Kama Mbeya ingekuwa ni nchi, kwenye football hii ndio ingekuwa first eleven yake

Kama Mbeya ingekuwa ni nchi, kwenye football hii ndio ingekuwa first eleven yake

1.Zakaria mkumbu---Polisi
2..George wawa--- Dodoma jiji
3.
4.
5.Ally Msengi---- S.Africa
6.Raphael Daud loth---- ihefu
7.Athanas Mdamu-----Marekan huko
9.Dan lyanga------Geita
10.Ayub lyanga----- Azam
11.Ibrahim Ajib----- Azam

Sub.
Jeremiah Mgunda
Moses kitandu


Ieleweke sisi tutashambulia dakika zote , kulinda hatujui
 
1.Zakaria mkumbu---Polisi
2..George wawa--- Dodoma jiji
3.
4.
5.Ally Msengi---- S.Africa
6.Raphael Daud loth---- ihefu
7.Athanas Mdamu-----Marekan huko
9.Dan lyanga------Geita
10.Ayub lyanga----- Azam
11.Ibrahim Ajib----- Azam

Sub.
Jeremiah Mgunda
Moses kitandu


Ieleweke sisi tutashambulia dakika zote , kulinda hatujui
kaka Athanas Mdamu yupo Tanzania Prisons....

namba 3 weka Hance Masoud
 
Kama Mbeya ingekuwa ni nchi, kwenye football hii ndio ingekuwa first eleven yake.

1. BENNO KAKOLANYA- simba sc
2. DAVID KAMETA DUCHU- geita gold
3. BENJAMIN ASUKILE- tanzania prisons
4. LUSAJO MWAIKENDA- azam fc
5. DAVID MWANTIKA- dtb fc
6. AZIZ ANDAMBILE - mbeya city fc
7. JIMMSON MWANUKE- simba sc
8. KENNY ALI MWAMBUNGU - kmc
9. GEORGE MPOLE MWAIGOMOLE- geita gold
10. RELIANT LUSAJO - namungo
11. DEUS KASEKE -yanga sc

MFUMO NI 4-2-3-1

sub;
Haroun Mandanda (GK)- mbeya city fc
Dotto Shaban- tanzania prisons
Crispin Ngushi- yanga sc
James Mwanshinga - biashara united
Peter Mwalyanzi- Kagera Sugar
Richardson Ng'ondya- Mbeya City
Jimmy Shoji Mwaisondola- Mbeya K.

Hebu na wewe lete first eleven ya mkoa wako
Beno Kakolanya mtoe, huyo sio Mbeya, ni Rukwa, Mfipa kabisa wa Sumbawanga, labda kama umeamua kupindisha utaratibu ukafuata kabila la mama
 
Mimi sio mwenyeji wa mbeya ila Nimeishi mbeya miaka mitano kipindi nasoma ,nimejionea vijana wanapenda soka toka damuni sio kwa kulazimisha kilichokosekana mbeya ni kukosekana uwezeshaji wa vipaji vya soka, mbeya vipaji viko vingi sana ukienda wilayani huko ni balaa "fikiria mkoa unatimu tatu kama dar "naishauri serikali itengeneze kituo cha kukuza vipaji vya soka mbeya academy football ,achana na sasa kipindi hicho kina Stephano mwasika ,Godfrey bony ndanje yanga ilikuwa balaa chini bosi manji.
Ndio maana Kuna Timu 3 Ligi kuu na 3 Ligi daraja la kwanza
 
Kuna mtu anaitwa gasper mwaipasi yuko pale mbeya city..mark my word YULE DOGO ANAJUA SANA
 
Beno anakua hapa Mbeya na tunamuona tangu yupo Mbaspo Academy, kwa jina may be ndio atakuwa wa Rukwa..
Kabla hajaenda mbaspo tumecheza naye mbeya foundation Academy Teku zamani pakiitwa Moseko chini ya Kocha Chuma.
 
Back
Top Bottom