Uchaguzi 2020 Kama Mbowe anataka Membe ndio agombee urais ina maana hamuamini kabisa Tundu Lisu!

Uchaguzi 2020 Kama Mbowe anataka Membe ndio agombee urais ina maana hamuamini kabisa Tundu Lisu!

Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.

Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?

Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.

Maendeleo hayana vyama!

Umekutana naye na kakuambia anamtaka Membe?

What's wrong with you to insuate things?
 
Lini mbowe amemuomba membe aende chadema?
Acha umbea
Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.

Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?

Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.

Maendeleo hayana vyama!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Acha UZUSHI wewe!!! Huoni aibu ME kuwa na tabia ya uongo uongo!? 😳😳😳😳

Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.

Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?

Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mwisho wa kuchukua fomu ni lini, nani kasema mgombea ni lisu wakati kina msigwa nae katangaxa nia
Hii haijakaa sawa kwamba Tundu Lisu ameshalipia fomu na anazijaza ili atakaporejea aziwasilishe kwa kishindo naye Mbowe anaanza mazungumzo ya kumshawishi Membe aje agombee.

Najaribu kujiuliza, kama uongozi wa juu unamtaka Membe kwanini mnawauzia fomu wagombea wengine ambao hawahitajiki?

Naomba Takukuru fuatilieni kwa ukaribu jambo hili.....fomu zinaendelea kuuzwa wakati mgombea keshapatikana.
Ni heri wangechapa fomu moja tu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Ccm wako busy kuhakikisha kachero waliyemtuma anapenyezwa kugombea uongozi kupitia chadema.upinzani has a chadema kuweni makini.
 
Acha UZUSHI wewe!!! Huoni aibu ME kuwa na tabia ya uongo uongo!? 😳😳😳😳
Wewe uko migombani habari za mjini utachelewa kuzipata.....muulize mrangi pale Togo!
 
Umbeya mwingine kwa UFINYU wa akili yako kila anayeiunga mkono Chadema basi ni wa migombani!!! 😳😳😳😳 Acha UZWAZWA Chadema imetambaa Tanzania nzima na haiko migombani tu.

Wewe uko migombani habari za mjini utachelewa kuzipata.....muulize mrangi pale Togo!
 
nani kasema mgombea ni lisu wakati kina msigwa nae katangaxa nia

Thats an awesome point.

Nani kasema Lissu ndio mgombea?

Na nani kasema Membe ndio mgombea?

Na nani kampa Mbowe mamlaka ya kuteua mgombea?

Kwa nini muige nomination system ya CCM ya kuteua badala ya kupambanisha wagombea ??
 
Umbeya mwingine kwa UFINYU wa akili yako kila anayeiunga mkono Chadema basi ni wa migombani!!! 😳😳😳😳 Acha UZWAZWA Chadema imetambaa Tanzania nzima na haiko migombani tu.
Hata migomba iko Tanzania nzima..... Usiogope bwashee!
 
Kwa mwenye akili FUPI tu. Msemo wa nakwenda migombani unajulikana unatumika katika mkoa upi Tanzania. Acha UZWAZWA wa KUKURUPUKA na umbeya kila siku.

Hata migomba iko Tanzania nzima..... Usiogope bwashee!
 
Silaa na udokita wake aliwekwa kapuni sembuse Tundu?
 
Kwa mwenye akili FUPI tu. Msemo wa nakwenda migombani unajulikana unatumika katika mkoa upi Tanzania. Acha UZWAZWA wa KUKURUPUKA na umbeya kila siku.
Mkoa gani Mbeya au Kagera?
 
Back
Top Bottom