ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
Tanzania hii au Nchi gani?Kuna shida ambayo aina ya watu kama wewe na Lucas Mchamwa mnajifanya hamuioni. CCM kwenye usawa wa haki haiwezi ku survive....Magufuli aliona hilo na Mama naye pia anapita njia ileile ....ila hata toboa kwa muda mrefu. Taifa lingekuwa na wazee tu labda angefanikiwa kwa kiasi fulani
Mabadiliko huwa yanakuja tu...hata kama unawadharau watanzania ipo siku ukondoo utaishaTanzania hii au Nchi gani?
Lakini Huwa hayaletwi na Vyama vya siasa ndio uzuri wake 🤣🤣Mabadiliko huwa yanakuja tu...hata kama unawadharau watanzania ipo siku ukondoo utaisha
Tatizo huko mawazo yako watayachukua? Until then wanawaza kuwabana tu, ndio wanazidi kuwafanya waonekane innocent mbele ya umma hata kama wana makosaUshauri: Kuendelea kuwabana bana kuwazonga zonga ni kuwapa promotion na attention ambayo hawakustahili.
Kama walivyoachwa wakati ule hata Sasa Wakiachwa hakuna Cha maana watapata ila kuwazonga ni kuwapa attention kubwa bila sababu za msingi.
Mwisho Gen Z hailetwi na Wanasiasa Bali huzuiwa yenyewe automatically,so nashauri waachwe na ulinzi Wapewe watapoteana wenyewe kama kipindi kile.
My Take
Wakizingua washughulikiwe accordhly.
Pia soma:Kuelekea 2025 - Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani
Kamera za dunia zimeelekezwa tanzania? Kaka are you for real? Huko nchi zilizoendelea wana deal na ishu kubwa sana, wako so busy , waache kazi zao wa deal na politics za tz kweli? ComeonIle Strategy ya Samia ya kutuacha tuandamane kwa AMANI ilikuwa imeanza kunitisha.
Confrontational Politics ndio ushindi kwetu Camera za Dunia nzima zimeelekezwa Tanzania kwa sasa😁
Mungu atupe nini..
Nilikuwa naangalia Aljazeera BBC na baadhi ya International Media zinaongelea tukio la KUTISHA la Mbeya.Kamera za dunia zimeelekezwa tanzania? Kaka are you for real? Huko nchi zilizoendelea wana deal na ishu kubwa sana, wako so busy , waache kazi zao wa deal na politics za tz kweli? Comeon