Lyrics Master
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 479
- 670
- Thread starter
-
- #41
Loth ni wa Singida,MAKA EDWARD
RAFAEL DAUD LOTH
PETER MWANGOSI
MWASHIUYA
CleofACE MKANDALA
LAMBART SABIYANKA
ndio kwenuKolomije ndio nini
hapo ngoja kwanza Ncheke....Eti timu nne wakati moja tu imekushinda
Inawezekana kasema watu wa mkoa fulani sio kabila Tanga kuna mchanganyiko zaidi ya makabila10ila kwa kumbukumbu zangu Ibrahim Ajibu Migomba ni Mzaramo
Sio mshabiki wa soka la kibongo kwa sanakuna ugumu kuwataja kwa majina mkuu?
Tanga kuna wanyasa na wasukuma wengi sana walikuja kukata mkonge enzi za mkoloniInawezekana kasema watu wa mkoa fulani sio kabila Tanga kuna mchanganyiko zaidi ya makabila10
Kila kabila lipo mpaka Mzee majuto yule marehemu alitokea kigoma akaweka makazi pale wengi wanajua mzawa wa TangaTanga kuna wanyasa na wasukuma wengi sana walikuja kukata mkonge enzi za mkoloni
Wala sio yeye watakuwa wazee wake walikuja enzi za manambaKila kabila lipo mpaka Mzee majuto yule marehemu alitokea kigoma akaweka makazi pale wengi wanajua mzawa wa Tanga
Itakuwa ivyoWala sio yeye watakuwa wazee wake walikuja enzi za manamba
Tanga ndo angeongoza mashambuliziHv John Boko asili yake Ni wapi?
umenena vyema mkubwa
NTENJE ALBANO, kiungo fundiTanga ndo angeongoza mashambulizi
Mbisa
Mwaita ngereza
Hance masudi
Mwamnyeto
Banda
Mtenje
Abushee
Sopu
Lianga
Boko
Hafidhi
daaaah RIP NDANJEMimi sio mwenyeji wa mbeya ila Nimeishi mbeya miaka mitano kipindi nasoma ,nimejionea vijana wanapenda soka toka damuni sio kwa kulazimisha kilichokosekana mbeya ni kukosekana uwezeshaji wa vipaji vya soka, mbeya vipaji viko vingi sana ukienda wilayani huko ni balaa "fikiria mkoa unatimu tatu kama dar "naishauri serikali itengeneze kituo cha kukuza vipaji vya soka mbeya academy football ,achana na sasa kipindi hicho kina Stephano mwasika ,Godfrey bony ndanje yanga ilikuwa balaa chini bosi manji.
ndio kilifanya mwandosya asipewe urais pia nbc na bima waligeuza za wanyakyusa
MorogoroHv John Boko asili yake Ni wapi?