ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
- Thread starter
- #181
Hebu leta CV yako wewe na mwenzako kada tuone kama Mbowe hafai kuwaongoza!
Dont try that!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu leta CV yako wewe na mwenzako kada tuone kama Mbowe hafai kuwaongoza!
Hiyo form six kwanza ya division ngapi?
Mbowe kwa kupigia debe daladala pale kariakoo ahha apo anafaa.
Huyu opportunist, tapeli mkubwa, leo anajifanya anauchungu na nchi.
Hebu leta CV yako wewe na mwenzako kada tuone kama Mbowe hafai kuwaongoza!
Hiyo big Casino unayoizungumzia iko wapi?, au unamanisha ukumbi wa musiki billicanas. Je unajua ameupataje ? kama ni urithi au utapeli je?
Jaribuni kujipanga tena wakuu, ili mlisaidie taifa kwa kuweka elimu nzito on this ishu maana inaweza kuwa ni muhimu sana kwa taifa kuwa na ukweli wa kisayansi on this, Chadema imekuwaje juu nationally under Freeman, Freeman aliwezaje ku-secure misaada mikubwa kwa Chadema kutoka nje ya nchi kuliko viongozi wasomi waliotangulia huko Chadema? Kwa nini under Freeman Chadema imekuwa ya pili toka kwa CCM, na haikuwa hivyo before I mean toka ianzishwe?
FMES asante kwa maelezo yako marefu ila naomba tupitie tena kipengele cha CHADEMA kuwa chama cha pili.
Ukilinganisha na CUF, CHADEMA haina wabunge wengi zaidi, haina wanachama wengi zaidi, haijawahi kuwa na mgombea Urais aliyepata kura nyingi zaidi. Wewe umetumia kigezo gani kuona kuwa CHADEMA ndio ya pili?
Tukikamilisha swala hili kuna swala la Mbowe kuleta misaada mingi zaidi kwa CHADEMA toka nje ya nchi.
FMES asante kwa maelezo yako marefu ila naomba tupitie tena kipengele cha CHADEMA kuwa chama cha pili.
Ukilinganisha na CUF, CHADEMA haina wabunge wengi zaidi, haina wanachama wengi zaidi, haijawahi kuwa na mgombea Urais aliyepata kura nyingi zaidi. Wewe umetumia kigezo gani kuona kuwa CHADEMA ndio ya pili?
Tukikamilisha swala hili kuna swala la Mbowe kuleta misaada mingi zaidi kwa CHADEMA toka nje ya nchi.
Mkuu CUF ni chama cha Visiwani, ninajua kuwa Chadema ndio inayopata ruzuku kubwa kutoka kwa serikali yetu kutoka bara, lakini hiyo sio the ishu, the ishu eilmu ya viongozi wetu wa taifa.
Mkuu CUF ni chama cha Visiwani, ninajua kuwa Chadema ndio inayopata ruzuku kubwa kutoka kwa serikali yetu kutoka bara, lakini hiyo sio the ishu, the ishu eilmu ya viongozi wetu wa taifa.
Nimekupata....lakini am having a hard time, kuelewa umetumia vigezo gani kudetermine chadema ndio chama cha pili...kwani chama cha kwanza ni chama kipi hicho ? ningependa kujua hivyo vigezo na mie nifaidike mzazi !
Na pia ningependa kukusahihisha kwa kutoa misleading statement, CUF SIO CHAMA CHA KISIWANI ! this is way below mzee.....(chama cha kisiwani in terms of....??)..je vipi ni vyama vya bara ? ....navyo ni vyama vya bara in terms of....?
Ngoja FMES ni muhimu tuweke records straight. CUF sio chama cha visiwani! Tangu lini kuna vyama vya visiwani na vya Bara, na CHADEMA cha wapi, bara?
CUF ndio chama cha upinzani chenye wabunge wengi zaidi na ndio chama pekee cha upinzani chenye wawakilishi Zanzibar. Na ndio chama kinachopata ruzuku kubwa zaidi.Hivyo basi iwapo tuna hamu ya kuzungumzia kuwepo kwa chama cha pili basi chama hicho kwa sasa ni CUF na si CHADEMA.
Samahani kwa kwenda nje ya mada ya shule ya viongozi. Kumekuwa na haja ya kurekebisha records kabla hatujaendelea.
Of course kada hata wewe unajua kuwa chama cha kwanza ni ccm. CUF ni chama cha visiwani maana hawana mbunge yoyote bara, kwa upande wa bara kama sikosei, chadema ni wa pili baada ya ccm (sina hakika kwa hili).
Hata hao chadema ukiwaangalia ni chama cha kabila moja tu so is tlp na nccr mageuzi. upinzani kwa kweli Tanzania bado sana kama vyama vikubwa vyote ni vya watu wa kabila moja au sehemu moja ya Tanzania.
nafikiri tukiamua kuanza kuweka vyama kwenye categories, kuna vyama vya visiwani, bara na vile vya ukabila ! thats if tukiamua kufanya hivyo !
Sawasawa unachosema maana tutaendelea na kusema kuwa UDP ni chama cha Bariadi Mashariki!!!
...Mtikila na elimu yake suspect ndiye aliyekwenda kusimama mahakamani na kudai wagombea Independent, Sokoine na elimu yake ya Suspect ndiye aliyetuletea Dala Dala...
Ninarudia tena mkuu kwangu binafsi CUf inakiona kuwa chama cha visiwani, ingawa ninajua kisheria ni chama Tanzania, lakini haibadili ukweli kwamba wabunge wake karibu wote ni wa visiwani, lakini ninasema kuwa thta is not the ishu the ishu ni elimu ya viongozi wetu, kama ya Mbowe haifai ni vyema mkaweka ya viongozi waliowahji kutufaa as a nation!
Hata hivyo, kama ambavyo tunaungana mkono pale tukikubaliana, tukikosea pia tutakosoana.