Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Tanzania kuna upuuuzi na ujinga wa hali ya juu sana ndugu yanguNi dhahiri kuwa maneno ya hayati JPM yana ukweli kuwa hujuma ya kufungulia maji ili yasiende kwenye vyanzo vya kuzalisha umeme vya, Kihansi, Kidatu, Mtera na kwingine ndio chanzo cha mgao na tatizo la umeme hapa Bongoland.
Kama raia wa China na muwekezaji alikuwa anachepusha lita Mil moja kwa saa amedhibitiwa ndani ya masaa 48 na tayari maji yameongezeka mto Ruvu, hivyo hata wanaohujumu vyanzo vya kuzalisha umeme wakidhibitiwa mgao na upungufu wa umeme utapungua.
My take; Maneno ya hayati kuwa vyanzo vya kuzalisha umeme huwa vinahujumiwa kwa kufungulia maji yana ukweli.
Jinga lao hapo ni johnthebaptist kama anavyoonekana hapo ambapo anautangazia uma kuwa wanaofanya kilimo cha kisasa cha umwagiliaji wanahujumu matumizi ya maji na wanapaswa kukamatwa mara moja🐒🐒🐒
DuhJinga lao hapo ni johnthebaptist kama anavyoonekana hapo ambapo anautangazia uma kuwa wanaofanya kilimo cha kisasa cha umwagiliaji wanahujumu matumizi ya maji na wanapaswa kukamatwa mara moja🐒🐒🐒View attachment 2018857
Kwani huyu mwekezaji si alipewa vibali vyote!? Mbona wanamuumbua!? Hadharani kama mvamiziKwamba mchina na karoti zake mdio walimaliza maji ya Ruvu?
Believe this, and you'll believe anything!
Karibu Arusha uone kilimo cha kisasa bwashee!Jinga lao hapo ni johnthebaptist kama anavyoonekana hapo ambapo anautangazia uma kuwa wanaofanya kilimo cha kisasa cha umwagiliaji wanahujumu matumizi ya maji na wanapaswa kukamatwa mara moja🐒🐒🐒View attachment 2018857
Wewe nakuona hapo pia ukilaani kilimo cha kisasa cha umwagiliaji kuwa ndiyo chanjo cha mabwawa ya umeme kukosa maji.Hivi huwa mnafikiri kwa kutumia kichwa au matako?
Nani atarudi mungu Lissu?Wengine bado wanaamini ipo siku atarudi maana yeye wanamuita masia
Malaika jiwe maana Lissu alisharudi kwani kwa risasi mlizo mchakaza kama tembo ungekuwa ungeshafukiwa kitamboNani atarudi mungu Lissu?
Lita mil 1 kwa saa zilikuwa zinaibiwa bila kibali mto Ruvu, huko kwenye umeme huwa wanafungulia maji ili yapungue...
Kuna sehemu ilikuwa karibu na kambi ya jeshi na haikuwa na alama yoyote ya kukataza kupaki gari. Ukienda pale na gari, wakati unapaki hakuna anayekuambia kuwa ni marufuku kupaki pale japo kuna walinzi. Ukimaliza shughuli zako, wakati wa kuondoka wanakuzuia na kukuambia umepaki sehemu iliyokatazwa, hivyo utafunguliwa mashtaka. Ufanyaji wa kazi wa sehemu nyingi ndiyo uko hivyo. Hapa mtu unajiuliza. Walipokuwa huyo mwekezaji aliponza kutumia hayo maji kwa nini hakuambiwa kuwa hairuhusiwi? Ukweli ni kwamba serikali yetu inafanya kazi kwa njia ya reactive. Wanasubiri mambo yaharibike ndiyo wajifanye kuchukuwa hatua, tena za kijinga kweli kweli.Kutumia maji ya mto kwa shughuli za kiuchumi kama kumwagilia mashamba au kufuga samaki siyo kuhujumu.
Infact serikali yenyewe ina encourage watu kulima kilimo cha umwagiliaje.
Na hii mito yote iko chini ya mamlaka za mabonde ambao ndo wana ratibu matumizi ya maji kwa ajili ya shughuli mbalimbali.
Kitendo cha kuwafungia maji kwa nguvu na kuwakamata watu wanao fanya shughuli zao halali ni ukiukwaji wa haki zao. Jambo hili lilitakiwa kuwa la mazungumzo badala ya nguvu
Yaani ingekuwa zama sultan saidi ungekuwa bagamoyo sokoni unangojea kupata wanunuzi toka omani maana huna faida!Wewe ni zaidi ya kenge maana hajijui kuwa yupo sehemu hatarishi mpaka aone damu zinamtoka puani.
Nakushauri hama huko ccm siyo salama kwako maana wazee wako wanakutegemea angalau kwa kuwatafutia kuni kwenye msitu wa rubondo.
Vumilia tu hasira hazitokusaidia huenda march mwakani atafufuka.Kama mama yako alivyokufa na ukimwi. Pole sana mkuu.
Mbona wewe ulishgapigwa bei na chakubanga?Yaani ingekuwa zama sultan saidi ungekuwa bagamoyo sokoni unangojea kupata wanunuzi toka omani maana huna faida!
😳😳🤳Wewe nakuona hapo pia ukilaani kilimo cha kisasa cha umwagiliaji kuwa ndiyo chanjo cha mabwawa ya umeme kukosa maji.Hivi huwa mnafikiri kwa kutumia kichwa au matako?View attachment 2018917
Ndugu hakuna Maji yaliyoongezeka Ruvu.Kwanini yalioungua na leo yaongezeke wakati hakuna siku imenyesha mvua?
Tumesha wastukia nyinyi watengeneza matukio na kujifanya mnayapatia ufumbuzi.
Kwanini usivumilie wewe mama yako karibu atafufuka karibuni ila ukimwi utakuwa umemmaliza sana pole sana. Vipi ulipona hakukuambukiza kweli kunauwezekano unakusumbua sana ndiyo maana unaweweseka sana hadi sasa.Vumilia tu hasira hazitokusaidia huenda march mwakani atafufuka.
Tumesha wazoea sana hao wadanganyajiNdugu hakuna Maji yaliyoongezeka Ruvu.
Nimepita Ruvu Leo nikitokea Mbeya Hali siyo nzuri Kabisa.Maji ni Machache Sana.Yaani Hawa Jamaa Wanajaribu kutengeneza story Mfu wakiwa na Lengo Lakumkuza huyo Marehemu Wao.