Uchaguzi 2020 Kama Mbowe anataka Membe ndio agombee urais ina maana hamuamini kabisa Tundu Lisu!

Uchaguzi 2020 Kama Mbowe anataka Membe ndio agombee urais ina maana hamuamini kabisa Tundu Lisu!

Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.

Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?

Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.

Maendeleo hayana vyama!
johnthebaptist
Pilipili usiyoila yakuwashaje?

Nashangaa nyinyi makada wa Lumumba, mnajitahidi sana kushughulikia waombaji Urais upande wa upinzani........

Mbona hamkemei chama chenu, ambacho kime-print form moja peke yake tu kwa ajili ya Jiwe?
 
Na vyovyote itakavyokuwa vile, bado CDM kinaweza ku "risk" kwa mara nyingine kwa kuruhusu ujio wa kete muhimu sana ya kisiasa kwao. Hii itawafanya kuzidi kujenga ushawishi zaidi na kufikia ngome imara za CCM hasa maeneo ya kusini mwa nchi yetu, kwa kuwa Membe ni bonge la "asset" ktk mazingira ya kisiasa ya sasa.
 
Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.

Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?

Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.

Maendeleo hayana vyama!
Membe,Then kuuzia form wagombea wengine plus takukuru , i don't get your point.
 
k
Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.

Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?

Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.

Maendeleo hayana vyama!
[/QUOTE kuna uhusiano gani kati ya BM kushawishiwa achukue form na wanachama wengne wa CDM kuruhusiwa kuchukua form .
 
Back
Top Bottom