Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh anatoa wapi kama million 30 tu alikosa?? Kiherehere na ujuaji vitammaliza ni Suala la muda tuu!haina shida, atalipa tu
Matusi yote yale unataka tufanyaje? Heshima ya baba ni kulea na kutunza familia… tunataka tumuone mnyampaa aka mpiga domo na wahuni wake wawezeshe chama sasa!Wachagga mmenuna sana 🐼
Pesa inatoka ubelgiji
Muda sio mrefu mizigo itaachiliwq
Chechemela alipe, akauze madumu yake ya alizetiNimesoma Nipashe Kwamba Mizigo ya Wajumbe wa Chadema imezuiliwa mahotelini Hadi madeni yote yalipwe
Sasa Freeman Mbowe na rafiki zake waligharamia Mkutano mkuu upi?
Jumaa Mubarak 😂
Nimekaa pale 🐼
Wewe ndio ulizunguka Nchi nzima Kuandika mabanho na maandishi ya Mwigulu kugombea Urais? 😂😂Miaka 21 inamtosha
Mbowe kaanza siasa 1977 wakati Dr Mwigullu PhD ndio anazaliwa 🐼
🚮🚮Saa100 naye ataiachia nchi madeni makubwa na mikataba mibovu! Vumilieni sindano iwaingie
Wakale Kwa Mwenyekiti 🤣 🤣Hapo tu Chadema huwa wanakosea huwa hawana mpango mzuri wa kuwaweka sawa watu wao hapo ndio wanazidiwa na CCM ,
😂😂😂Wewe ndio ulizunguka Nchi nzima Kuandika mabanho na maandishi ya Mwigulu kugombea Urais? 😂😂
Binadamu hawana shukrani, walivyokuwa wanalipwa hela mkasema wanapewa rushwa live.Nimesoma Nipashe Kwamba Mizigo ya Wajumbe wa Chadema imezuiliwa mahotelini Hadi madeni yote yalipwe
Sasa Freeman Mbowe na rafiki zake waligharamia Mkutano mkuu upi?
Jumaa Mubarak 😂
Nimekaa pale 🐼
Mkataba aliingia Mbowe na fedha za uchaguzi alipewa tsh million 250Binadamu hawana shukrani, walivyokuwa wanalipwa hela mkasema wanapewa rushwa live.
Si mbaya, mnaweza kuyakomboa mabegi yao tatizo lipo wapi wapendwa?
Hao unawaona wapo vizuri, ni kwa sababu wana Serikali. Inawezekana siku wakiwa nje ya hapo, wanaweza wasimalize hata miaka miwili. Mfano, waliokuwa wanatawala kule KENYA, MALAWI, ZAMBIA, UGANDA etc, leo hii wapo wapi? Umoja walionao CCM, ni kwa sababu wana DOLA tu!Hapo tu Chadema huwa wanakosea huwa hawana mpango mzuri wa kuwaweka sawa watu wao hapo ndio wanazidiwa na CCM ,
Una kishudu ama ni flat screen?Ameshakuoa Wewe inatosha
Hapa tunazungumzia mizigo ya Wajumbe 🐼