe una matatizo kichwani mwako, kwa taarifa yako, watu wengi hapa duniani wanaunga mkono Uhuru wa Wapalestina, lakini hawaungi mkono vitendo vya mauaji ya kiholela (vitendo vya kigaidi) vinavyofanywa na kundi la Hamas.
Wapalestina Wana haki na wajibu wa kupambana au kupigana na maadui zao sahihi, tena kwa kutumia mbinu au njia zilizo sahihi.
 
Kwa nini hao uliowataja hapo namba 2 wote wanalitaja jina la allah wakiua?

1. Niliowataja Hapo wanauwa watu kulazimisha dini zao kwa wengine.

2. Hao wanamwona yeyote asiyekuwa dini yao hafai kuishi.

3. Hawa amini kuwa dini ni hiari na kila mtu anawwza kuwa na yake.

4. Ugaidi si kuuwa tu, ugaidi ni kupigania na criminalize watu kwa imani yako.

5. Kuuwa ni pamoja na vitendo vya kigaidi.

6. Unaweza kuuwa bila kuwa gaidi.

7. HAMAS ni ukombozi kama ilivyo kwenye mada.
 
Inavyoonekana wewe una matatizo kichwani mwako, kwa taarifa yako, watu wengi hapa duniani wanaunga mkono Uhuru wa Wapalestina, lakini hawaungi mkono vitendo vya mauaji ya kiholela (vitendo vya kigaidi) vinavyofanywa na kundi la Hamas.
Wapalestina Wana haki na wajibu wa kupambana au kupigana na maadui zao sahihi, tena kwa kutumia mbinu au njia zilizo sahihi.

1. Ni jambo jema kutambua kuwa jutihada za kujikomboa za wapalestina ni hali.

2. Si sahihi kujipa u Mungu, shweitwani, malaika au jini wakati wewe ni binadamu:

IMG_20231219_124846.jpg


3. Hapo #2, kwanini mwenye matatizo kichwani usiwe wewe?

4. Hapo #2, kwanini kujidhania mawazo yako tu ndiyo yaliyo sahihi? Hoja hupingwa kwa hoja.

5. Jikite kwenye mada:

Kama Maji Maji au Mau Mau ilikuwa halali, iweje lawama kwa wapalestina?

6. Hapo #5, mbinu za Maji Maji au Mau Mau zilikuwa halali?

7. Kama #6 jibu ni "ndiyo" kwa nini si halali kwa HAMAS?
 
Hapo kwa israhell kubomoa makanisa na kuua wakristo ntakueka sawa kidogo
Israhell hawaamini kwenye ukristo wala wakristo
Yaani israhell anawaona wakristo wamepotoka na anaona kule makanisani wanaenda kupotoka
Kwahio israhell akiua mkristo anaona kafanya jambo jema akibomoa kanisa pia anaona kafanya jambo jema
Israhell makanisa na misikiti na waislam na wakristo anawaweka kwenye mizania sawa mkuu kwake kudhuru hivyo nlivyokwambia kawaida tu na wala haoni kama kafanya kosa
Israhell au hao mazayuni wao wanatamani hapo walipo wawepo wao tu kusiwe na waislam wala wakristo wala misikiti wala makanisa
Ukiona mkristo anawashangilia mazayuni na israhell kwaujumla wake kwakua maswahiba zake basi ujue nae kapotoka sababu ikitokea leo wamemalizwa waislam wote hapo basi wakristo na wenyewe wakae mkao wakula maana kibao kinawageukia...!!!
Usiniweke sawa mimi, waweke sawa hao baadhi ya wakristo wanaowachukulia wayahudi ni ndugu zao wa damu,
Mie najua hilo na ndio maana mara nyingi siku ya xmass tarehe 25, ligi kuu ya inachezwa wakati nchi katibia zoote wanasimamisha ligi kusherehekea siku hiyo maalum.
Na ninajua pia taifa la israel kuna waislam wengi kuliko wakristo

Ukweli mchungu ni kwamba mapigano haya ni kwa ajili ya ardhi eneo, si ya kidini kama watu wanavyoaminishwa.
 
Usiniweke sawa mimi, waweke sawa hao baadhi ya wakristo wanaowachukulia wayahudi ni ndugu zao wa damu,
Mie najua hilo na ndio maana mara nyingi siku ya xmass tarehe 25, ligi kuu ya inachezwa wakati nchi katibia zoote wanasimamisha ligi kusherehekea siku hiyo maalum.
Na ninajua pia taifa la israel kuna waislam wengi kuliko wakristo

Ukweli mchungu ni kwamba mapigano haya ni kwa ajili ya ardhi eneo, si ya kidini kama watu wanavyoaminishwa.

1. Ulichoongea Hapa huwa ni habari mbaya mno kwa wakkristo wafia dini.

2. MK254, eliasmisinzo na nukuu zao za biblia.

3. Ananukuu nani nini kwenye vitabu visivyokubalika na pande zote?

4. Nukuu yoyote ya kidini ina nini cha kufanya na dini isiyohusika au wasiokuwa waumini.

5. Hapo #4, si ndiko kumpigia mbuzi gitaa?
 
Usiniweke sawa mimi, waweke sawa hao baadhi ya wakristo wanaowachukulia wayahudi ni ndugu zao wa damu,
Mie najua hilo na ndio maana mara nyingi siku ya xmass tarehe 25, ligi kuu ya inachezwa wakati nchi katibia zoote wanasimamisha ligi kusherehekea siku hiyo maalum.
Na ninajua pia taifa la israel kuna waislam wengi kuliko wakristo

Ukweli mchungu ni kwamba mapigano haya ni kwa ajili ya ardhi eneo, si ya kidini kama watu wanavyoaminishwa.
Uishi maisha mema kiongozi
 
Wee gaidi ulaaniwe mashenzi wewe namengineyo
Waelewa tumekuelewa ila hayo yajuu hapo jiandae nayo
Vaa helmet mkuu matusi na dhihaka za wale zisije zikakupata

Mkuu nimekurejea nime kusoma. Kwa hakika Hata kwenye kumfurusha Idd Amin Kagera tuliokuwa magaidi tulikuwa sisi.

Kwa kweli tulimkosea sana Amin, tukamwita nduli hali manduli tulikuwa sisi!
 
1. Ulichoongea Hapa huwa ni habari mbaya mno kwa wakkristo wafia dini.

2. MK254, eliasmisinzo na nukuu zao za biblia.

3. Ananukuu nani nini kwenye vitabu visivyokubalika na pande zote?

4. Nukuu yoyote ya kidini ina nini cha kufanya na dini isiyohusika au wasiokuwa waumini.

5. Hapo #4, si ndiko kumpigia mbuzi gitaa?

Magaidi wa dini yako wameshawahi mabikira, wewe unasubiri nini

3257805170761984946-jpg-png.2843958
 
Mkuu nimekurejea nime kusoma. Kwa hakika Hata kwenye kumfurusha Idd Amin Kagera tuliokuwa magaidi tulikuwa sisi.

Kwa kweli tulimkosea sana Amin, tukamwita nduli hali manduli tulikuwa sisi!
Heheeeeee nashukuru kwakunielewa mkuu
Ila ndio mambo wema ukiishaufanya jiandae kulipwa ubaya
 
Mmekombia magaidi yenu mangapi yaliotekwa na wanamapambano wa hamas mpaka sasa?

Wale hatuna haja nao, hata juzi tumewaua maana tunataka watumike kama chambo ya kufagia hayo mazombi ya dini yenu....

3257805170761984946-jpg-png.2843958
 
Bado nipo bwana gaidi la dini

3257805170761984946-jpg-png.2843958

1. Ujinga uliopitiliza #1 ulio nao ni kudhani mgogoro Gaza una husu dini.

2. Ujinga uliopitiliza #2 ulio nao ni kudhani kila mtu ana dini.

3. Ujinga uliopitiliza #3 ulio nao ni kudhani mwenye dini uliyo nayo ni wewe tu na kila asiyekubaliana na Israel bni mwislamu tu!

4. #3 hapo nikumnushe Lissu, Nyerere, Mandela, Mimi hapa nk siyo waislam!

5. Ujinga wako uliopitiliza #4 ni kudhani Imani yako ni Bora kuliko nyingine.

6. Ujinga wako uliopitiliza #5 ni kudhani Kuna mashindano ya Imani popote kwenye mada hii.

7. Ujinga uliopitiliza #6 ni kutojua Imani zote ni disjoint.

8. Kwa #7 hapo ni ujinga uliopitiliza #7 kujaribu kutumia lolote tokea dini Moja dhidi ya nyingine.

9. Zaidi sana ni ujinga uliopitiliza funga kazi kutojikita kwenye mada na kuokotezabupumbavu kuleta kwenye mada isiyokuwa na uhusiano nao hata kidogo.

Bure kabisa!
 
1. Ujinga uliopitiliza #1 ulio nao ni kudhani mgogoro Gaza una husu dini.

2. Ujinga uliopitiliza #2 ulio nao ni kudhani kila mtu ana dini.

3. Ujinga uliopitiliza #3 ulio nao ni kudhani mwenye dini uliyo nayo ni wewe tu na kila asiyekubaliana na Israel bni mwislamu tu!

4. #3 hapo nikumnushe Lissu, Nyerere, Mandela, Mimi hapa nk siyo waislam!

5. Ujinga wako uliopitiliza #4 ni kudhani Imani yako ni Bora kuliko nyingine.

6. Ujinga wako uliopitiliza #5 ni kudhani Kuna mashindano ya Imani popote kwenye mada hii.

7. Ujinga uliopitiliza #6 ni kutojua Imani zote ni disjoint.

8. Kwa #7 hapo ni ujinga uliopitiliza #7 kujaribu kutumia lolote tokea dini Moja dhidi ya nyingine.

9. Zaidi sana ni ujinga uliopitiliza funga kazi kutojikita kwenye mada na kuokotezabupumbavu kuleta kwenye mada isiyokuwa na uhusiano nao hata kidogo.

Bure kabisa!

Utakua mjinga wa mwisho kudhani hizi nadharia zako unaziandika zina umuhimu wowote, mgogoro wa pale ni mpaka siku mtaacha kutafuta kumaliza Wayahudi kama alivyoagiza 'mungu' wenu muarabu.

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”



3257805170761984946-jpg-png.2843958
 
Write your reply...maelezo meeengi we sema tu kuwa unaunga mkono hamas kuwauwa watanzania wenzako basi!
 
Kulikoni? Au ni yale ya mkuki kwa nguruwe? Izingatiwe:

1. Binadamu wote ni sawa.

2. Suala la dini ni binafsi na la hiari.

3. Dini Kwa wenye nazo, kila mtu ana yake japo na wasiokuwa nazo pia wapo.

4. Unaongelewa je mgogoro kidini wakati kila mtu ana yake na imani disjoint, yaani zisizokutana popote?

3. Kuwa mhanga vitani ni ajali kama ajali zingine ambapo beberu huita:

"being at a wrong place at a wrong time.

Analaumiwa je mtu kwa madhila yoyote hapo?

4. Vita havichagui silaha aghalabu: eti kuulizana utambulisho vitani, nje ya ustaarabu (ukiwamo binafsi) tu wa kuwalinda watoto, wazee, wanawake, waliojisalimisha, wagonjwa, majeruhi, mateka na wa namna hiyo.

5. Vita havina kanuni za kitabuni achilia mbali zile za kiutu tu; kwamba vita ni kama mpira wa miguu kuwa kutakuwa na mpira wa faulo, kona, wa kurusha, penati, indirect kick, free kick, substitution, VAR, yellow card, red card, jezi, nk?

6. Wapalestina au HAMAS hawakufanya lolote jipya kulinganisha na Maji Maji au Mau Mau.

7. Hapo #6, watu walikufa wakiwamo wasio na hatia.

Katika hali hii kulikoni kumlaumu mpalestina kwa lolote?

Angalizo:

8. Kuugeuza mgogoro huu kuwa wa kidini na kuanza kunyoosheana au kumnyooshea yule vidole, labda itakuwa ni katika kuchagua kutojitendea haki wenyewe:

a) Kwa sababu suluhu ya mzozo wa Gaza haipo misikitini, makanisani, mahekaluni, majamatini, masinagogini, nk


b). Kuuongelea mgogoro huu kidini, hakuna tija yoyote labda kama ni katika zile mbwembwe na manjonjo tu, ambavyo kila mtu anaweza kuwa na vyake.
Huwezi kuamini kuwa Waafria wa ambayo sasa inaitwa peramiho walikuwa wanamsaidia Mjerumani kuuwa Waafrika wenzao.

Wangoni wengi kipindi hicho ndiyo waliletwa kutoka kusini mwa Afrika kusaidia wazungu kuuwa waafrika wenzao wanaokataa kutawaliwa na mjerumani.
 
Huwezi kuamini kuwa Waafria wa ambayo sasa inaitwa peramiho walikuwa wanamsaidia Mjerumani kuuwa Waafrika wenzao.

Wangoni wengi kipindi hicho ndiyo waliletwa kutoka kusini mwa Afrika kusaidia wazungu kuuwa waafrika wenzao wanaokataa kutawaliwa na mjerumani.
Race 3 hizi ni shida hapa duniani
Mweusi - huyu ana madhara kwa weusi wenzake

Mwarabu - huyu ni tatizo kwa walimwengu na angekua super power cha moto tungeona wengine

Myahudi - huyu ni tatizo kwa walimwengu unaweza kuona kwann hata Ulaya kila sehemu alikua anafukuzwa.
 
Back
Top Bottom