Chukua hii.
1. Viongozi wakuu wa nchi, viongozi wakuu wa vyombo vya usalama na maafisa wakuu hupata 80% ya mishahara yao wakistaafu na stahiki 80% za aliyeko madarakani.
Pension zao za mkupuo ni mzigo wa maana Toka hazina. Mzito hasa.
NB. Mtumishi wa kundi hili alifariki mwenza anahudumuwa Hadi Umauti.
2. Viongozi wa kisiasa, wabunge, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na madiwani. Hupata 40% ya jumla ya mishahara yao. Muda wao ukiidha au utenguzi, anapewa Hela yake.
Mfano mbunge analipwa 12,000,000 *60*04 jibu unalopata ndo anapata.
Hataendelea na malipo yoyote.
Ndiyo maana Hawa ni machawa hasa, kila sentensi mama amesema na ukunguni wote.
3. Kundi la watumishi wa umma.
Kuna formula yenu. Mtapata 33%. Na utaendelea kupata malipo Kwa miaka 12½ Toka ustaafu. Unashauriwa ustaafu ikiwa na 60.
Ukifa kabla, mwenzi wako ataliopwa Kwa miaka mitatu mfululizo, atahudumiwa na nhif, na kama una mtoto mnufaika wa nhif pia atahudumiwa Hadi afikishe 18 yrs.
4. Watumishi wa sekta binafsi ni kama na3 hapo juu isipokuwa bima.
Mnaopindea kikokotoo wengi ni watumishi wenye miaka 50+ au watoto wao Kwa kuwa wamejazwa taarifa zisizo sahihi.
Serikali iwaelimishe.