Kimsingi suala la utekaji limeendelea kuwa suala linalotamkwa kila mahala. nimemsikia Waziri wa Mambo ya Ndani Masauni, nimemsikia Rais wa TLS bwana Mwakubusi na pengine maeneo kadhaa.
Kama ni kweli hali hii ipo Polisi chukueni tahadhari ili kulinda mali na watu ndani ya nchi. Msingi wa 4R za Rais,ni haki,utulivu na amani vinginevyo hamtamtaitendea haki falsafa hiyo. Wananchi nao toeni ushirikiano kwa vyombo vya dola.
Hofu ni kwamba kipindi cha uchaguzi inaweza kuwa mbaya ya wagombeaji kutekwa na fomu zao. ikonekana mtu kujiteka apelekwe mahakamani.
Kama ni kweli hali hii ipo Polisi chukueni tahadhari ili kulinda mali na watu ndani ya nchi. Msingi wa 4R za Rais,ni haki,utulivu na amani vinginevyo hamtamtaitendea haki falsafa hiyo. Wananchi nao toeni ushirikiano kwa vyombo vya dola.
Hofu ni kwamba kipindi cha uchaguzi inaweza kuwa mbaya ya wagombeaji kutekwa na fomu zao. ikonekana mtu kujiteka apelekwe mahakamani.