Uchaguzi 2020 Kama Mbowe anataka Membe ndio agombee urais ina maana hamuamini kabisa Tundu Lisu!

Uchaguzi 2020 Kama Mbowe anataka Membe ndio agombee urais ina maana hamuamini kabisa Tundu Lisu!

Unataka kuniambia Lisu atakuja msimkamate kwa kesi ya kuruka dhamana kesi ya uchochezi mkamfunga miezi 6 chachapu !!??
Kukamatwa siyo jambo geni.....hata Matiko aliporuka dhamana alikamatwa!
 
Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.

Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?

Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.

Maendeleo hayana vyama!
Kama nyie mlikuwa mnajua form ya urais mmeprint moja tu na hamna copy kwanini mlisema zoezi la kuchukua "form za kugombea uongozi wa vyombo vya dola" umeanza ilihali mnajua kabisa mgombea wenu ni jiwe peke yake?
 
Chadema hata hawajui wanachotaka😡

Mkiambiwa mwenyekiti wenu ni muhuni tu mnamtetea
 
Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.

Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?

Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.

Maendeleo hayana vyama!
Swali fikirishi je mvuvi akiona samaki mkubwa zaid atamrudisha kwenye maji 'what is all about is to win the general elections'
 
Kwa Sasa CHADEMA hawana namna. Kitendo Cha Membe kugombea kupitia chama chochote Cha Upinzani ni hatari zaidi kwa Chadema kuliko CCM. Ni wazi ukimuondoa JPM, Membe ndie mtanzania mwenye ushaawishi Mkubwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Hivyo, ikitokea akagombea kupitia Chadema, atakisaidia chama walau kushinda viti vingi vya Ubunge na Udiwani kuliko mwanachama mwingine wa Chadema. Akigombea kwenye chama tofauti na Chadema, tafsiri yake, Chadema na chama hicho watagawana kura. Na kwa Muktadha wa Sasa, Chadema atapata kura chache zaidi kuliko chama hicho na atashinda majimbo machache zaidi na kupelekea kupoteza nafasi yake Kama Chama kikuu Cha Upinzani. Mfano ikatokea Membe akajiunga ACT, ataongeza ushawishi wa chama hicho kwenye majimbo ya Mikoa ya kusini na Mashariki. Hivyo, Kuna uwezekano Mkubwa wa ACT kupata majimbo mengi kwenye Kanda hizo kwa kuwa kwanza, Kusini ndio Kanda anakozaliwa Membe, lakini pia, Mikoa ya Kanda hii na Ile ya Mashariki, Ina wafuasi wengi watiifu kwa aliyekuwa Katibu mkuu wa CUF, ambaye kwa Sasa ni Mwenyekiti wa ACT, mh. Maalim Seif. Pia,chama Cha ACT kwa hesabu za haraka tuu, zinaonesha kitapata Wabunge wengi kwa Upande wa visiwa vya Pemba na Unguja.
Kwa hesabu hiyo, utaona hatari inayowakabili Chadema, kuelekea uchaguzi mkuu 2020. Kama Chama, Chadema Wana option mbili, Kusuka au kunyoa. Hakuna neutral point in this scenario.


N.B Tusisahau assignment waliyopewa chama Cha NCCR mageuzi kwa majimbo yaliyokuwa yakiongozwa na Chadema kwa Upande wa Tanzania Bara.
Sisi wengine tutabaki kuwa Wapenzi watazamaji, kazi kwenu wafia chama.
 
Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.

Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?

Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.

Maendeleo hayana vyama!
Hivi wewe unafikiria ktk mazungumzo kama hayo huwa hayamuhusishi Lissu ama viongozi wengine wa juu wa CDM. Lissu bado hajakakikishiwa usalama wake pindi arudipo hapa nchini.

Nyalandu alikwenda mapema CDM kama matayarisho ya mapema ya ujio wa Membe. Nyalandu na Mbowe mara kwa mara wamekutana huko Ubelgiji kwa mipango na mikakati maalum. Mtashangazwa na kauli thabiti ya kuunga mkono wa ujio wa Membe kutoka kwa Lissu.

Just keep wait & see what will happen.
 
Kwa Sasa CHADEMA hawana namna. Kitendo Cha Membe kugombea kupitia chama chochote Cha Upinzani ni hatari zaidi kwa Chadema kuliko CCM. Ni wazi ukimuondoa JPM, Membe ndie mtanzania mwenye ushaawishi Mkubwa kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Hivyo, ikitokea akagombea kupitia Chadema, atakisaidia chama walau kushinda viti vingi vya Ubunge na Udiwani kuliko mwanachama mwingine wa Chadema. Akigombea kwenye chama tofauti na Chadema, tafsiri yake, Chadema na chama hicho watagawana kura. Na kwa Muktadha wa Sasa, Chadema atapata kura chache zaidi kuliko chama hicho na atashinda majimbo machache zaidi na kupelekea kupoteza nafasi yake Kama Chama kikuu Cha Upinzani. Mfano ikatokea Membe akajiunga ACT, ataongeza ushawishi wa chama hicho kwenye majimbo ya Mikoa ya kusini na Mashariki. Hivyo, Kuna uwezekano Mkubwa wa ACT kupata majimbo mengi kwenye Kanda hizo kwa kuwa kwanza, Kusini ndio Kanda anakozaliwa Membe, lakini pia, Mikoa ya Kanda hii na Ile ya Mashariki, Ina wafuasi wengi watiifu kwa aliyekuwa Katibu mkuu wa CUF, ambaye kwa Sasa ni Mwenyekiti wa ACT, mh. Maalim Seif. Pia,chama Cha ACT kwa hesabu za haraka tuu, zinaonesha kitapata Wabunge wengi kwa Upande wa visiwa vya Pemba na Unguja.
Kwa hesabu hiyo, utaona hatari inayowakabili Chadema, kuelekea uchaguzi mkuu 2020. Kama Chama, Chadema Wana option mbili, Kusuka au kunyoa. Hakuna neutral point in this scenario.


N.B Tusisahau assignment waliyopewa chama Cha NCCR mageuzi kwa majimbo yaliyokuwa yakiongozwa na Chadema kwa Upande wa Tanzania Bara.
Sisi wengine tutabaki kuwa Wapenzi watazamaji, kazi kwenu wafia chama.
Siyo hatari kwa chadema 'it is a golden chance'
 
Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.

Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?

Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.

Maendeleo hayana vyama!
Acha mawazo ya kilumumba wee mtu, form inachukuliwa na kujazwa na mwanachama wa chadema ambaye amejipima na kuona anatosha kugombea urais... kwahiyo hata hiyo nayo mnawataka Takukuru ccm waje kuchunguza hilo?? Duuh
 
Membe keshawazidi akili Chadema, watazungusha mikono kwa membe mda sio.mrefu.
Nyie misukule ndiyo mumezidiwa akili wanakuja wahamiaji wanapewa shavu nyie mnazungusha viuno tu, si ina maana huko mko vilaza tu hadi mabosi wenu wafike bei kwa vichwa toka Chadema. Mtasugua sana benchi kwa bk7 zenu huku teuzi zikiwaangukia wahamiaji. Membe huku hapati kitu labda kwa ile plan B yenu antapata reception.
 
Back
Top Bottom