Kama Mama wa Taifa ni Rais Samia vipi kuhusu Maria Waningu Gabriel Magige Nyerere?

Kama Mama wa Taifa ni Rais Samia vipi kuhusu Maria Waningu Gabriel Magige Nyerere?

Doctor Mama Amon

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
2,089
Reaction score
2,725


1697925328279.png

Maria Waningu Gabriel Magige aliyezaliwa 31 December 1930: Kutimiza miaka 94 ifikapo 31 Desemba 2023


1697925096717.png


1697924231709.png

1697925238282.png


1697925455918.png


1697923937613.png


1697923992287.png


1697923836989.png




1697924021461.png

1697924051484.png


1697924275911.png



1697924369486.png


1697925057731.png
 

Attachments

  • 1697923879542.png
    1697923879542.png
    16.9 KB · Views: 2
  • 1697923899446.png
    1697923899446.png
    14.5 KB · Views: 3
Yule anayesema Rais Samia aitwe "Mama wa Taifa"amepotoka.
Nilitaka kutumia stronger language lakini "amepotoka" nadhani inatosha.
Rais Magufuli tulikuwa tunauliza kila siku,"Kiongozi wetu ndio huyu au atakuwepo mwingine?" Halafu ghafla yule mtu akatoweka.
Tunapata matatizo sasa watu wanadai Katiba mpya. Hawataki kuwekewa umeme kwenye sehemu za siri. Sasa wanadhani wakipata Katiba mpya itakuwa suluhisho.
Halafu siku za karibunj tulikuwa na crisis ya ngono za jinsia moja
Mi napinga dhana ya watu kufanya mkutano wa kuulizana ni mambo gani yanayoleta maudhi, mambo gani tukiyafuata tutaishi kwa amani? Grown up people should know how to live in harmony
Ndio George H. W. Bush alikuwa anasema katika hotuba yake Mars baada ya kuapishwa kuwa rais.
Anasema,"Hakuna sababu watu kukesha mpaka usiku wa manane,wanauliza,muundo gani wa serikali unafaa. Njia ya kuongoza nchi inajulikana tayari."
Na huyu alikuwa spy master kabla ya kuwa rais. Kwa hiyo alikuwa anasema maoni ya CIA. Au maoni ya mashushushu wote duniani.
Huamini toka zama za Aristotle mpaka leo kwamba wanadamu wamejifunza kitu kuhusu politics?
Tutapoteza hela nyingi kununua Katiba mpya halafu tutaona matatizo yetu yako pale pale.
Sasa una rais hapa anakopa hela nyingi,sweeping dust under the carpet,kicking the can down the road,halafu unataka aitwe "Mama wa Taifa".
Siku za karibuni tulikuwa na crisis ya nyono za jinsia moja.
 
Huyu ndie mama wa taifa siku zote na inajulikana wazi, hata bibi chaudele na waimba ngonjera wake wanajua hilo, kile alichoongea yule jamaa ni uchawa na kujipendekeza tuu
 

Huyu wa sasa hajawahi kuwa na hatokuja kuwa na sifa ya kuwa mama wa taifa,kimsingi hana hata sifa ya kuwa kiongozi wa taifa anafaa kuwa branded muuzaji wa taifa hiyo ndo sifa ya kipekee anayo.
 
Watanzania tuna changamoto ya kutafsiri maneno ya kiingereza kuja kwenye kiswahili.
Neno father = founder = mwanzilishi.
Ukisema father of a nation = founder of a nation = mwanzilishi wa taifa.
Kwa vile Nyerere alikuwa mwanzilishi wa taifa, It doesnt translate kuwa Maria alikuwa muanzilishi mwenza au co-founder au 'mama, kama wengi wanavyotafsiri- wa taifa). Hakuna cheo kama hicho.
 
Kwani kuwa Mke wa Nyerere ndio sifa y kuwa mama wa Taifa?

Umeuliza, "Kwani kuwa Mke wa Nyerere ndio sifa ya [kumfanya mtu] kuwa Mama wa Taifa?"

Jawabu ni "Hapana."

Sifa ya kumfanya mtu kuwa Mama wa Taifa ni ushiriki wake katika ujasiriadola akiwa bega kwa bega na Baba wa Taifa.
 
Watanzania tuna changamoto ya kutafsiri maneno ya kiingereza kuja kwenye kiswahili.
Neno father = founder = mwanzilishi.
Ukisema father of a nation = founder of a nation = mwanzilishi wa taifa.
Kwa vile Nyerere alikuwa mwanzilishi wa taifa, It doesnt translate kuwa Maria alikuwa muanzilishi mwenza au co-founder au 'mama, kama wengi wanavyotafsiri- wa taifa). Hakuna cheo kama hicho.

Mke wa Baba wa Taifa, aliyemwoa tangu mwanzo wa harakati za kutafuta uhuru, ni Mama wa Taifa tu.
Hilo nalo ni gumu kueleweka?
 
Umeuliza, "Kwani kuwa Mke wa Nyerere ndio sifa ya [kumfanya mtu] kuwa Mama wa Taifa?"

Jawabu ni "Hapana."

Sifa ya kumfanya mtu kuwa Mama wa Taifa ni ushiriki wake katika ujasiriadola akiwa bega kwa bega na Baba wa Taifa.
kwenye familia akifa baba anabaki mama wa familia sivyo, nyerere kafa anabakia mama, mama wa taifa.
 
Mke wa Baba wa Taifa, aliyemwoa tangu mwanzo wa harakati za kutafuta uhuru, ni Mama wa Taifa tu.
Hilo nalo ni gumu kueleweka?
Kwa hiyo mke wa Profesa naye ni profesa? Mke wa mwanajeshi naye ni mwanajeshi?
Mbona unakuwa mgumu kuelewa na kupenda kulazimisha mambo?
 
Kwa hiyo mke wa Profesa naye ni profesa? Mke wa mwanajeshi naye ni mwanajeshi?
Mbona unakuwa mgumu kuelewa na kupenda kulazimisha mambo?

Kufananisha Mke wa profesa, mke wa mwajajeshi, na mke wa mwanasiasa ni kuchanganya maembe na machungwa.

Mke mwanasiasa anapanda jukwaani na mumewe.

Lakini Mke wa profesa haingii darasani na mumewe.

Na mke wa mwanajeshi haingii kwenye kwata na mumewe.

Tulia sindano ikuingie.
 
Mama Dubei Mama wa Mikopo.
Mama Zembwela na Mama Kitenge pia.
 
Back
Top Bottom