Kama mbunge analipwa mshahara kama watumishi wengine kwanini mbunge akistaafu anapewa pesa zote huku watumishi wengine ni 33%?

Kama mbunge analipwa mshahara kama watumishi wengine kwanini mbunge akistaafu anapewa pesa zote huku watumishi wengine ni 33%?

Wastaafu wengi wamependeza baada ya kustaafu.

Waliojipanga wakiwa kazini wanamelemeta.

Tatizo, wengi wanastaafu wakiwa na madeni, mizigo ya watoto wa kusomesha na kuwapa mitaji, hawana nyumba Wala mashamba.



Suruhisho,
Watumishi mlioko kazini zaa mtoto wa mwisho ukiwa pungufu ya miaka 45, kuwa na makazi Yako ukiwa na pungufu ya miaka 40, Fanya biashara au kilimo au ufugaji ili kujiongezea kipato.

Somesha wanao kwenye shule au vyuo unavyomudu, usikope ili mtoto akasome lakini mwanao akope heslb ili asome.

Ongeza vitega uchumi Leo.
Hii nzuri sana🙏
 
Huwa natamani kuelewa vizuri. Sijajua vizuri kama Mbunge analipwa mshahara kila mwezi kwa miaka mitano, lakini ninachofahamu ni kuwa bunge likivunjwa baada ya miaka mitano huwa wanapewa hela nyingi sana, zaidi ya milioni 200 kwamba hiki ni kiinua mgongo.

Natamni kujua ni kigezo gani kilitumika kumpa Mbunge huyu milioni zote hizo kwa miaka mitano. Kwamba yawezekana hatarudi bungeni? Kama ni hivyo kwa nini mtumishi wa umma akiacha kazi asipewe hela zake zote za hifadhi ya jamii?

Lakini pia ni kigezo gani kilitumika kwa mtumishi wa umma kupewa 33% ya fedha zake za hifadhi ya jamii na kwa nini isiwe 50%?

Wastani wa maisha ya Mtanzania ni miaka 66, ni kigezo gani kimetumika kumfanya mtumishi wa umma akae kazini mpaka miaka 60 na apewe 33% ya fedha zake za hifadhin ya jamii wakati kiuhalisi bado ana mika 6 tuu ya kuishi duniani? Hata LOWASA ameishi miaka 70 tu na siyo 72 au 82?

Serikali yetu haina budi kuliangalia swala hili kwa jicho la tatu na kuwahurumia watumishi wa umma ambao kiuhalisia wanaishi maisha magumu tofauti na mfanyabishara. Bidha zikapanda mitaani, mshahara haupandi kila mwezi.

Mtumishi wa umma ni kukamuliwa tu PAYE, NSSF (ampapo akistaafu atapewa 33%), kodi mitaani kwa kila atakachonunua. Ndiyo unakuta mtumishi wa umma anastaafu hata nyumba hana maana yeye aliishi maisha ya kukamuliwa tu!
Wanapeana mitaji ya kupigia kampeni ili warudi kuendelea kutudidimiza na maamuzi ya hovyo.

Wastaafu wengine wa umma hawana chance isipokuwa wanaoteuliwa ya kurudi kwenye kazi.

NB: Tuhakikishe tunajiwekea viinua mgongo binafsi kuepuka hii dhahama ya Gavo
 
Huwa natamani kuelewa vizuri. Sijajua vizuri kama Mbunge analipwa mshahara kila mwezi kwa miaka mitano, lakini ninachofahamu ni kuwa bunge likivunjwa baada ya miaka mitano huwa wanapewa hela nyingi sana, zaidi ya milioni 200 kwamba hiki ni kiinua mgongo.

Natamni kujua ni kigezo gani kilitumika kumpa Mbunge huyu milioni zote hizo kwa miaka mitano. Kwamba yawezekana hatarudi bungeni? Kama ni hivyo kwa nini mtumishi wa umma akiacha kazi asipewe hela zake zote za hifadhi ya jamii?

Lakini pia ni kigezo gani kilitumika kwa mtumishi wa umma kupewa 33% ya fedha zake za hifadhi ya jamii na kwa nini isiwe 50%?

Wastani wa maisha ya Mtanzania ni miaka 66, ni kigezo gani kimetumika kumfanya mtumishi wa umma akae kazini mpaka miaka 60 na apewe 33% ya fedha zake za hifadhin ya jamii wakati kiuhalisi bado ana mika 6 tuu ya kuishi duniani? Hata LOWASA ameishi miaka 70 tu na siyo 72 au 82?

Serikali yetu haina budi kuliangalia swala hili kwa jicho la tatu na kuwahurumia watumishi wa umma ambao kiuhalisia wanaishi maisha magumu tofauti na mfanyabishara. Bidha zikapanda mitaani, mshahara haupandi kila mwezi.

Mtumishi wa umma ni kukamuliwa tu PAYE, NSSF (ampapo akistaafu atapewa 33%), kodi mitaani kwa kila atakachonunua. Ndiyo unakuta mtumishi wa umma anastaafu hata nyumba hana maana yeye aliishi maisha ya kukamuliwa tu!
Ni urasimu ndiyo maana watu wanakimbilia bungeni badala ya taaluma
 
Kawa wewe ni mtumishi wa umma ingia psssf portal uangalie MiCHANGO Yako.

Mtumishi aliyeajirea 1992, hajachangia milioni 89,000,000 anazotarajia kupata. Huyu ni Maza angu anastaafu mwakan na Mimi ndo namjaxia pepmis, na nyaraka zote. Lazima aniache na 30!
Amekuahidi au wewe ndiyo umejipangia?
 
Sio kweli kwamba viongozi wote wa juu kwenye namba moja wanalipwa 80% ya mshahara na stahiki zote za aliyepo madarakani.

Ni nafasi ya Rais pekee ndiyo hulipwa 80% ya mshahara wa aliyepo madarakani. Viongozi wengine waliosalia wanapata stahiki zingine ingawaje ni kubwa ila sio kuendelea kulipwa asilimia ulizotaja wanapostaafu.
Spika naye analipwa semahufatilii
 
Kazi ya mbunge ni ya mkataba wa miaka mitano, sio 'permanent and pensionable'. Pia viwango vya pensheni havifanani, kuna watu wao ni makundi maalamu, au tuseme wameamua kujiweka wawe makundi maalumu. Hao wabunge ni miongoni mwao. Mshahara wao ni wa kawaida tu, kama milioni nne hivi, lakini wamejiwekea posho ya karibu milioni kumi na moja isiyokatwa kodi!! Alafu wakimaliza muda wao wanapewa hayo mafedha yote kwa mkupuo.

Hoja ya msingi ni wafanyakazi wote wa mikataba walitakiwa kupewa chao na mifuko ya hifadhi za jamii baada ya mikataba yao kuisha kama wanavyofanya kwa wabunge, mawaziri, wakuu wa mikoa, wilaya N.K

Na sio kuletewa sarakasi za sijui thibitisha kuwa hauna kazi, mara tutakuba moja ya tatu hiyo nyongine mpaka ufikishe miaka 60. Ni wizi na upumbavu kabisa.
Upo sahihi mkuu.

Kama mbunge anafanya kazi kwa miaka mitano na kupokea stahiki zake zote. Kwa nini wafanyakazi wa mikataba wanapigwa chenga baada ya utumishi wao kukoma?

Serikali ya CCM ina double standard.
 
"Ili nchi ipige hatua inabidi tufundishane adabu" - Pole Pole.

Yaani wabunge wanalamba hadi 15m kwa mwezi then akimaliza anachukua 250m yote ,halafu wakawatungia sheria wafanyakazi wengine wasichukue kabisa...huo ni UHUNI...KATAA WAHUNI.
 
Wastaafu wengi wamependeza baada ya kustaafu.

Waliojipanga wakiwa kazini wanamelemeta.

Tatizo, wengi wanastaafu wakiwa na madeni, mizigo ya watoto wa kusomesha na kuwapa mitaji, hawana nyumba Wala mashamba.



Suruhisho,
Watumishi mlioko kazini zaa mtoto wa mwisho ukiwa pungufu ya miaka 45, kuwa na makazi Yako ukiwa na pungufu ya miaka 40, Fanya biashara au kilimo au ufugaji ili kujiongezea kipato.

Somesha wanao kwenye shule au vyuo unavyomudu, usikope ili mtoto akasome lakini mwanao akope heslb ili asome.

Ongeza vitega uchumi Leo.
Mtumishi WA miaka ya 84+ atajipanga Kwa Mishahara UPI na Marupurupu yapi? Wee umeanza kazi 2015 unaanza na Mshahara 1.5m. Sawa na Mshahara WA aliyeko kazini miaka 35. Lazima utaongea Pumba hizi bcoz Kwa Mshahara huu Una uhakika wa Gari, Nyumba na Miradi.
 
Ipunguzwe walipwe Milioni 5 maana wanawasaidia kuiba kura!
 
Wabunge ndiyo watunga sheria, kwa hiyo wamejitungia sheria kuwapendelea. Kuna wakati walitaka kupitisha sheria ya wenzi wa viongozi na watoto wao kulipwa mishahara, sijui iliishia wapi..!
 
Huwa natamani kuelewa vizuri. Sijajua vizuri kama Mbunge analipwa mshahara kila mwezi kwa miaka mitano, lakini ninachofahamu ni kuwa bunge likivunjwa baada ya miaka mitano huwa wanapewa hela nyingi sana, zaidi ya milioni 200 kwamba hiki ni kiinua mgongo.

Natamni kujua ni kigezo gani kilitumika kumpa Mbunge huyu milioni zote hizo kwa miaka mitano. Kwamba yawezekana hatarudi bungeni? Kama ni hivyo kwa nini mtumishi wa umma akiacha kazi asipewe hela zake zote za hifadhi ya jamii?

Lakini pia ni kigezo gani kilitumika kwa mtumishi wa umma kupewa 33% ya fedha zake za hifadhi ya jamii na kwa nini isiwe 50%?

Wastani wa maisha ya Mtanzania ni miaka 66, ni kigezo gani kimetumika kumfanya mtumishi wa umma akae kazini mpaka miaka 60 na apewe 33% ya fedha zake za hifadhin ya jamii wakati kiuhalisi bado ana mika 6 tuu ya kuishi duniani? Hata LOWASA ameishi miaka 70 tu na siyo 72 au 82?

Serikali yetu haina budi kuliangalia swala hili kwa jicho la tatu na kuwahurumia watumishi wa umma ambao kiuhalisia wanaishi maisha magumu tofauti na mfanyabishara. Bidha zikapanda mitaani, mshahara haupandi kila mwezi.

Mtumishi wa umma ni kukamuliwa tu PAYE, NSSF (ampapo akistaafu atapewa 33%), kodi mitaani kwa kila atakachonunua. Ndiyo unakuta mtumishi wa umma anastaafu hata nyumba hana maana yeye aliishi maisha ya kukamuliwa tu!
Tafuta kwanza Ubunge ili ukatutetee. Wewe unakitu na utafika mbali.
 
Kwanini mbunge anastafu Kila baada ya miaka mitano vipi na wewe tukikwambia ustafu baada ya miaka mitano uchukue chako utakubali?
Hiyo sio sababu. Mimi kuna ndugu yangu alifanya kazi private for 2 years baadae akaacha. Alipoenda mfuko wa hifadhi ya jamii akaambiwa kupata kiinua mgongo ni mpaka afikie umri wa kustaafu ndiyo apewe na hapo alikuwa na miaka 27​
 
Chukua hii.

1. Viongozi wakuu wa nchi, viongozi wakuu wa vyombo vya usalama na maafisa wakuu hupata 80% ya mishahara yao wakistaafu na stahiki 80% za aliyeko madarakani.

Pension zao za mkupuo ni mzigo wa maana Toka hazina. Mzito hasa.

NB. Mtumishi wa kundi hili alifariki mwenza anahudumuwa Hadi Umauti.


2. Viongozi wa kisiasa, wabunge, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na madiwani. Hupata 40% ya jumla ya mishahara yao. Muda wao ukiidha au utenguzi, anapewa Hela yake.

Mfano mbunge analipwa 12,000,000 *60*04 jibu unalopata ndo anapata.

Hataendelea na malipo yoyote.

Ndiyo maana Hawa ni machawa hasa, kila sentensi mama amesema na ukunguni wote.

3. Kundi la watumishi wa umma.
Kuna formula yenu. Mtapata 33%. Na utaendelea kupata malipo Kwa miaka 12½ Toka ustaafu. Unashauriwa ustaafu ikiwa na 60.

Ukifa kabla, mwenzi wako ataliopwa Kwa miaka mitatu mfululizo, atahudumiwa na nhif, na kama una mtoto mnufaika wa nhif pia atahudumiwa Hadi afikishe 18 yrs.

4. Watumishi wa sekta binafsi ni kama na3 hapo juu isipokuwa bima.


Mnaopindea kikokotoo wengi ni watumishi wenye miaka 50+ au watoto wao Kwa kuwa wamejazwa taarifa zisizo sahihi.

Serikali iwaelimishe.
Mtumishi apewe hela yake yote watu wasipangiane matumizi
 
Hilo ndio la msingi, pamoja na kufupisha miaka ya kustaafu badala ya 55 iwe 40 kwa hiari na kustaafu kwa lazma iwe 50
40 bado kuna watu wanaanza kaz wakiwa na miaka 35 hawa wakistaafu 40 si watakuwa na vihela vidogo
 
Back
Top Bottom