mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
mbona CRDB na TCB wachaga tupu na hatusemindio kilifanya mwandosya asipewe urais pia nbc na bima waligeuza za wanyakyusa
kaka Athanas Mdamu yupo Tanzania Prisons....1.Zakaria mkumbu---Polisi
2..George wawa--- Dodoma jiji
3.
4.
5.Ally Msengi---- S.Africa
6.Raphael Daud loth---- ihefu
7.Athanas Mdamu-----Marekan huko
9.Dan lyanga------Geita
10.Ayub lyanga----- Azam
11.Ibrahim Ajib----- Azam
Sub.
Jeremiah Mgunda
Moses kitandu
Ieleweke sisi tutashambulia dakika zote , kulinda hatujui
Hapana,Athanas mdamu n tofauti na Gerald mdamukaka Athanas Mdamu yupo Tanzania Prisons....
namba 3 weka Hance Masoud
Beno Kakolanya mtoe, huyo sio Mbeya, ni Rukwa, Mfipa kabisa wa Sumbawanga, labda kama umeamua kupindisha utaratibu ukafuata kabila la mamaKama Mbeya ingekuwa ni nchi, kwenye football hii ndio ingekuwa first eleven yake.
1. BENNO KAKOLANYA- simba sc
2. DAVID KAMETA DUCHU- geita gold
3. BENJAMIN ASUKILE- tanzania prisons
4. LUSAJO MWAIKENDA- azam fc
5. DAVID MWANTIKA- dtb fc
6. AZIZ ANDAMBILE - mbeya city fc
7. JIMMSON MWANUKE- simba sc
8. KENNY ALI MWAMBUNGU - kmc
9. GEORGE MPOLE MWAIGOMOLE- geita gold
10. RELIANT LUSAJO - namungo
11. DEUS KASEKE -yanga sc
MFUMO NI 4-2-3-1
sub;
Haroun Mandanda (GK)- mbeya city fc
Dotto Shaban- tanzania prisons
Crispin Ngushi- yanga sc
James Mwanshinga - biashara united
Peter Mwalyanzi- Kagera Sugar
Richardson Ng'ondya- Mbeya City
Jimmy Shoji Mwaisondola- Mbeya K.
Hebu na wewe lete first eleven ya mkoa wako
GERALD MDAMU alikuwa Polisi Tanzania alivunjika miguu mwaka jana kama sio mwaka juzi, Athanas Mdamu yupo Tanzania PrisonsHapana,Athanas mdamu n tofauti na Gerald mdamu
Beno anakua hapa Mbeya na tunamuona tangu yupo Mbaspo Academy, kwa jina may be ndio atakuwa wa Rukwa..Beno Kakolanya mtoe, huyo sio Mbeya, ni Rukwa, Mfipa kabisa wa Sumbawanga, labda kama umeamua kupindisha utaratibu ukafuata kabila la mama
MWISHO MWAMPAMBA labda awe afisa mhamasishajiChrispline Ngushi
Mwisho mwampamba
Hatari sana huyu jamaaaaaMWISHO MWAMPAMBA labda awe afisa mhamasishaji
Okay, kama unazungumzia kukulia, basi sawaBeno anakua hapa Mbeya na tunamuona tangu yupo Mbaspo Academy, kwa jina may be ndio atakuwa wa Rukwa..
Ronaldo, Messi, Mbappe, De Gea, Bruno Fernandes, Kane, Rashford, na wengineotaja wa mkoa wako
Sawa Mkuu, hongereniRonaldo, Messi, Mbappe, De Gea, Bruno Fernandes, Kane, Rashford, na wengineo
Kwao ni tanga barabara ya 15Morogoro
NO...Kwao ni tanga barabara ya 15
Ngoja tulianzisheKama vipi anzeni kudai uhuru mjitenge..😂
Ndio maana Kuna Timu 3 Ligi kuu na 3 Ligi daraja la kwanzaMimi sio mwenyeji wa mbeya ila Nimeishi mbeya miaka mitano kipindi nasoma ,nimejionea vijana wanapenda soka toka damuni sio kwa kulazimisha kilichokosekana mbeya ni kukosekana uwezeshaji wa vipaji vya soka, mbeya vipaji viko vingi sana ukienda wilayani huko ni balaa "fikiria mkoa unatimu tatu kama dar "naishauri serikali itengeneze kituo cha kukuza vipaji vya soka mbeya academy football ,achana na sasa kipindi hicho kina Stephano mwasika ,Godfrey bony ndanje yanga ilikuwa balaa chini bosi manji.
Kabla hajaenda mbaspo tumecheza naye mbeya foundation Academy Teku zamani pakiitwa Moseko chini ya Kocha Chuma.Beno anakua hapa Mbeya na tunamuona tangu yupo Mbaspo Academy, kwa jina may be ndio atakuwa wa Rukwa..