Kama Maximalipo anasimamia mfumo wa usafiri wa Jiji la Maputo, vipi hapa Bongo?

Kama Maximalipo anasimamia mfumo wa usafiri wa Jiji la Maputo, vipi hapa Bongo?

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Nimesikia Kampuni ya KiTanzania MAXIMALIPO ana simamia na kuendesha usafiri ktk jiji la MAPUTO nchini Msumbiji , sasa inakuwaje hapa Bongo tuna pwaya pwaya tu na usafir wetu wa UDART
 
naona Mh. Rais amekufungua kidogo... tafuta nyuzi humu zikusaidie... pia tuliamia kwa TTCL na taasisi mtandao za serikali kipindi cha awamu iliyopita
 
naona Mh. Rais amekufungua kidogo... tafuta nyuzi humu zikusaidie... pia tuliamia kwa TTCL na taasisi mtandao za serikali kipindi cha awamu iliyopita
NipO Banjarmasin, Indonesia kwa muda ya Bongo siyajui sanaaaaaaa
 
Sasa hapa wakianza kusimamia na upigaji je itakuwaje? Tuwafikire na wapigaji nao jamani nao wana moyo.
 
jamaa alitanuka kimaosoko..kulikua na vision kubwa ya maxmalipo kuwa solutions za malipo ya kidigitali, mifumo ya ukitishaji tiketi kidigitali, luku maji etc etc ila sjui alikwamia wapi..
Nawaza Kuna mtu aliwaibia Vision na Plan yao ikapelekwa serikalini kikaanzishwa kitu kinaitwa GePG kwaio apo automatically wakakosa malipo ya serikali yaliyowapa jina kama Luku, jumlisha kukua na kuimarika kwa mtandao wa mawakala wa simu competition ikawa kubwa ambayo to them it was unfair maana serikali haikuachia iwe soko Huria.
 
Alikua hapa pia kwenye mwendokasi ikatokea kutokuelewana nao kesi ikapelekwa mahakamani sijui iliisha namna gani.
 
Nawaza Kuna mtu aliwaibia Vision na Plan yao ikapelekwa serikalini kikaanzishwa kitu kinaitwa GePG kwaio apo automatically wakakosa malipo ya serikali yaliyowapa jina kama Luku, jumlisha kukua na kuimarika kwa mtandao wa mawakala wa simu competition ikawa kubwa ambayo to them it was unfair maana serikali haikuachia iwe soko Huria.
GePG ni zaidi ya Maximalipo to.me !!

GePG inasaidia sana kurahisisha malipo ga serikali yoteee, lkn hii maximalipo ninafsi nafikiri ange kaa pale udart ingekuwa poa sanaa + malipo ya huduma zingine
 
jamaa alitanuka kimaosoko..kulikua na vision kubwa ya maxmalipo kuwa solutions za malipo ya kidigitali, mifumo ya ukitishaji tiketi kidigitali, luku maji etc etc ila sjui alikwamia wapi..
Mambo ya kifedha yana uhusiano wa moja kwa moja na benki kuu.
Kuna wakati benki kuu huwa wasumbufu sana kwa makampuni.
Nimesikia interview ya Benjamen Fernandes wa NALA, anasema wakati anaomba leseni BOT ilichukua miezi kadhaa mpaka kupatiwa. Kwa nchi nyingine za Afrika Mashariki ilichukua wiki 2 mpaka 3 pekee.
Unaweza kuona jinsi ilivyo ngumu kufanya biashara hiyo hapa Tz sheria zetu bado hazimbebi mwekezaji wa kifedha kidijitali.
 
GePG ni zaidi ya Maximalipo to.me !!

GePG inasaidia sana kurahisisha malipo ga serikali yoteee, lkn hii maximalipo ninafsi nafikiri ange kaa pale udart ingekuwa poa sanaa + malipo ya huduma zingine
Binafsi huwa nashangaa sana serikali yetu sijui huwa hawa wasimamizi wanamitazamo gani.

Zile mashine zilizokuwa zikitumiwa na maxcom kwenye mradi wa mwendokasi ziliagizwa kwa pesa nyingi sana na ajabu hazijatumika tokea macxom watoke kwenye huo mradi, sasa jiulize inamaana hakuna mfumo utakaoweza kufanya ziendelee na kazi au ndio tutazitoa na kuzitupa stoo?

kama imeshindikana si wakae chini tena na maxcom watumie hizo mashine?.
 
Mambo ya kifedha yana uhusiano wa moja kwa moja na benki kuu.
Kuna wakati benki kuu huwa wasumbufu sana kwa makampuni.
Nimesikia interview ya Benjamen Fernandes wa NALA, anasema wakati anaomba leseni BOT ilichukua miezi kadhaa mpaka kupatiwa. Kwa nchi nyingine za Afrika Mashariki ilichukua wiki 2 mpaka 3 pekee.
Unaweza kuona jinsi ilivyo ngumu kufanya biashara hiyo hapa Tz sheria zetu bado hazimbebi mwekezaji wa kifedha kidijitali.
lakini sasa hivi NALA anaenda duniani, ndio ana kua mkubwa...


yupo

USA
UK
GHANA
UGANDA
KENYA
TANZANIA
RWANDA

 
lakini sasa hivi NALA anaenda duniani, ndio ana kua mkubwa...


yupo

USA
UK
GHANA
UGANDA
KENYA
TANZANIA
RWANDA
Ni kweli anakua sana. Ila anasema kuanzisha kampuni ya dijitali ya kifedha tz ni ngumu kuliko nchi yoyote.
Bado wanatumia sheria za 90s huko hawaendani na mabadiliko ya teknolojia na mahitaji ya sasa.
 
Unataka sisi wapigaji tule wapi?
 
Ni kweli anakua sana. Ila anasema kuanzisha kampuni ya dijitali ya kifedha tz ni ngumu kuliko nchi yoyote.
Bado wanatumia sheria za 90s huko hawaendani na mabadiliko ya teknolojia na mahitaji ya sasa.
SHERIA YA MWAKA 90S MKUU?

MIMI NIMESAJILI BIASHARA YA PESA BOT NA KUPATA LESENI... EBU JITAHIDI KUFATILIA KWA WENYE MICRO FINANCES/CREDIT HATA MPESA LABDA WANA NENO ZAIDI YA 90S...
 
GN una fahamu ilipitishwa lini? sheria ya miaka ya 90s?
 
SHERIA YA MWAKA 90S MKUU?

MIMI NIMESAJILI BIASHARA YA PESA BOT NA KUPATA LESENI... EBU JITAHIDI KUFATILIA KWA WENYE MICRO FINANCES/CREDIT HATA MPESA LABDA WANA NENO ZAIDI YA 90S...
Sio maneno yangu mimi nimenukuu tu, Labda wakati anasajili yeye sheria zilikuwa hazijabadilishwa.
 
jamaa alitanuka kimaosoko..kulikua na vision kubwa ya maxmalipo kuwa solutions za malipo ya kidigitali, mifumo ya ukitishaji tiketi kidigitali, luku maji etc etc ila sjui alikwamia wapi..
Kashfa ya upigaji,walitupiga b kadhaa sasa sijui ni kampuni au staff wa kampuni.Thus walinyimwa tenda za serikali.
Kuna watu wa malipo ya faini za traffic max wakaambiwa hio imekula kwetu inabidi mlipe tena kwa mfumo mwingine.
 
mifumo ya kutambua tiketi kwa njia ya technology ilikuwa ya Maxcom Mzee Baba akakataa akawaleta Suma JKT wakawa ndio wanakagua tiket kwa macho na wahuni hao waliomshauri Mzee wakaanzisha mchezo wa ku print tiketi nyingi asubuhi ikifika wanaanza kuuza zile zao za dili, sikiisha ndio wanauza za Serikali

matokeo yake Makusanyo yakawa machache kuliko gharama za uendeshaaji na Operation zikaanza kudorora


Maxcom alichukiwa sana na Mzee Baba kwa kuwa alikuwa anahisi walipewa hizi zabuni kwa magumashi bila ya kujali athari za kuwaondoa
Alikua hapa pia kwenye mwendokasi ikatokea kutokuelewana nao kesi ikapelekwa mahakamani sijui iliisha namna gani.
 
Back
Top Bottom