Kama Mbowe na Marafiki zake wamegharamia Mkutano mkuu wa Chadema mbona mizigo ya Wajumbe imezuiliwa mahotelini Hadi madeni yalipwe?

Kama Mbowe na Marafiki zake wamegharamia Mkutano mkuu wa Chadema mbona mizigo ya Wajumbe imezuiliwa mahotelini Hadi madeni yalipwe?

Nimesoma Nipashe Kwamba Mizigo ya Wajumbe wa Chadema imezuiliwa mahotelini Hadi madeni yote yalipwe

Sasa Freeman Mbowe na rafiki zake waligharamia Mkutano mkuu upi?

Jumaa Mubarak 😂

Nimekaa pale 🐼
Wee jamaaa ni mbeaaa,kwa jf unaweza kuwa unaongoza kwa upande wa Tanganyika,mange kimambi ni wifi yako? Mbowe ana mke na ni mkristo hawezi kukuoa ili uwe nyumba ndogo
 
Saa100 naye ataiachia nchi madeni makubwa na mikataba mibovu! Vumilieni sindano iwaingie
 
Labda mbowe amezira kulipa baada ya kushindwa, wajumbe watajilipia wenyewe
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    1.1 MB · Views: 1
Nimesoma Nipashe Kwamba Mizigo ya Wajumbe wa Chadema imezuiliwa mahotelini Hadi madeni yote yalipwe

Sasa Freeman Mbowe na rafiki zake waligharamia Mkutano mkuu upi?

Jumaa Mubarak 😂

Nimekaa pale 🐼
Itakuwa bada ya kuliwa kichwa, bwana Mbowe kagoma kuwalipia wajumbe malazi. Walipe wenyewe. 😛
 
Nimesoma Nipashe Kwamba Mizigo ya Wajumbe wa Chadema imezuiliwa mahotelini Hadi madeni yote yalipwe

Sasa Freeman Mbowe na rafiki zake waligharamia Mkutano mkuu upi?

Jumaa Mubarak 😂

Nimekaa pale 🐼
Jo endelea kukaa hapo hadi fweza zimwagwe kutoka kwa jirani mbaya.Jirani mbaya yupo tayari kuongeza sifuri kwenye bili za wajumbe ili aonewanavyoshindwa kulipa.
 
Back
Top Bottom