Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Great Mkuu ..umeona mbaliHii habari ya Makonda kushitakiwa tuitazame kwa umakini hass kipindi hiki ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA,.Mh. Mbowe akiwa na kesi isiyoeleweka.
Na itakuwa ni utata zaidi iwapo Makonda atashitakiwa na mtu binafsi na si serikali kwa maana ya Jamuhuri. Yaani ushitakiwe na Jamuhuri kwa kesi kama hiyo halafu unatokea nyumbani kwako kwenda mahakamani na si mahabusu?
Tuwe makini inawezekana watesi wetu wanajaribu kula na kipofu ila target yao kubwa hapa inaweza ni ku-neutralize kesi ya Kamanda wa Anga.
Tuendelee kusoma mchezo .
Ndio watu wajue hii ni movie tu.Cloudz nao walishajitoa, na wale naona ndio walikuwa na ushahidi mzuri zaidi wa kumtia hatiani huyo jamaa.
Kama hujui sheria ni bora unyamazeHii habari ya Makonda kushitakiwa tuitazame kwa umakini hass kipindi hiki ambapo Mwenyekiti wa CHADEMA,.Mh. Mbowe akiwa na kesi isiyoeleweka.
Na itakuwa ni utata zaidi iwapo Makonda atashitakiwa na mtu binafsi na si serikali kwa maana ya Jamuhuri. Yaani ushitakiwe na Jamuhuri kwa kesi kama hiyo halafu unatokea nyumbani kwako kwenda mahakamani na si mahabusu?
Tuwe makini inawezekana watesi wetu wanajaribu kula na kipofu ila target yao kubwa hapa inaweza ni ku-neutralize kesi ya Kamanda wa Anga.
Tuendelee kusoma mchezo .
Nani kakuambia clouds wamejitoa?wataitwa kama mashahidi na watatoa ushahidi waoCloudz nao walishajitoa, na wale naona ndio walikuwa na ushahidi mzuri zaidi wa kumtia hatiani huyo jamaa.
Clouds walichosema ni kwamba washitaki/walalamikaji siyo wao. Hii haifuti ukweli kwamba waliwahi kuvamiwa na Makonda.Cloudz nao walishajitoa,