40 bado kuna watu wanaanza kaz wakiwa na miaka 35 hawa wakistaafu 40 si watakuwa na vihela vidogo
Ukiona ajira yenye huitaji wa umri huo ujue ni nafasi kubwa na yenye mshahara mkubwa hvyo akistaafu na miaka 50 atakuwa ametumikia miaka 15
kuanzia miaka 50 hadi 70 mfanyakazi awe anafanya kazi kwa mikataba ya miaka 2 au 3