Kama Mbowe na Marafiki zake wamegharamia Mkutano mkuu wa Chadema mbona mizigo ya Wajumbe imezuiliwa mahotelini Hadi madeni yalipwe?

Si wamemtosa mfadhili mkuu?? Huyo Mpiga domo akalipie sasa sio analea mtumbo wake tu.
Hao ndio wale wajumbe waliompa kura Mbowe kwa ufadhili wa CCM.
Makubaliano ni kwamba pesa watalipwa baada ya matokeo na ngoma imebuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…