Pre GE2025 Kama Mara ya Kwanza Waliachwa Wakaandamana, Wakiachwa tena na Sasa na Wakapewa Ulinzi Kuna shida Gani?

Pre GE2025 Kama Mara ya Kwanza Waliachwa Wakaandamana, Wakiachwa tena na Sasa na Wakapewa Ulinzi Kuna shida Gani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Ushauri: Kuendelea kuwabana bana kuwazonga zonga ni kuwapa promotion na attention ambayo hawakustahili.

Kama walivyoachwa wakati ule hata Sasa Wakiachwa hakuna Cha maana watapata ila kuwazonga ni kuwapa attention kubwa bila sababu za msingi.

Mwisho Gen Z hailetwi na Wanasiasa Bali huzuiwa yenyewe automatically,so nashauri waachwe na ulinzi Wapewe watapoteana wenyewe kama kipindi kile.

My Take
Wakizingua washughulikiwe accordhly.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani
 
Nilikuwa siamini kama hili limetokea. Maana ndio naamka na mahangover ya Balimi Extra Lager maama huku kwetu Igunga ni Balimi ja supu ya kuku.

Yaani kongamano la vijana nalo linazua taharuki mpaka kamishina mkuu wa mafunzo anatoa tamko?

Je siku wakiitisha maandamano kama yale ya Kenya?

Any way vijana wa Mbowe bado wqna nguvu kiana.
 
Naunga mkono kabisa. Tena wakileta za kuleta washughulikiwe kisawasawa.
Mapema mwaka huu walijizungusha huku na kule bila bila ,hata Sasa hawana jipya so waoindwe tuu ila wakileta vurugu wadhibitiwe.

Kuwazonga zonga ni kuwapa attention isiyo na msingi.

Pia waache kuandamana katikati ya Barabara kuu wanazuia shughuli,waandamane Barabara za pembeni ,hakuna kitu kitatokea Watanzania sio wapumbavu.
 
Nilikuwa siamini kama hili limetokea. Maana ndio naamka na mahangover ya Balimi Extra Lager maama huku kwetu Igunga ni Balimi ja supu ya kuku.

Yaani kongamano la vijana nalo linazua taharuki mpaka kamishina mkuu wa mafunzo anatoa tamko?

Je siku wakiitisha maandamano kama hale ya Kenya?

Any way vijana wa Mbowe bado wqna nguvu kiana.
Bavicha siyo wa kuwachukulia poa 😀
 
Mapema mwaka huu walijizungusha huku na kule bila bila ,hata Sasa hawana jipya so waoindwe tuu ila wakileta vurugu wadhibitiwe.

Kuwazonga zonga ni kuwapa attention isiyo na msingi.

Pia waache kuandamana katikati ya Barabara kuu wanazuia shughuli,waandamane Barabara za pembeni ,hakuna kitu kitatokea Watanzania sio wapumbavu.
Nakuunga Mkono.
 
Ushauri: Kuendelea kuwabana bana kuwazonga zonga ni kuwapa promotion na attention ambayo hawakustahili.

Kama walivyoachwa wakati ule hata Sasa Wakiachwa hakuna Cha maana watapata ila kuwazonga ni kuwapa attention kubwa bila sababu za msingi.

Mwisho Gen Z hailetwi na Wanasiasa Bali huzuiwa yenyewe automatically,so nashauri waachwe na ulinzi Wapewe watapoteana wenyewe kama kipindi kile.

My Take
Wakizingua washughulikiwe accordhly.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani
Ccm akili ndogo
 
Nilikuwa siamini kama hili limetokea. Maana ndio naamka na mahangover ya Balimi Extra Lager maama huku kwetu Igunga ni Balimi ja supu ya kuku.

Yaani kongamano la vijana nalo linazua taharuki mpaka kamishina mkuu wa mafunzo anatoa tamko?

Je siku wakiitisha maandamano kama yale ya Kenya?

Any way vijana wa Mbowe bado wqna nguvu kiana.
Hata wangeitisha maandamano sijui ya wapi hayawezi kutokea Kwa sababu Gen Z sio ya chama.

Wako wapi Sasa hao Gen Z?
 
Ushauri: Kuendelea kuwabana bana kuwazonga zonga ni kuwapa promotion na attention ambayo hawakustahili.

Kama walivyoachwa wakati ule hata Sasa Wakiachwa hakuna Cha maana watapata ila kuwazonga ni kuwapa attention kubwa bila sababu za msingi.

Mwisho Gen Z hailetwi na Wanasiasa Bali huzuiwa yenyewe automatically,so nashauri waachwe na ulinzi Wapewe watapoteana wenyewe kama kipindi kile.

My Take
Wakizingua washughulikiwe accordhly.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani
BWANA ROSTAM AZIZI KASEMA KWA SASA MAANDAMANO NI MARUFUKU KWA SABABU HII GER Z NI HATARI KWA KOLONI LAKE LA TANGANYIKA KUPITIA KAMPUNI YAKE YA CCM
 
BWANA ROSTAM AZIZI KASEMA KWA SASA MAANDAMANO NI MARUFUKU KWA SABABU HII GER Z NI HATARI KWA KOLONI LAKE LA TANGANYIKA KUPITIA KAMPUNI YAKE YA CCM
Hakuna uhatari wowote kama yana kibali ila kama ni ya kulazimisha washughulikiwe
 
Ushauri: Kuendelea kuwabana bana kuwazonga zonga ni kuwapa promotion na attention ambayo hawakustahili.

Kama walivyoachwa wakati ule hata Sasa Wakiachwa hakuna Cha maana watapata ila kuwazonga ni kuwapa attention kubwa bila sababu za msingi.

Mwisho Gen Z hailetwi na Wanasiasa Bali huzuiwa yenyewe automatically,so nashauri waachwe na ulinzi Wapewe watapoteana wenyewe kama kipindi kile.

My Take
Wakizingua washughulikiwe accordhly.

Pia soma:Kuelekea 2025 - Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani
Ccm inacheza sebene bila kujua disco lenyewe linapigwa wapi, mnaruhusu Msigwa awe mshauri kwenye mambo nyeti , shauri zenu anawapeleka chaka uyo, badala ya kuwasha kijani sasa anaunguza fuzi hazitawaka tena Tunzeni hii ccm.
 
Back
Top Bottom