Kama Mbowe na Marafiki zake wamegharamia Mkutano mkuu wa Chadema mbona mizigo ya Wajumbe imezuiliwa mahotelini Hadi madeni yalipwe?

Kama Mbowe na Marafiki zake wamegharamia Mkutano mkuu wa Chadema mbona mizigo ya Wajumbe imezuiliwa mahotelini Hadi madeni yalipwe?

Ile siku zile shobo na mihemko waliyoonesha wapambe wa Lissu kumbe wamevaa Tshirt zilizolipiwa na Mbowe wakaonesha utoto wa Hali ya juu sasa ni muda wa kula hela Za ubelgiji.
mbowe alifanya vile akijua vema chama ni chake na ataongoza milele
 
Wee jamaaa ni mbeaaa,kwa jf unaweza kuwa unaongoza kwa upande wa Tanganyika,mange kimambi ni wifi yako? Mbowe ana mke na ni mkristo hawezi kukuoa ili uwe nyumba ndogo
Ameshakuoa Wewe inatosha

Hapa tunazungumzia mizigo ya Wajumbe 🐼
 
Nimesoma Nipashe Kwamba Mizigo ya Wajumbe wa Chadema imezuiliwa mahotelini Hadi madeni yote yalipwe

Sasa Freeman Mbowe na rafiki zake waligharamia Mkutano mkuu upi?

Jumaa Mubarak 😂

Nimekaa pale 🐼
Ndiyo maana tulishawaambia hapo hapakuwa na chama chama kilikufa kitambo. Kilichokuwepo ni NGO chini ya familia ya mbowe. Kibaya kabisa Mbowe ni mwizi na jambazi, fisadi na mla rushwa. Kibaya kabisa anashirikiana na dogo akidhani ni tishi hahaha na lazima apotee kabida mjinga huyu. Kwa ufupi mbowe kajimaliza mwenyewe bila juhudi za serikali. Wewe ona rushwa na kuwalaza wajumbe alitaka apate kura hahaha huku siyo CCM.
 
Back
Top Bottom